Mnazunguka sana,jibu hili hapa:
Jibu: Binadamu ndiye aliyeumba mungu.
Nathibitisha:
Nitazungumzia dini mbili tu ambazo ni uislamu na ukristo ili kufupisha maelezo:
1.Waislamu na wakristo wote wanasema na wanajua kwamba mungu ni mmoja tu.
2.Mungu wa wakristo ana nafsi tatu,baba,mwana(yesu) na roho mtakatifu.Hamna mkristo anayepinga hili.
3.Mungu wa waislamu ana nafsi moja tu,hajagawanyika,na waislamu wanasema na wanajua kwamba yesu sio mungu.Hamna muislamu anayepinga hili.
4.Maelezo namba 2 na 3 yanathibitisha kwamba mungu wa wakristo ni tofauti na yule wa waislamu,hivyo maelezo namba 1 yanapingwa moja kwa moja na namba 2 na 3.Hivyo basi,mungu si mmoja,ni zaidi ya mmoja.
5.Hapo mwenye akili timamu ataelewa kwamba binadamu ndiye aliyeumba mungu
Tumia akili kusoma ili uelewe ninachomaanisha ili usije kuniuliza swali bovu.
Vijana tuache mihadarati! Inatuharibu!
mungu huyo uliyemwandika wa "g" ndogo aliumbwa na Mungu Jehovah'
mungu huyo uliyemwandika wa "g" ndogo aliumbwa na Mungu jehovah
Binadamu tuna mabo kweli...........huyu nae ana haya!
Nitag mkuu niweze kuingia...hukoUsiniambie kwamba leo ndio mara yako ya kwanza kusikia kuhusu swali hili, anyways, mimi nipo hapa kwa ajili ya kutoa majibu ya kisayansi la swali hilo ambalo mara nyingi huulizwa na maatheists, tafadhali, tembelea : ULIMWENGU USIONEKANA , usome makala yote uelewe nilicho kiandika.
God is typically understood as the supreme being or ultimate reality in many belief systems, including monotheistic religions such as Christianity, Islam, and Judaism. In these religions, God is often depicted as a creator, sustainer, and ruler of the universe, possessing qualities like omniscience, omnipotence, and omnibenevolence.Ok nakujibu kwa ufupi,
Katika historia,inaonesha watu wa ukanda wa mashariki ya kati na maeneo kama misri,Jordan,kwenda mpaka Ugiriki,Walikuwa watu wa kwanza kuvumbua maandishi na mambo ya kalenda na hata hesabu.
walikuwa na utaalam wa kusoma nyota na unajimu hata vipindi na majira mbalimbali pia.Waliweza pia kutunza kumbukumbu kwa maandishi ambayo pia wao ndo waliyavumbua.Hii ilikuw miaka mingi iliyopita.
kwa hiyo matukio na mambo mbalimbali yaliyofanyika katika jamii zao yaliweza kuandikwa na kuwekwa kama kumbukumbu.masimulizi kutoka kizazi hadi kizazi pia.
Kutokana na kuwepo kwa kumbukumbu sahihi ya maisha ya mababu zao,taifa la izrael linakuwa na kurithi misingi ama maonyo ama mafundisho ya kizazi kilichopita.
Izrael ilikaa utumwani misri miaka kama mia 400,lakini kwa sababu ya kutunzavkumbukumbu,walijua kwamba sio asili ya pale misri.Na katika harakati za kujikomboa na UTUMWA,ndipo watu mbalimbali maarufu na wanamapinduz kama akina MUSA,JOSHUA,ARON na wengine wanawakumbusha waizrael kwamba asili yao sio pale na inabidi warudi nchi ya mababu zao.Katika hili zinatungwa falsafa nyingi kama ilivo kwa marevolutionarist wengine waliopita.,Kwa nchi YA AHADI,NCHI YA MABABU ZETU,NCHI YA ARDHI TAKATIFU,INAYOTIRIRIKA ASALI NA MAZIWA,TAIFA TEULE n.k.Yaan ni kama akina kinjekitile kwamba motto ni ,,,MAJI,,,Ama BACK TO AFRICA MOVEMENT.(hapa watanielewa wale walio na free ideas tu,wengine mtaona nakufuru).
Baada ya muda mrefu musa anafanikiwa kuwarudisha wana wa Izrael katika ardhi ya mababu zao japo yeye hakufika kuyokana na umauti ulomfika wakiwa njiani.,Baada ya wao kufika mambo yanaendelea kamabkawaida lakini kumbuka taifa hili limejengwa kayikabmisingi ya Imani ya kuambiwa nabkusimuliwa.
