Foolish post, special for foolish people. Kumbuka kila asiyeamini uwepo wa Mungu huyo ni Fool.
Fikiria hili, kuanzia kwako unafahamu hata majina hadi kizazi cha ngapi nyuma yako?, wengi wakijitahidi wanaishia kufahamu jina la babu wa babu yake, vipi uelewe kuhusu chimbuko la MUNGU kama tu hujui mtu wa 10 toka kwako aliitwa nani?????????.
Kumbuka hili, hata kungekuwepo na maendeleo makubwa kiasi gani ya kiteknolojia, Mungu bado asingechunguzika.
Fikiria hili, kuanzia kwako unafahamu hata majina hadi kizazi cha ngapi nyuma yako?, wengi wakijitahidi wanaishia kufahamu jina la babu wa babu yake, vipi uelewe kuhusu chimbuko la MUNGU kama tu hujui mtu wa 10 toka kwako aliitwa nani?????????.
Kumbuka hili, hata kungekuwepo na maendeleo makubwa kiasi gani ya kiteknolojia, Mungu bado asingechunguzika.