Mwita sample ya 2500 ni sample nzuri tu na ndo inayotumika na researchers wengi wanaotaka kujua 'nationwide agenda'...kwenye research unaruhusiwa kuchukua sample ya 5-10% ya popn. Hiyo walochukua ni approximately 6% so its allowed kisomi na sampling method walotumia pia concures with research methodology. Point to urgue labda hawaja-report data za ukweli..
Mwita sample ya 2500 ni sample nzuri tu na ndo inayotumika na researchers wengi wanaotaka kujua 'nationwide agenda'...kwenye research unaruhusiwa kuchukua sample ya 5-10% ya popn. Hiyo walochukua ni approximately 6% so its allowed kisomi na sampling method walotumia pia concures with research methodology. Point to urgue labda hawaja-report data za ukweli..
Tatizo sio kwamba hajui arithmetics au kwamba anatumia calculator ya kichina..la! hawa ndo wachakachuaji wenyewe wa CCM wanaowadanganya watz kule vijijini.Mr/Ms Skype naomba u-review mahesabu yako au calculator yako. watu 2500 ni asilimia 0.13 tu ya wapiga kura milioni 19 !
utafiti ule umefanywa kwa watu 2500 tu kwa hiyo siyo sample nzuri bana hajui statistics, na data compilation inabidi akasome jinsi ya kuandaa mean{harmonic,weighted,geometric na average mean} then ndio arudi na REDET yake
Benson Bana, mtu mzima hovyoooooooooooooooooo.
Tatizo sio kwamba hajui arithmetics au kwamba anatumia calculator ya kichina..la! hawa ndo wachakachuaji wenyewe wa CCM wanaowadanganya watz kule vijijini.
Wasomi wetu wengi ni wasomi masilahi na wala siyo wasomi wajuvi. JK akianguka kama wengi wetu tunavyotegema REDET watajitetea ya kuwa matokeo yao yaliendelea kubadilika kutokana na Dr. Slaa kukubalika kwenye jamii yetu siku hata siku baada ya wao kutoa maoni yao.
Hata kama ni kuchakachua wenzetu hata aibu hawana. Basi wangesema JK ana asilimia 49 na Dr. Slaa 44 ningesema mmmhh kidogo vichwani hakuna funza lakini sasa.....................ni funza tupu wanawapekecha........................
hapa tuna usalama wa taifa pekee ambao hauna meno na umeshurutishwa kisheria kufanya kazi chini ya makada wa ccm. Soma sheria yao utagundua wanaripoti kwa waziri ambaye kama ni kilaza hawana jinsi bali kuripoti kwake period.Nilicheka sana wakati mtoa ripoti alipokuwa anawasilisha, akasema matokeo ndio hayo najua watu watabeza, watakashifu (paraphrase) lakini hayo ndio matokeo!
Sehemu hiyo ya kujidefend ndio iliyonipa swali, why all this? Kama you are ok na kazi yako why worry kwamba watu watabeza?...What makes you think like that? Sasa hapo ndipo watu kama FBI wanapoanzia kufanya kazi yao kama ingekuwa nchi ya wenzetu.
Kwa nje namuona kama kinara mpya wa wahadhiri vibaraka Tanzania...
Anayetafuta vyeo kwa kuidhalilisha taaluma yake...
Anayewatii mabwana zake kwa kudhalilisha tasnia nzima ya utafiti Tanzania...
Msomi bandia, anayedhililisha demokrasia Tanzania...
Kwa wale wanaomfahamu zaidi tabia na Historia yake, naomba wamuelezee "Dk." Benson Bana...
Mwita sample ya 2500 ni sample nzuri tu na ndo inayotumika na researchers wengi wanaotaka kujua 'nationwide agenda'...kwenye research unaruhusiwa kuchukua sample ya 5-10% ya popn. Hiyo walochukua ni approximately 6% so its allowed kisomi na sampling method walotumia pia concures with research methodology. Point to urgue labda hawaja-report data za ukweli..
Hivi si sample hii ndiyo iliyotumika na REDET kujua kuwa imani ya watanzania miongoni watu wanaoridhika sana na utendaji wa Kikwete ilishuka kutoka 70% mwaka 2006 hadi 39% mwaka 2008....Na mkashangilia sana????
JAMANI kuweni n uthubutu wa kukubali msio yategemea. Itawasaidia sana kuongeza juhudi na kuboresha mikakati zaidi ya kuendeleza style hii ya kuidanganya, kutukana na kuadharau watu na taaluma zao..... .
Kwa nje namuona kama kinara mpya wa wahadhiri vibaraka Tanzania...
Anayetafuta vyeo kwa kuidhalilisha taaluma yake...
Anayewatii mabwana zake kwa kudhalilisha tasnia nzima ya utafiti Tanzania...
Msomi bandia, anayedhililisha demokrasia Tanzania...
Kwa wale wanaomfahamu zaidi tabia na Historia yake, naomba wamuelezee "Dk." Benson Bana...
Bana amelala usingizi wa pono, anaota ndoto zake mwenyewe, kuwa Kikwete 71% atashinda,
BENSON BANA
Benson Bana is a Tanzanian citizen. He holds a PhD from University of Birmingham. He has worked in Tanzania Public Service and as a Human Resource Training and Development Manager in a multinational company before becoming a Lecturer at the Open University of Tanzania. He is currently a lecturer in human resource management, public management and political science at the University of Dar es Salaam and consults and researches in the same areas. He has contributed to the book titled: The Human Factor in Governance: Managing Public Employees in Africa and Asia, New York: Palgrave Macmillan published in November 2006. He has also (with W. McCourt) written an article "Institutions and Governance: Public Staff Management in Tanzania" which has been published in Public Administration and Development journal Volume 26, Issue 5, 21 November, 2006. He participated in the study on "Staff Management and Organizational Performance in Tanzania and Uganda Public Servants Perspectives (With Ole Therkildsen and Per Tidemand). He is currently conducting a study on Ethics Management in the Professional Associations of Tanzania for President's Office, Public Service Management (PO-PSM).
View attachment 14975
ukisoma hapo juu inaonekana jamaa kamaliza PhD from University of Birmingham, but Cv inaonesha Kaipatia University of Manchestor. Which is which?
Dege Consult Decentralisation, Public Sector Reforms and Good Governance