Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,703
- 7,907
Sio kweli,wako matajiri wakubwa na wasomi wakubwa,wanaamini uwepo wa Mungu.Sasa mbona hao wenye uelewa duni zaidi na maskini zaidi ndio wengi God believers??
Nilimuuliza Kiranga ni jambo gani ambalo katika dini/imani unatakiwa kuamini tu na hutakiwi kuuliza? akanijibu kuwa jambo lolote hutakiwi kuuliza,ndipo nilipomwambia kama ingekuwa hivyo basi isingewezekana kumshawishi mtu kutoka imani moja kwenda imani nyengine kwa kutoulizwa swali lolote.Mungu anaishi wapi?
Ushawahi kumwona?
Ushawahi kuisikia sauti yake?
Ilikuwa kuwaje yeye akawa ndo mungu?
Nilimuuliza Kiranga ni jambo gani ambalo katika dini/imani unatakiwa kuamini tu na hutakiwi kuuliza? akanijibu kuwa jambo lolote hutakiwi kuuliza,ndipo nilipomwambia kama ingekuwa hivyo basi isingewezekana kumshawishi mtu kutoka imani moja kwenda imani nyengine kwa kutoulizwa swali lolote.
Hayo maelezo hayakuwa na maana ya kutaka kuulizwa swali la aina yeyote kama ambavyo ulivyofanya wewe. Inajulikana kuwa mungu haonekani sasa unaponiuliza kama nishawahi kumuona mungu unakuwa una maana gani.
Hatukuwa tukijadili swala la watu kufanya kinyume na imani zao,tulikuwa tukijadili watu kutotakiwa kuuliza jambo kuhusu imani zao.Kwa sababu wote wenye imani hawana imani kamili, ndiyo maana wanaweza sio tu kuuliza maswali na kuhamia dini nyingine, bali hata pale wasipouliza maswali na kuhamia dini nyingine, wanaweza kufanya kinyume na maagizo ya imani zao huku wakijua wazi kwamba wanafanya kinyume na maagizo ya imani zao.
Unalikumbuka vizuri swali nililokuuliza?Ok mimi naweza kusema kwamba baadhi ya wanyama hula wanyama wengine ili kubalance ecosystem.
Haya niambie: Ikiwa Mungu alitumia udongo kumuumba Mtu, je Mungu alitumia material yapi kuumba wanyama wengine?
Imani zipo nyingi sana na kila aina. Na miungu ipo mingi kuna hadi ng'ombe,kwahiyo naweza kukwambia kuwa mungu haonekani kutokana na imani yangu ilivyo lakini wenye kuamini mungu ng'ombe kwao huonekana.Inajulikana na nani kuwa mungu haonekani?
Na inajulikanaje kuwa haonekani?
Heheee. Umeshindwa kuthibitisha uwepo wa Truth Table yako kutwa kucha unapuyanga kuwahoji wengine uthibitisho wa uwepo wa Mungu. Are you dumb in any other area?Siyo kila usemacho ni reality! wala siyo kila usemacho kitakuwa! Kama umeshindwa kujibu hoja we tembea tu....kuandika sentences mbili makosa kibao hadi ujumbe unakosa logic, ndio maana sikushangai unavyong'ang'ania imani isiyokuwa na logic.
Hapa ninataka ushahidi juu ya uwepo wa Mungu(ambao umeshindwa kuuleta mezani).....Je unaweza kuthibitisha uwepo wa Mungu?Heheee. Umeshindwa kuthibitisha uwepo wa Truth Table yako kutwa kucha unapuyanga kuwahoji wengine uthibitisho wa uwepo wa Mungu. Are you dumb in any other area?
I don't have a burden to prove anything to you. It's you who comes and say hey your God does not exist. Foolish enough you demand an evidence.Hapa ninataka ushahidi juu ya uwepo wa Mungu(ambao umeshindwa kuuleta mezani).....Je unaweza kuthibitisha uwepo wa Mungu?
We nawe ni tabu tupu, tangu ufe na kufufuka akili zako hazina mweeleke😵na jinsi ulivyokosa brain compartmentalization....Hivi hujui kuwa tupo hapa kumtafuta Mungu?Naona umekuwa stimulated hapo na hicho kicheko.
