Who created God? Who made him? Where did he come from?

Hahahahahahahahahaaaa!
Free ideas ndio bado haujamtambua Mungu?

Ukisema uoga wa watu ndio umeumba Mungu, unamaana wasiowaoga hawana Mungu?
Na kila muaoga anaamini Mungu?

Embu toa scope ya huo uoga unaoumba Mungu!

Na maana Watu,wakifika ukomo wa mawazo na ugunduzi hapo ndo,Mungu anaumbwa kwa namna na majina mbali mbali,Lakini kadri siko zinavosonga KAZI ZA MUNGU ZINAPUNGUA NA DINI ZINAKOSA UMAANA MBELE YA JAMII INAYOANZA KUJITAMBUA.,Nathubutu kusema dini ni UONGO NA ULAGHAI WA ZAMANK UNAOPOTEZA MVUTO KADRI SIKU ZINAVOSONGA.

Watu wa zamani walijua hata ajali,ni kazi ya mungu,ila kwa sasa,ajal za kizembe zinaepukika.Watu walijua maswala Ya Dunia,jua,mwezi ni Exceptional,lakini sayansi inaizika dini kila kukicha.
Hata mvua haikuwa ikielezeka kwa umakini lakini leo tunajua mvua na mawingu vinafanyika vip.,Haina haj ya kuamini chochote(kwa upande wangu)
Mungu aliyeruhusu Biashara ya Utumwa ndo huyo huyo aliekuja kuukataaa baada ya miaka kadhaa!!,Uhalali wa Utumwa ulitoka wapi wakati ule na baadae kubailishwa??
Mungu aliyeruhusu Taifa teule liue kila kitu likiwa njiani kurudi Taifa kwao.
Mungu aliyemuumba malaika huku akijua atamuasi na kuwa shetani,

Mungu aliyemuadhibu Adam huku akijua yajayo.,Mungu anayeumba watoto vilema,viwete n.k.Mungu aliyemuumba mwanadam na kumwekea matamanio yote lakini pia hukumu.Huku akijinadi kuwa amempa UHURU,uhuru??labda kama sijui maana ya uhuru.
Ulishawahi kujiuliza kwa nn wanaojiita manabii na mitume walitika mashariki ya kati??.Je unajua kwa nn?

NIMALIZOE KWA KUSEMA DINI NI ULAGHAI NA UONGO UNAOPITWA NA WAKATI.
 
Na maana Watu,wakifika ukomo wa mawazo na ugunduzi hapo ndo,Mungu anaumbwa kwa namna na majina mbali mbali,Lakini kadri siko zinavosonga KAZI ZA MUNGU ZINAPUNGUA NA DINI ZINAKOSA UMAANA MBELE YA JAMII INAYOANZA KUJITAMBUA.,Nathubutu kusema dini ni UONGO NA ULAGHAI WA ZAMANK UNAOPOTEZA MVUTO KADRI SIKU ZINAVOSONGA.

Watu wa zamani walijua hata ajali,ni kazi ya mungu,ila kwa sasa,ajal za kizembe zinaepukika.Watu walijua maswala Ya Dunia,jua,mwezi ni Exceptional,lakini sayansi inaizika dini kila kukicha.
Hata mvua haikuwa ikielezeka kwa umakini lakini leo tunajua mvua na mawingu vinafanyika vip.,Haina haj ya kuamini chochote(kwa upande wangu)
Mungu aliyeruhusu Biashara ya Utumwa ndo huyo huyo aliekuja kuukataaa baada ya miaka kadhaa!!,Uhalali wa Utumwa ulitoka wapi wakati ule na baadae kubailishwa??
Mungu aliyeruhusu Taifa teule liue kila kitu likiwa njiani kurudi Taifa kwao.
Mungu aliyemuumba malaika huku akijua atamuasi na kuwa shetani,

Mungu aliyemuadhibu Adam huku akijua yajayo.,Mungu anayeumba watoto vilema,viwete n.k.Mungu aliyemuumba mwanadam na kumwekea matamanio yote lakini pia hukumu.Huku akijinadi kuwa amempa UHURU,uhuru??labda kama sijui maana ya uhuru.
Ulishawahi kujiuliza kwa nn wanaojiita manabii na mitume walitika mashariki ya kati??.Je unajua kwa nn?

NIMALIZOE KWA KUSEMA DINI NI ULAGHAI NA UONGO UNAOPITWA NA WAKATI
 
Watu wanawauliza watu eti kama Mungu ana exist
Kaazi kweli kweli!!!!!!!!!
 
