Who is Benson Bana?

WORK / PROFESSIONAL EXPERIENCE
2006 today
[FONT=IKGIOA+Arial,Arial][FONT=IKGIOA+Arial,Arial]Associate Consultant DEGE
[/FONT][/FONT]2004 today [FONT=IKGIOA+Arial,Arial][FONT=IKGIOA+Arial,Arial]Lecturer, University of Dar es Salaam [/FONT][/FONT]
[FONT=IKGIOA+Arial,Arial][FONT=IKGIOA+Arial,Arial][/FONT][/FONT]
[FONT=IKGIOA+Arial,Arial][FONT=IKGIOA+Arial,Arial]Hiyo juu nimecopy from Bana's CV! bwa ha ha aha[/FONT][/FONT]
[FONT=IKGIOA+Arial,Arial][FONT=IKGIOA+Arial,Arial][/FONT][/FONT]
[FONT=IKGIOA+Arial,Arial][FONT=IKGIOA+Arial,Arial]Hyu jamaa alikuwa kilaza tu na mtu wa kudesa
[/FONT]
[/FONT]
 
utafiti ule umefanywa kwa watu 2500 tu kwa hiyo siyo sample nzuri bana hajui statistics, na data compilation inabidi akasome jinsi ya kuandaa mean{harmonic,weighted,geometric na average mean} then ndio arudi na REDET yake

Sampling uchwara hii unless ni mkakati wa kupanga wizi wa kura. Kwa nchi yenye mikoa zaidi ya ishirini na tano ilipaswa kufanyika katika wolaya angalau 60 kati ya hizo 40 ambako ndiko watz wengi wako ziwe wilaya za pembezon au zile zisizofikiwa kirahisi.

Hii inadhihirisha madhara ya kusoma kwa kudesa na wizi wa mitihani.
 
Hata polling ya JF imemshinda. Yeye anasample ya watu 2500 wakati JF zaidi ya watu 8000 wameshapiga kura kwenye poll.

Ushauri wa Bule kwa Bana angechukua takwimu za JF angeandika ripoti nzuri sana
 
...now i remember back in the days, during my favorite Chemistry classes when i was in form one; there was a topic "Bunsen burner and its flames"

I am quite sure that this one is a luminous flame which is not recommendable to use for any purpose, because its flame is unsteady.

in this case the so called Utafiti wa Bana is a pure hoax.
 
Ni kibaraka wa mkandala pale REDET. Hana mamlaka yoyote zaid ya ukivuli wa mkandala. Yule benadeta ni demu wa mk....la
 
Siku yakitokea mabadiliko ya kweli nchi hii kichwa cha BENSON BANA lazima tukitundike pale jangwani iwe fundisho kwa wasomi wetu wasitusaliti kiasi hiki
 
REDET ni taasisi ya mkandala inayoaibisha chuo. Haina mamlaka ya kusema kuwa ule utafiti umefanywa na UDSM. Ile ni taasisi ambayo mkandala aliianzisha akiwa chuo na inatumia jina la chuo kupata umaarufu lakini haiwajibiki vizuri kwenye seneti ya chuo.

Hivyo ule utafiti ni wa REDET na madokta/professors uchwara wala si wa UDSM.
 
Kwa nje namuona kama kinara mpya wa wahadhiri vibaraka Tanzania...

Anayetafuta vyeo kwa kuidhalilisha taaluma yake...

Anayewatii mabwana zake kwa kudhalilisha tasnia nzima ya utafiti Tanzania...

Msomi bandia, anayedhililisha demokrasia Tanzania...

Kwa wale wanaomfahamu zaidi tabia na Historia yake, naomba wamuelezee "Dk." Benson Bana...