Idea ya mungu MMOJA inajitokeza pia baada ya kuonekana watu wanatengeneza vinyago nakuviabudu.Viongozi wakaona tuseme kuna mungu mmojabambaye haonekani ili kusiwe na ULINGANIFU KATIKA MIUNGU,MAANA KULIKUWA NA MIUNGU WA SHABA,DHAHABU,ALMASI n.k,na kila mmoja alikuwa anaonekana muhimu hasa kutokana na jinsi alivotengenezwa.So ile kusema kuna mungu. mmoja ilikuwa ni Defensive mechanism ili kuwafanya watu waogope kwa kuwa mungu haonekani.
Katika kuendeleza Imani yao,walizaliwa watu mbalimbali waliokuta jamii ya Izrael inaendelea na utamadun wa kuabudu na kiimani,na kutokama na maandiko ya kiimani na kihistoria na mfumo wa maisha kwa ujumla,mtoto yoyote alitakiwa kujua mafundisho haya na ndicho kilikuwa kinafundishwa mashulen na katika masinagogi.,
Ahadi ya kuzaliwa mkomboz ni inabaki kuwa fumbo tangu enzi za nabii Elias ,Mkomboz anatabiliw akutokna na mateso ya waizrael misri na utumwani kwa ujumla.Laini mkombozi YESU(kama n kwel),anakuja kuzaliwa tayar wakiwa kwao na anazaliwa katika hali wasiyoitarajia.Yesu akasema katoka kwa mungu wakamuua.
kwa hiyo hapa point ni kwamba mitume na manabii walitoka Mashatiki yabkati kutokana na kuw ana kumbukumbu za ahadi walizojiwekewa wenyewe kujifariji kutokana na maisha magumu. na ile kutawaliwa,so kila mtu akawa anakuja na falsafa yake.
Kutokana na kumbukumbu pia Anazaliwa Mohamed ambaye nae anadai ametumwa na Allah kuja kueneza habar njema.Hii pia ni kutokana na historia kwamba wao kama wao(waarabu) ambao kumbukumb zao zinaonesha nivkizazi cha Ismael ama labda ESAU nao wanajikakamua baada ya miaka 600 ya kufa yesu.Mwaka 632,AD,anazaliwa Mohamed kisha baadae anasema Ametokewa na Allah wakati akiwa bonden(pango) na mkewe.Basi anaandika misingi ya maisha nabkupata wafuasi ambao ndo waislam wa leo.Lakini hii yote ni kutaka kuonesha kwamba na sisi tunaweza,ama kwa nn wao tu ama ccje?,ama kutimiza historia amavkujipa moyo maana zamani hakukuwa na kingine cha muhimu sana tofauti na Mambo ya imani na kusoma sheria za vitabu vya mababu kama musa,Ibrahim n.k.Na waliweza kufanikiwa kutokana na ujinga wa watu wa enzi hizo waliokubali ya kuambiwa"",Eti mungu kanitokea nikiwa pangoni kanambia mimi ndo ameniteua niwe mtume wake"",afu pangoni aliwa yeye na hadija mkewe,ushahidi uko wapi??.miaka hii pia kuna wanao sema hayo lakini wanapuuzwa kwa sabau si zama z aujinga na upumbavu hiz.Watu watataka evidences zilizoshiba.Ulishawahi kujiuliza kwa nn mungu hawashukii watu tena siku hizi?.ulishawahi kujiuliz akwa nn Manabii na mitume hawaji tena?.tafakar
Turudi katika historia,Marekani imetawaliwa karibu miaka 400,sawa na Israel,lakini unajua kwa nn marekan hawakuwa na wakombozi ama mitume ama manabii?.sababu ni hizi..
Marekani haikuwa ,ama haikutunza kumbukumbu za mababu zao vizazi vingi vilivopita kama izrael.Marekani ilikuwa tangu mwanzo mchanganyiko wa makabila na mataifa mbalimbali,kwa hiyo hakukuwa na itambaduni wa jumla katika jammii,mtakumbuka red Indians,Marekani hakukuvumbuliwa maandishi mapema kama ilivokuwa Misri,Izrael na ukanda ule kwenda mpaka Greece.Hakukuw ana cctim yabkuamini amavkuabudu kma mashariki ya kati.Hizo ni baadhi tu ya sababu japo zipo kibao.
hakika nakwambia Ikiwa akina SHAKHA ZULU,V.I LENIN,MAHTIMA GHANDI,ISACC NEWTON,ALBERT STEIN na wengine kma hao,wangesema wametoka kwa mungu ama yale wayafanyayo ni kaz ya MUNGU leo tungekuwa na newtonism,steinism n.k.na iwapo wapigania uhuru wengine sehem zingine wangeandikwa kwenye vitabu enzi hizo bas hata akina musa tusingewasikia sana kama leo hii .naona niishie hapo kwa sasa kama kuna swali uliza ..
God is typically understood as the supreme being or ultimate reality in many belief systems, including monotheistic religions such as Christianity, Islam, and Judaism. In these religions, God is often depicted as a creator, sustainer, and ruler of the universe, possessing qualities like omniscience, omnipotence, and omnibenevolence.Je kama vitu/viumbe vina muda wa kuwepo,je Mungu ni KITU,KIUMBE,NAFSI,DHAHANIA,FIKRA,WAZO,NGUVU ama lah,tuanzie hapo kwanza.Na kumbuka ukisema kila kitu kina mwanzo,basi lazima mungu wako pia awe na mwanzo.
Did God CREATE man OR Man CREATED God?!
Nani hasa aliumba mwingine?
Kwenye mada ya Abiogenesis (Chanzo cha uhai), pamoja na mambo mengi inajaribu 'ku-prove wrong' (refute) wale watu wanaoamini kwamba uhai uliumbwa au umetokana na mtu anayeitwa Mungu!
'Tuna-refute' ili baadaye tuje na udhibitisho wa Chanzo halisi cha uhai.
Hii ni kwa sababu kwa mujibu wa Historia, binadamu ni MKONGWE ZAIDI, ana umri mrefu zaidi KULIKO Mungu!
Tunaposema Mungu tunamaanisha dini, kwa sababu bila dini kitu kinachoitwa Mungu kisingekuwa kinajulikana wala kutajwa hata sasa!
Ukweli usioweza kupingwa na mtu awaye yote ni huu; Dini zote ni zao la binadamu!
Kila dini ina mwanzilishi wake na waenezaji wake.
Hakuna Mungu aliyewahi kuanzisha dini yake na kuieneza mwenyewe, isipokuwa wanadamu.
Hiyo ni hoja namba moja.
Mwenye hoja kinzani anakaribishwa kwa upendo kwa ajili ya 'ku-refute'.
Aidha, inakadiriwa kwamba binadamu ameanza 'ku- exist' yaani kuwepo duniani zaidi ya miaka 2,000,000 iliyopita; wakati nadharia zote zinazozungumzia uwepo wa Mungu (na Miungu) ni za miaka ya hivi karibuni tu!
Mathalani, Wayahudi ambao wanadai Mungu wao YEHOVA, ndiye mkongwe zaidi, hata hivyo hajafikisha hata miaka 11,000 tangu "aumbe mbingu na nchi".
Theologians wanadai huyu Mungu ambaye kimsingi ndiye anadaiwa kuwa Muumbaji wa kila kitu, alimuumba Adam ambaye wanadai ndiye binadamu wa kwanza kuumbwa, miaka karibu elfu kumi iliyopita!
Kwamba kutoka kuumbwa kwa Adam mpaka 'kipindi cha gharika', ni miaka 2,000.
Kutoka kipindi cha gharika mpaka Ibrahim ni miaka 2,000.
Ibrahim mpaka Musa, miaka 2000. Musa mpaka wakati wa kuzaliwa Kristo, miaka 2000,Ukijumlisha unapata miaka 8,000.
Toka kuzaliwa Kristo mpaka leo, miaka 2000 na ushee!
Kwa hiyo, huyu Mungu mkongwe zaidi kuliko miungu yote inayojulikana hadi sasa, kama wasemavyo Theologians wengi, ana miaka takribani elfu kumi tu; wakati fuvu la mtu wa kale (Zinjanthropus) lililopatikana mwaka 1959 kwenye bonde la Ngorongoro, maarufu Olduvai Gorge, lililovumbuliwa na watafiti wa masuala ya kale Dr. Leakey na Mary mkewe, linakadiriwa kuwa na zaidi ya miaka 1.75 milioni!
Kwa mantiki hiyo, ni wazi watu wa zamani sana, hawakuwa na kitu kinachoitwa 'Mungu'!
Mambo ya miungu ni ya kuanzia miaka hii ya hivi karibuni, ya akina Adam (10,000 years ago)
Watetezi wa Mungu na dini wanasema hizo zilikuwa zamani za ujinga, kwamba Mungu alijifanya kama hazioni, ndio maana hakuwahi kujifunua!