If someone, through a thread, asks about who created a nonexistent boogeyman , and others dispute that that boogeyman even exists, it is well within the logical bounda of that thread to point out the absurdity of the question due to its wrong assumption that that which has not been proved to exist actually exists.

It is like happenning on a thread that asks "who created the triangular circle"?

Challenging the validity of the question by pointing out that there is no such thing as a "triangular circle" and therefore it is not possible to have its creator, is not only perfectly logical, but actually takes the exchange to a higher level of reasoning.

you are very right, but the author already supposed that God indeed exist, his question is who made him. I believe in God and you at least have a doubt on whether he exists, that's why our answers to this question are different.
 
you are very right, but the author already supposed that God indeed exist, his question is who made him. I believe in God and you at least have a doubt on whether he exists, that's why our answers to this question are different.

And out of that difference, the stronger answer/ approach shall prevail.

Faith, by tending towards limiting scrutiny and inquiry while embracing fanciful suppositions, is limiting the seeking of truth at the priorization of convenient wishful thinking.
 
Mungu hayupo jamani.. tuseme mara ngapi?
kama yupo basi hana nguvu.. mambo mengi yamemshinda.. kwa ufupi.. sioni umuhimu wake.. sema waoga pekee wavivu wanaozani wakipigika hapa duniani watapata malipo mbinguni..kiukweli msidanganyike.. hakuna chochote wala mbingu haipo.. wavivu chapeni kazi..
vitabu vyake.. ni uongo na vitabu vya kikale.. eti mungu siku ya mwisho atakua na upanga..(hivi huyu mungu hakujua kwamba mapanga kipindi kama hiki si tishio tena..labda aje na AK-47)

Mungu hayupo.. na vitabu vinavyosemwa ni vitakatifu ni uzushi havina lolote.. vimejaa mauwaji na mambo ya hovyo sana..kama utumwa n.k
 
Think.read.think, . Sun Gods, the Norse Gods, the Greek Gods, Roman Gods - loh there are lots to choose from...Tanganyika God (I made up that one),Israelites God, who created GOD? creation in progress?
 
Na maana Watu,wakifika ukomo wa mawazo na ugunduzi hapo ndo,Mungu anaumbwa kwa namna na majina mbali mbali,Lakini kadri siko zinavosonga KAZI ZA MUNGU ZINAPUNGUA NA DINI ZINAKOSA UMAANA MBELE YA JAMII INAYOANZA KUJITAMBUA.,Nathubutu kusema dini ni UONGO NA ULAGHAI WA ZAMANK UNAOPOTEZA MVUTO KADRI SIKU ZINAVOSONGA.

Watu wa zamani walijua hata ajali,ni kazi ya mungu,ila kwa sasa,ajal za kizembe zinaepukika.Watu walijua maswala Ya Dunia,jua,mwezi ni Exceptional,lakini sayansi inaizika dini kila kukicha.
Hata mvua haikuwa ikielezeka kwa umakini lakini leo tunajua mvua na mawingu vinafanyika vip.,Haina haj ya kuamini chochote(kwa upande wangu)
Mungu aliyeruhusu Biashara ya Utumwa ndo huyo huyo aliekuja kuukataaa baada ya miaka kadhaa!!,Uhalali wa Utumwa ulitoka wapi wakati ule na baadae kubailishwa??
Free ideas hapo kuna misinterpretation of Quranic verses!
Islam haikuhalalisha utumwa ingawa haikuukataza moja kwa moja!
Ukumbuke kipindi Quran inashushwa it was jahiliya/foolish period where by the major means of production was slavery! So the slavery was backbone of Arabs economy during that era!
Its like british when she decided to abolish slavery!
Thus why islam/Quran ikataka baadhi ya makosa yakifanywa hukumu yake ni kumuacha huru mtumwa!