Wasomi wa kitanzania na kujipendekeza CCM as if they never went to school, anashahu kwamba yeye akifa leo watoto na wajukuu wake kizazi kichacho watarithi utawala wa mafisadi na unaskini uliochangiwa na tamaa ya fedha za kijipendekeza CCM
 
Saddam Hussein naye aliwahi kupewa taarifa kama hizi, kuwa majeshi ya Marekani yamedhibitiwa na vikosi ya Iraq. wakati huo waziri wa habari yuko kwenye TV live akikanusha habari za majeshi ya US kuingia, huku nyuma yake vinaonekana vikosi ya US vikikatiza.

SISIEMU na REDET yake iliyo-interview watu 1200 sijui kutoka Chalinze watabaki kujifanya wanashangaa baada ya mabadiliko makubwa kutokea nchini. Ni watu wanaoujua ugonjwa wao lakini hawataki kukubali kuwa ni wagonjwa.
 
Mkandala alimfagilia JK akaukwa u VC UDSM, pengine na huyu anajipendekeza kwa kutumia utafiti feki ili akumbukwe na JK. Anatumikia kafiri apata mradi wake
 
eti wanasema wamewahoji watu 50 kwa kila wilaya waliiyoenda, hata Thesis ya ra rafiki yangu ya PHD ilihoji watu zaidi ya 5000, hapa Tanzania., hawa ni genge la wapuuzi, wachumia tumbo, malaika wa shetani.
 
Asante sana Mpambalyoto kwa kutupa CV ya Dr bana,tumjue vizuri kilaza anayeaibisha wanataaluma!
 
Moja ya uzuri wa utafiti wa kisayansi Vs wa kishabiki ni kuwa unaweza kuvalidate kwa kutimia njia walizotumia kwa muda wako mwenyewe...

Kwanini badala ya kuendelea kupiga kelele na kudai kuwa utafiti huu ni wa uongo, hamchukui hatua za kufanya utafiti wenu pia kwa kufuata sampling methods kaka za REDET na kuwaumbua??

Nina uhakika mnaweza kupata what you believe a neutral institution ikafanya utafiti kama huu wiki chache zijazo if you are realy interested with the "reality" from the ground???

Ama sivyo endeleeni kushabikia utafiti wa Majira, tanzania daima, Jamiiforum na picha za umati wa kampeni, zitawasaidia kuboresha mikakati yenu na kupata ushindi October 30th..........

Kwa hiyo unataka tupelekwepelekwe tu mradi ni watu fulani wanamwita Dr. sijui naninani! Hakuna kitu kama hicho utafiti wa kuchakachua unajulikana. Huyu katumwa kurekebisha hali ya hewa. By the way watanzania hawahitaji kujua wewe unadhani nani atashinda kwa kiasi gani bali watashiriki kupiga kura na kumchagua wanayemtaka tarehe 31 October 2010 na siyo hiyo 30 Octoba utakayokuwa unatoa msaada wa kuchakachua matokeo
 
Kwa nje namuona kama kinara mpya wa wahadhiri vibaraka Tanzania...

Anayetafuta vyeo kwa kuidhalilisha taaluma yake...

Anayewatii mabwana zake kwa kudhalilisha tasnia nzima ya utafiti Tanzania...

Msomi bandia, anayedhililisha demokrasia Tanzania...

Kwa wale wanaomfahamu zaidi tabia na Historia yake, naomba wamuelezee "Dk." Benson Bana...

Zamani tulikuwa tunajua Chuo kikuu ni mahali wanapopatikana watu walioshiba hekima na busara yaani wanafanya vitu baada ya kusoma vitu vingi. Sasa pamegeuka mahali pa waganga njaa. Hivi wale waliomgomea mwinyi wakati ule wa cost sharering wako wapi siku hizi.
 
Baada ya kusoma CV nimejiridhisha kuwa hawa ni wale wataalamu wa kukariri na mwisho wa siku hawaelewi kabisa maisha upande wa pili yako je.

Bana hawezi kufanya kitu kingine zaidi ya kufundisha na kwenye kufundisha ili apande cheo ni lazima ajipendekeze kwa wakubwa sasa ndiyo nafasi imejitokeza. ndiyo, ee, ndiyo, si mwenzake alifanya hivyo na sasa ni vc wa chuo?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom