LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,105
- 27,087
Wakristo na waislamu hupatwa na kigugumizi kikubwa pindi waulizwapo swali hili na watu wasio amini kuhusu uwepo wa Mungu.
Kuanzia leo, haupaswi tena kuwa na kigugumizi pindi uulizwapo swali hili, kwani majibu ya kisayansi ya swali hili yanapatikana.
Kuanzia leo, haupaswi tena kuwa na kigugumizi pindi uulizwapo swali hili, kwani majibu ya kisayansi ya swali hili yanapatikana.
Since God, by definition, is the creator of the whole universe, he is the creator of time. Therefore He is not limited by the time dimension He created, so has no beginning in time God is the high and lofty One that inhabiteth eternity (Isaiah 57:15). Therefore He doesn't have a cause.