Unaweza kuthibitisha chochote ambacho hakipo hakipo?
You have combined a non sequitur, an omission of reasoning and circular reasoning all in one.
Imani si kitu kibaya, imani potofu ndiyo kitu kibaya.
Ninakujibu kwa imani kwamba nikituma majibu servers za JF hazitapigwa na radi na ninachoandika kitakufikia, nisingekuwa na imani hii hata kuandika nisingeandika, maana maandishi yangu yasingekuwa na maana zaidi ya personal therapy kama hayatamfikia yeyote. I am not at the point of needing personal therpy, not yet at least.
Hakuna jambo hata moja linalokufanya uamini kwamba kuna Mungu ambalo halijajibiwa kimantiki kuonesha upotofu wake. Kama unafikiri lipo, litaje.
Unaweza kuthibitisha chochote ambacho hakipo hakipo nje ya hesabu na mantiki?
Unajua hesabu?
Unajua mantiki?
Umeelewa kanushi yangu ya kuwepo kwa Mungu kwa mikinganyo ya dhana ya kuwepo kwa Mungu?
Kama umeielewa, umeweza kuijibu?