'Who created God' is an Illogical Question!

Unazungumzia mungu yupi?kuna miungu ambayo inatengenezwa na mwanzo wake unajulikana wazi,jua,mwezi,vinyago,ng'ombe in baadhi tu ya Miungu ya baadhi ya watu!na kuna MUNGU ambaye anaelezewa kupitia vitabu kama Biblia na vingine kama vipo!huyu hana mwanzo wala mwisho,ndiye aliyeumba ulimwengu wote,wakiwamo wanadamu,mm na wewe,huyu akili zake hazichunguziki,hatuna uwezo huo!
 
Yani hapa tunaenda mbele na kurudi nyuma.

Unasema nisifananishe mfano wa jua na kuamini mungu,hebu eleza jinsi nilivyofananisha hadi usemi nisifananishe.
 
Kwa hiyo leo unaikana Biblia kwamba si kitabu chako cha dini hapa?

Nishamfanya Muislamu aikane Quran, leo namfanya Mkristo aikane Biblia.

Pole pole mnamkana Mungu wenu.
Ni lini humu mie nilisema mi ni mkristo au muislamu?

Naomba unukuu mahali nilipojitambulisha kuwa ni mkristo au muislamu.

Mi niliwahi kusema humu kuwa wanaopinga mungu wengi humu wametoka katika imani ya ukristo na ndiyo maana hata wewe Moja kwa moja unasema mie kitabu changu ni biblia japo sijawahi kujitambulisha humu mie ni dini gani,lakini niliposema kuwa wapinga mungu wengi humu ni walikuwa waumini wa imani ya kikristo mlinipinga.
 
Yani hapa tunaenda mbele na kurudi nyuma.

Unasema nisifananishe mfano wa jua na kuamini mungu,hebu eleza jinsi nilivyofananisha hadi usemi nisifananishe.
Post [HASHTAG]#1400[/HASHTAG] uliandika


Umefananisha imani ya kwamba jua linaloonekana, imani isiyo na contradiction, na imani ya kuamini Mungu ambaye haonekani, hapimiki na ana contradiction.

Unalinganisha vitu visivyolingana katika namna isiyo na milinganyo.
 
Kwa hiyo leo wewe unakataa kwamba si Mkristo wala Muislamu?

Huyo Mungu unayemtetea kila siku ni Mungu gani?

Unaiamini Biblia kwamba ni kitabu cha Mungu au huiamini?
 
Briliant
 

Mungu ni mwenye Haki, yeye hana dhambi, Mungu hakai pamoja na wenye dhambi.
Kwa maana ss wanadamu wote tumetenda dhambi, [ dhambi ni uasi] sisi tumemwasi Mungu.
 
Wasioamini uwepo wa Mungu,hawapo,wanasema hawaamini uwepo wa Mungu,huku wanatenda maagizo ya Mungu.
 
Sikukwambia unitajie post ila nimekwambie unieleze jinsi nilivyofananisha,katika hiyo post yangu nimeanza kwa kusema "unachotaka mie nikifanye..."

Unakumbuka ni nini hicho ambacho wewe ulikuwa unataka nifanye? Maana hapo ndipo kwenye tatizo kwa kushindwa kuelewa huo mfano wa jua umeingiaje.

Halafu unaposema kitu ambacho hakipimiki wala kuonekana ndiyo unakuwa na maana gani? Au unataka kuniambia kutokupimika wala kuonekana ni moja ya sababu kuwa imani ya mungu sio ya kweli?
 
Nilichotaka ufanye ni kipi?
 
Kwa hiyo leo wewe unakataa kwamba si Mkristo wala Muislamu?

Huyo Mungu unayemtetea kila siku ni Mungu gani?

Unaiamini Biblia kwamba ni kitabu cha Mungu au huiamini?
Nimekuomba unioneshe nilipojitambulisha kwa dini yangu...maana unasema nimekana.

Nakumbuka niliposema wapinga mungu wengi humu wametoka kwenye imani ya kikristo,mlinijia juu na kunitaka nithibitishe.
 
Ofcourse hata ISIS wanaamini same BS hakuna jipya hapo endeleeni na akili yenu ya stone age
 
...good thing that the hypnosis issue was brought into this discussion....I think most of the issues regarded as being God's effect by people who tend to believe in him are related/associated with hypnosis....
For example: when people who call themselves 'the saved (walokole)' tend to speak in different languages after having prayed with their so called prophets(wazee wa upako/manabii)...Their behaviour after payers is pure hypnosis by scientific description.... but them believe that its God's effect..or its God trying to speak to them...

..another thing sometimes misinterpreted as being God's effect is the placebo effect (short term psychological relief)....For example: when people were told to drink a dirt cup of traditional herb by the so called 'babu wa loliondo' to treat them from their chronic illnesses....Most of these people got the placebo effect after having drunk the cup of dirt herb, as they were promised that it had the power of the almighty God...but then some of these patients died shortly thereafter...even Bishop Laizer who blessed that dirt cup of herb died of cancer..and could not be saved by the very cup....
 
kitu chochote ambacho kinaongelewa basi kipo huwezi kuongelea kitu kisichokuwepo. mungu yupo ndio maana mnamuongelea. kama angekua hayupo basi msingemuongelea.
 
Ni rahisi kutomuamini Mungu na badala yake kuamini evolution kama huna elimu ya kinachoendelea sasa hivi ndani ya mwili wako. Nashauri ni vyema Kiranga ukapata muda wa kutafuta articles mbalimbali za namna organs na mifumo ya mwili inavyofanya kazi then utumie logical reasoning hapo kujua kama kilichosababisha hayo ni chaos au ni order, kuliko kutafuta ushahidi wa Mungu mbali, anza katika mwili wako. Soma jinsi DNA inavyofanya kazi, RNA, Amino Acids, Ions, Kidney, Liver, Pancreas, Heart, Lungs, Reproduction systems, etc.
Jifunze hayo ndo utajua mengi zaidi.

Hakuna sababu ya kuleta ubishi usio na maana kama kweli nia yako ni kumjua Mungu. Unless nia yako ni kubisha kila kitu.
 
Kama kila kitu complex kinasababishwa na order fulani, Mungu naye anasababishwa na order fulani?

Wapi nimesema naamini evolution?

Kwa nini nitake kuamini wakati naweza kujua?
 
Kwahiyo ina maana tokea mwanzo wa post hukuelewa ila umekuja kung'ang'ania tu kuwa nimefananisha vitu visivyofanana.
Jibu swali. Si kila aulizaye swali hajaelewa. Wengine wanataka ushahidi tu uwekwe wazi.
 
kitu chochote ambacho kinaongelewa basi kipo huwezi kuongelea kitu kisichokuwepo. mungu yupo ndio maana mnamuongelea. kama angekua hayupo basi msingemuongelea.
Kama kitu chochote kinachoongelewa kipo, hakuna kinachoongelewa ambacho hakipo, basi Mungu hayupo.

Kwa sababu mimi naongelea kitu kinachoitwa "Mungu hayupo".

Na hapo hapo Mungu yupo.

Kwa sababu wengine wanaongelea "Mungu yupo".

Kwa hiyo kwa mujibu wa sheria yako Mungu yupo na hayupo hapo hapo.

Na wimbo wa taifa una rangi yenye spidi sana basi wimbo wa taifavutakuwa na rangi yenye spidi sana.

Na nikisema kuna pembetatu ambayo ni duara basi kutakuwa na pembetatu iliyo duara.

Na nikisema druklewsxcklowshg ni gpwklqsdghe basi druklewsxcklowshg itakuwa gpwklqsdghe.

Your theory is as ridiculous as it is confusing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…