Aliona muda sahihi wa kujifunua kwa wanadamu ni wakati wa Ibrahim (kulingana na mafundisho ya Abrahamic religions)Kumbuka, dunia yetu hii ina miaka zaidi ya 4,000,000,000 tangu iwepo!
Sasa eti unaumba dunia, kisha unaumba watu na kuwaweka kila pembe ya dunia, kisha unawaacha mamilioni ya miaka wakijiendea hovyo hovyo, baadaye unashtuka na kusema ngoja niende kujitambulisha, huku ukijua kwenye kipindi chote hicho kuna mabilioni kwa mabilioni ya watu wamezaliwa na kufa bila kusikia habari zako na bado unadai wataadhibiwa kwa kosa la 'kutomwabudu Mungu'!
Hiyo ni hekima kweli?.
Kama hiyo haitoshi, unachagua mataifa mawili tu, unayaita ya 'wateule wako' na mataifa yenyewe ni ya eneo moja tu la Mashariki ya Kati mwa dunia.
Alafu hao unawapatia mitume na manabii, watangaze habari zako kwa watu wao, wengine unatelekeza, wakafie mbele huko!
Are you serious???
Hawa wengine, hususani wenye ngozi nyeusi, unaachana nao mpaka miaka ya 1900 na kitu, hapa juzi juzi tu, ndipo unawakumbuka na unajipitisha kwa majambazi, wahalifu, wauaji wasio na huruma, wezi wa raslimali za mtu mweusi ambao tunawatambua wazi kama wakoloni, wewe unajipitisha kwa hila kwa watu hawa na unawapatia jina 'zuri' la Wamishenari (Missionaries)!
Wewe unakuwa serious kweli?
Wakati huo huo, unajipitisha kwenye ghuba ya Afrika Mashariki, ukijifanya mfanyabiashara, unawateka watu weusi na kuwalazimisha kusilimu (kukugeukia wewe) bila hiari yao; kweli tukuamini, tukupende, tukuheshimu na kukuabudu?!!!
Anyway, ngoja nisiendelee zaidi, lakini nataka kila mmoja wetu atafakari kwa kina na ajue kuwa Mungu au Nadharia ya masuala ya Mungu na dini kwa ujumla (mambo ya imani) yamekuta binadamu wanaendelea na maisha yao huku duniani kama kawaida.
Kila jamii ilikuwa na maisha yake na mbinu zake za kiroho za kuishi.Hapakuwepo na mtu (Mungu) aliyedaiwa kuumba mbingu na dunia na vyote vilivyomo,Kwamba kuna Mtu (SomeBody) anaitwa Mungu, ndiye aliyekaa akabuni hiki kiwe hivi na kile kiwe hivi.
Ukweli usiopendwa na wengi ni huu 'Mungu ni zao la binadamu'
(Man created God).
Kwa sababu kati ya Mungu na binadamu, binadamu ni wa zamani zaidi.
Kama una hoja tofauti, unakaribishwa.
Somo litaendelea . . .
Dr. Rwakiunge DP Rugambwa (PhD),
Mtafiti na Mkufunzi wa masuala ya kiroho.
Transcending timeWakristo na waislamu hupatwa na kigugumizi kikubwa pindi waulizwapo swali hili na watu wasio amini kuhusu uwepo wa Mungu.
Kuanzia leo, haupaswi tena kuwa na kigugumizi pindi uulizwapo swali hili, kwani majibu ya kisayansi ya swali hili yanapatikana.
Kitu chochote duniani ambacho hupaswi kuhoji kina utapeli ,uhuni na ukasusu,biblia na quran vina mauza uza mengi sanaaaaa,mfano ukisoma biblia Genesis inasema hapo mwanzo palikuwa na neno na huyo neno alikuwa ktk vilindi vya maji na hapakuwa na chochote isipokuwa yeye neno,sasa swali hivi vilindi vya maji sio kitu?,nani aliumba,?tukihoji tunatishiwa moto ulaoWakristo na waislamu hupatwa na kigugumizi kikubwa pindi waulizwapo swali hili na watu wasio amini kuhusu uwepo wa Mungu.
Kuanzia leo, haupaswi tena kuwa na kigugumizi pindi uulizwapo swali hili, kwani majibu ya kisayansi ya swali hili yanapatikana.
absolutely,particulary when they say he used to dwell onto water while there were nothing created yetIn beggining there was the word and the word was with God, which i find pretty confusing.
Which God who created God,while the bible says there is only one God,?perhaps,let us learn from yougod created by God.!
Acha kupotosha watu kwa kujidai unatoa maelezo meeeeeengi ya ajabu ajabu.