Testar
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,461
- 12,216
Hivi kama Mungu yupo, mbona tunabishana juu ya uwepo wake?
Kwa nini hatubishanii juu ya uwepo wa vitu vingine ambavyo wengi wetu hatujawahi kuviona?
Kwa nini Mungu ajifiche mbali na watu wake?
Kuna ubaya gani kwa Mungu kuonekana kwa viumbe wake?
I have come to realize that God is a man made phenomenon, He was created within the mind of ancient people.
Kwa nini hatubishanii juu ya uwepo wa vitu vingine ambavyo wengi wetu hatujawahi kuviona?
Kwa nini Mungu ajifiche mbali na watu wake?
Kuna ubaya gani kwa Mungu kuonekana kwa viumbe wake?
I have come to realize that God is a man made phenomenon, He was created within the mind of ancient people.