Mungu aliyeruhusu Taifa teule liue kila kitu likiwa njiani kurudi Taifa kwao.
Mungu aliyemuumba malaika huku akijua atamuasi na kuwa shetani,

Mungu aliyemuadhibu Adam huku akijua yajayo.,Mungu anayeumba watoto vilema,viwete n.k.Mungu aliyemuumba mwanadam na kumwekea matamanio yote lakini pia hukumu.Huku akijinadi kuwa amempa UHURU,uhuru??labda kama sijui maana ya uhuru.
May be!
Ulishawahi kujiuliza kwa nn wanaojiita manabii na mitume walitika mashariki ya kati??.Je unajua kwa nn?
Hapo sijui kwa kweli!
Embu nipe majibu ya hayo maswali!
NIMALIZOE KWA KUSEMA DINI NI ULAGHAI NA UONGO UNAOPITWA NA WAKATI.
Hahahahahaaa!
Dini kama dini baadhi yao hazina tatizo, tatizo lipo kwa baadhi sisi tunaoamini dini kwa kukremu! Bila ya kusahau, bora amini yupo then usimkute.....!
 
kiranga kiranga kiranga umenifanya niwe mtu wa kuhoji sana toka nianze kukufwatilia ila pia umenifanya niwe mtu wa kutembea na dictionary
 
Mungu hayupo jamani.. tuseme mara ngapi?
kama yupo basi hana nguvu.. mambo mengi yamemshinda.. kwa ufupi.. sioni umuhimu wake.. sema waoga pekee wavivu wanaozani wakipigika hapa duniani watapata malipo mbinguni..kiukweli msidanganyike.. hakuna chochote wala mbingu haipo.. wavivu chapeni kazi..
vitabu vyake.. ni uongo na vitabu vya kikale.. eti mungu siku ya mwisho atakua na upanga..(hivi huyu mungu hakujua kwamba mapanga kipindi kama hiki si tishio tena..labda aje na AK-47)

Mungu hayupo.. na vitabu vinavyosemwa ni vitakatifu ni uzushi havina lolote.. vimejaa mauwaji na mambo ya hovyo sana..kama utumwa n.k

:doh: Watu mmekufa mishipa ya msisimko!
 
Na maana Watu,wakifika ukomo wa mawazo na ugunduzi hapo ndo,Mungu anaumbwa kwa namna na majina mbali mbali,Lakini kadri siko zinavosonga KAZI ZA MUNGU ZINAPUNGUA NA DINI ZINAKOSA UMAANA MBELE YA JAMII INAYOANZA KUJITAMBUA.,Nathubutu kusema dini ni UONGO NA ULAGHAI WA ZAMANK UNAOPOTEZA MVUTO KADRI SIKU ZINAVOSONGA.

Watu wa zamani walijua hata ajali,ni kazi ya mungu,ila kwa sasa,ajal za kizembe zinaepukika.Watu walijua maswala Ya Dunia,jua,mwezi ni Exceptional,lakini sayansi inaizika dini kila kukicha.
Hata mvua haikuwa ikielezeka kwa umakini lakini leo tunajua mvua na mawingu vinafanyika vip.,Haina haj ya kuamini chochote(kwa upande wangu)
Mungu aliyeruhusu Biashara ya Utumwa ndo huyo huyo aliekuja kuukataaa baada ya miaka kadhaa!!,Uhalali wa Utumwa ulitoka wapi wakati ule na baadae kubailishwa??

Tupe siri mkuu kwamba kwanini manabii na mitume walitoka mashariki ya kati
 
Nyie mnaosema mungu hayupo natamani mtangulie kufa alaf mjifufue wenyewe then mrudi tena kwenye hii mada. Nadhani mtatuletea majibu sahihi.
 
Wakristo wengi duniani mnazidi kupoteza imani ya Mungu kwakuwa imani yenu imejengeka katika misingi ya ubabaishaji. Wengi ndio mnahoji uwepo wa Mungu, dhati yake na mengneyo ambayo kimsingi hamtopata majibu zaidi ya kuwa confused mwisho mnapoteza imani ya Mungu kabisa. Na mara zote kwa takwimu zinaonyesha watu wasiomuamini Mungu kama philosophers, psychologists and other great scholars wanajiua kwakuwa confused na mambo haya ya Mungu. Wanajitahidi kutengeza nadharia tofauti tofauti kuhusu Mungu lakini kuna point wanashindwa kuifikia finally they kill themselves. Pigana na shetani asikuhadae na kuwa na fikra chafu kama hzi za kuhoji uwepo au aliyemuumba Mungu.

Kwa fikra kama hizi. Kweli IQ ya watanzania ni kitendawili.
 
Hili swali nimelijibu mara nyingi lakini ukitaka nrakujibu tena.Jitahidi kuwa unasoma majibu yangu

mkuu sijawah kuona sehemu ulipotoa hili jibu ila kama una nia ya kunisaidia please naomba unielekeze sehemu ulipopost ili nielimike mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom