Sasa kama amejifunua kwa kila kiumbe mbona kuna maswali ya contradiction hamuwezi kuyajibu?roman1:19-20
Mungu amejifunua kwenye akili ya kilA kiumbe .hakuna excuse . usiku mwema Mungu awalinde .
Why am I having useless nipples?
Unajuaje sijasoma Biblia?soma bibilia kwa acha kusomewa na kuambiwa nini na wapi pa kusoma. bibilia iko sahihi. nimekwambia explore bible sio ukaongozwe na werevu wachache nini cha kufanya. hivyo ni vidogovidogo vyenye msjibu humohumo. soma bibilia acha uvivu
Sio akiwa na mkewe.pumzika ulale naona umeanza kujisogeza na viconcept vyako vya evolution.
mbona hujauliza kwa nini una xy chomosome badala ya YY. yawezekana umewekewa kama kiungo chenye nerve ending kiwe stimulant ukiwa na mkeo.
unauliza maswali ya chekechea. najua utauliza tena kwa nini makalio hayapo kichwani?
Tatizo lako huwezi kufuatilia argument.Hapo ndipo tatizo lako kutokukubali imani linapojionesha.Ikiwa unajua suala la mungu ni la imani,sasa wewe unayetaka uthibitisho na unasema kuamini hakuhitaji uthibitisho unakuwa na maana gani? ndiyo maana nasema wewe hukubaliani na imani ila unakataa.
Nieleze kwa vp inawezekana ukamshawishi mtu wa imani moja kuamia imani nyengine katika hali ya kutouliza swali lolote.Inawezekana kwa sababu hata hao wanaosema wanaamini kiukweli hawaamini.
Ndiyo maana hata wanaweza kutenda dhambi na kufanya kinyume cha maagizo ya dini zao huku wanajua wanafanya hivyo.
Mungu anaishi wapi?Nieleze kwa vp inawezekana ukamshawishi mtu wa imani moja kuamia imani nyengine katika hali ya kutouliza swali lolote.
Kwa sababu wote wenye imani hawana imani kamili, ndiyo maana wanaweza sio tu kuuliza maswali na kuhamia dini nyingine, bali hata pale wasipouliza maswali na kuhamia dini nyingine, wanaweza kufanya kinyume na maagizo ya imani zao huku wakijua wazi kwamba wanafanya kinyume na maagizo ya imani zao.Nieleze kwa vp inawezekana ukamshawishi mtu wa imani moja kuamia imani nyengine katika hali ya kutouliza swali lolote.
Nadhani umeona ilivo rahisi kuzusha vitu beyond our capabilitieshauwezi kusema vitu juujuu tu ukaondoka. lazima ueleze why,how,what,when,where. na kama ni mtu wa dini lazima unachokisema kiwe na ushahidi usiotiliwa shaka kutoka katika bibilia. Pia Mambo ya Imani kuna watu wanachukulia kama mambo ya watu wasio na akili, Kila kitu kiko supported na reasonable ground.
Je kwakuwa siwezi kuthibitisha kama vipo uta nipinga mimi!!?
Au utakubali kwakuwa wewe huwezo kuthibitsha kama kweli viti hivo havipo!!?
Siwezi kupinga kwanza, nitaendelea kutafuta ground ya hicho unachokisema kama ni kweli. Sasa kwa mada yetu humu ndani Badala ya kuexplore na kujilidhisha chukua muda hata kama miaka badala yake unachukua opposite site isiyo na utetezi wowote na kusimika nanga huko na kupinga kila kitu kilicho upande usioupenda. Huko ni kukwepa majukumu ya kuutafuta ukweli
Unaeleza vizur..nahis nahitaji muda kujifunza vingi kutoka kwako.Unajuaje kwamba najua sababu ya mimi kuwepo duniani?
Au una assume tu kwamba najua sababu ya mimi kuwapo duniani?
I will tell you what, sababu yoyote ya mimi kuwapo duniani haiwezi kuhusiana vyovyote na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.
Kwa sababu, mimi nakutana na mabaya hapa duniani, na Mungu huyo kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana ni contradiction, hilo moja.
Pili, Mungu huyu anatakiwa kuwa ni utimilifu wa utakatifu.The epitome of holiness and perfection.
Katika hesabu na fizikia, utimilifu wa perfection ni nothingness. By nothingness I mean not having anything anywhere, not even having "where", not having space, not having time. Huo ndio utimilifu wa perfection.
Dunia na vyote unavyovijua viko hapo kwa sababu ulimwengu umekosa utimilifu wa perfection. Mungu angekuwepo, kungekuwa na utimilifu wa perfection (kwa sababu Mungu yupo) utimilifu huo wa perfection ungekuwa nothingness.
The fact that tunaona kuna ulimwengu ambao una something na hatuna nothing ni kwa sababu ulimwengu umekosa perfrction, hakuna Mungu.
Kwa hiyo nikirudi kwenye swali lako, kwa minajili ya maelezo yangu ya hapo juu, sababu ya mimi kuwapo duniani ni kwa sababu Mungu hayupo.
Mungu (utimilifu wa perfection) angekuwepo/ ungekuwepo, kusingekuwa na chochote popote, kusingekuwa hata na popote kwa maana ya kwamba kusingekuwa hata na space.
Kwa sababu tunaona kuna kitu, hilo linamaanisha utimilifu huu wa perfection/ Mungu ni vitu vya kufikirika.
Historia inaonyesha primitive thinking ndio source ya uwepo wa vitu visivyokuwa na proof. Primitive thinkers they dont need research to blv... wanahitaji vitisho tu... mtaenda kuchomwa etc.leta researched data sio stori za uswahilini
Hey You Vixen! with me again?...Is your annual oestrus around the corner?Hey bitch boy...actually those little inverted nipples of yours are not useless.
Just ask your stupid retarded boyfriend to suck on them and see what happens....
Hahahaaa kwamba chuchu ni kwaajili ya stimulant?....siyo kwa wote, kila mtu ana erogenous zones zenye kutofautiana.pumzika ulale naona umeanza kujisogeza na viconcept vyako vya evolution.
mbona hujauliza kwa nini una xy chomosome badala ya YY. yawezekana umewekewa kama kiungo chenye nerve ending kiwe stimulant ukiwa na mkeo.
unauliza maswali ya chekechea. najua utauliza tena kwa nini makalio hayapo kichwani?
Ok mimi naweza kusema kwamba baadhi ya wanyama hula wanyama wengine ili kubalance ecosystem.Kumbuka nimeuliza swali na wewe umeniuliza na unataka nikujibu,sasa nimeuliza kwamba hilo swali lako linahusiana vp na nilichouliza mie? maana kama halihusiani inakuwa ni sawa na mie niulize Rais wa Tz ni nani halafu uniulize ccm ina wabunge wangapi? unafikiri kuna mahusiano gani kati ya rais wa Tz na idadi ya wabunge wa ccm?
God is on vacation - Bruce almightyWho told you Mungu amejificha?
Just because you cant see Him doesn't mean he's not there
We don't see your memory and intelligence
But we know it's there right (if it's actually there that is)
Hahahaaa
kwamba chuchu ni kwaajili ya stimulant?
....siyo kwa wote, kila mtu ana erogenous zones zenye kutofautiana.
Hekaya za mkuu wa Ikulu.Naomba malaika ashuke azime mitandao ya kijamii
Alitumia NENO.God is on vacation - Bruce almighty
Nafkr swali zuri mkuu ni kujiuliza..Nadhani umeona ilivo rahisi kuzusha vitu beyond our capabilities
Mkuu unataja sana bible ipo quran pia, ipo gita nk. Kwa tathmin ya haraka ndio maana kuna kuchanganyana, mara mungu wa utatu, Mungu mmoja sijui na mambo kibao.
Ndio maana nika kwambia kuwa claims hizi ni ngum sana kwa kuwa
Ni watu walianzisha imani zao ambazo wewe leo unazifollow na hakuna evidence whatsoever kuwa hawa watu walifanya vitu kwa kuongea na Mungu. Mkusanyiko wa vitabu 72 hauwezi kosa ka reality hata kadogo hivo na acknowldge kuna vitu huwa ni real utapata ushahidi ila huwezi pata ushahidi kuwa Mungu ana exist. Fuatilia sana dini ilikuwa inatumiwa na watawala kaitka kuwaongoza watu na kuweka harmony kias fulan. Ndio unaona kina daudi, musa , suleiman, mohamad etc. Na recently hata wakoloni wameitumia.
Hata na mimi claim yangu niki iandikia ikapata washabiki , miaka 4000 ijayo itakuwa almost real kwani itakuwa mioyoni mwa watu na itakuwa imepitia document nyingi na watu wana fundishwa vizaz kwa vizaz na ndio kilicho tokea kwenye hizi mambo za uwepo wa Mungu.
Ahsante
Unachotaka mie nikifanye ni sawa na wewe ambae unaamini kuwa jua litatoka kesho halafu ukawa unasubiri hiyo kesho,lakini atokee mtu na kukwambia umthibitishie imani yako ya kutoka kwa jua kesho.Tatizo lako huwezi kufuatilia argument.
Katika imani kuna imani potofu na imani sahihi.
Nikisema kwamba nakuja nyumbani kwako, naamini upo nyumbani, nikafika nikakukuta hupo, imani yangu kwamba ulikuwapo nyumbani, kwa wakati ule ilipokuwa imani, ilikuwa ni imani potofu.
Nikisema kwamba nakuja nyumbani kwako, naamini upo nyumbani, nikafika nyumbani nikakukuta upo nyumbani unanikaribisha, imani yangu kwamba ulikuwapo nyumbani, kwa wakati ule ambao ilikuwa imani, ilikuwa imani sahihi.
Kufika kwako na kufahamu kwamba upo au haupo kutathibitisha imani yangu kama ilikuwa sahihi au potofu.
Nikifika na kuthibitisha kama upo nyumbani, natoka kwenye imani, naingia kwenye ujuzi, kwa sababu nimethibitisha.
Imani kabla ya uthibitisho haijahakikiwa, ni kama kubashiri tu bila uhakika. Kubashiri bila uhakika kunaweza kuwa sawa au kusiwe sawa hata kama habari haina mushkeli kama wa contradiction.
Habari ikiwa na mushkeli wa contradiction, mushkeli unaonesha kuna kitu hakipo sawa, kuna uongo hapo.
Sasa kwa nini nikubali imani, ama imani iliyo na mushkeli wa contradiction ama iliyo na mushkeli wa contradiction wakati kuna njia ya kufanya ili kuthibitisha imani hiyo?
Kwa nini niseme tu "nje mvua inanyesha" kwa imani nikiwa ndani ya nyumba isiyo na mawasiliano yoyote na nje wakati naweza kufungua mlango nikaangalia kama nje mvua inanyesha?
Kwa nini nikubali kuishia kwenye imani wakati naweza kuchunguza na kuthibitisha?