Bila shaka wakati unaandika hapo zilikuwa zimesisimka😀.
Unapenda sana kusisimuliwa wewe naona.
Oh kumbe eeh...haya hebu twambie nawe sehemu zako zilizo nyegereshi😀.
Why are you thinking so moronically?I don't have a burden to prove anything to you. It's you who comes and say hey your God does not exist. Foolish enough you demand an evidence.
Don't be dumb on purpose. You said God doesn't exist. So prove it. With this or other ID, it doesn't make the difference. Just show us a single proof that God doesn't exist.
And don't use logic and truth table which fails your criterion of existence.
Atheists are a laughing stock!Why are you thinking so moronically?
Am I the one who started the thread titled ''Hey your God does not exist''?....If yes show it.
Who are supposed to prove/disprove the existence of God between Theist and Atheist?
I think your God is a product of your false assumption just the same way you are assuming I am possessing multiple IDs(something which is not true).
Hii ni sawa na kusema Mungu yupo au hayupo. Sababu there is no ipso facto to prove for or otherwise. Kuendelea kuwaza na kuwazua juu ya hili hakusaidii. Kinachosikitisha ni watu wanaojifanya wajanja kutiisha watu na kuwafanya wawe waoga na kw kuafanya hivyo kuweza kuwaibia na kujitajirisha '' Wajinga ndiyo waliwao.Habari zenu wana JF. Leo nataka niwaletee ukweli ambao wapinga mungu kama Kiranga huwa hawauelewi. Swali hilo ni hili.
Swali: Je, kama Mungu yupo, nani alimuumba Mungu? (Au ametokea wapi?)
Jibu: Mungu ana sifa ya kutokuwa na mwanzo wala mwisho, hivyo hilo swali halina mantiki. Pia tufanye kuwa Mungu ameumbwa, kwa hiyo logic ni kuwa aliyemuumba naye anatakiwa awe ameumbwa, na kuendelea. Hivyo ni wazi kuwa kutakuwa na miungu infinity kitu ambacho ni Illogical. Hivyo namaliza kwa kusema kuwa, Swali la Who Created God is an illogical question.
We are debating about the existence of God and not about evolution.So stop airing your dirty laundry by jumping from one topic to another.Atheists are a laughing stock!
If He doesnt exist - what/who does? It is foolishy to argue with some one who doesnt even have a locus of stand!!
Evolution is based on assumptions and realities! There is no facts and then you demand ' evidençe' to prove God's existence. Look at this stupid assumption- we came from monkeys*** thats's waooh - why are monkeys still monkeys? I thought They evolved.
EVEN BIGBANG is another faggot assumption!! What/ Who is the triger behind it!! You wont get any Fact jus assumptions again!!
Can u explain?
wacha uongo wako.ulikutana lini na mungu akakusimulia hayo? if you are sure god exists who is such powerful, why does evil exist?Habari zenu wana JF. Leo nataka niwaletee ukweli ambao wapinga mungu kama Kiranga huwa hawauelewi. Swali hilo ni hili.
Swali: Je, kama Mungu yupo, nani alimuumba Mungu? (Au ametokea wapi?)
Jibu: Mungu ana sifa ya kutokuwa na mwanzo wala mwisho, hivyo hilo swali halina mantiki. Pia tufanye kuwa Mungu ameumbwa, kwa hiyo logic ni kuwa aliyemuumba naye anatakiwa awe ameumbwa, na kuendelea. Hivyo ni wazi kuwa kutakuwa na miungu infinity kitu ambacho ni Illogical. Hivyo namaliza kwa kusema kuwa, Swali la Who Created God is an illogical question.
You are so childish. You cant even think clearly. You attack the Creator that made you and gave you life (see the bold) and two steps later you want me to prove His existence. Well you brought a case that God does not exist and you have another accusation that Creator God is product of my false assumption. Should I prove that one is not the case?Who are supposed to prove/disprove the existence of God between Theist and Atheist?
I think your God is a product of your false assumption just the same way you are assuming I am possessing multiple IDs(something which is not true).