'Who created God' is an Illogical Question!

Unampa free ride ya nini huyo? Makosa ya Mungu kwa kipimo gani? Aliyapimaje makosa ya Mungu?
Question foundation za argument zake na utaona arguments zake ni za kipumbavu kabisa!

Hawezi kujibu huyu kiumbe. Atakuja hapa na kuleta swali jingine au ataanza kuchambua muundo was sentensi, mpangilio wa maneno na maana yake. Kulijibu hili swali hatafanya hivyo. Ni mzuri kukanusha na kuuliza, lakini hataki kujibu wala kujifunza vitu vingine tofauti na IMANI yake ya Ukana- Mungu.
 
huyu yeye ni mweupe tena anapinga kwa hofu na mkumbo. kaka yake yeye anajitoa fahamu kila anapokwama anarudia kulekule kwenye swali lake na kudistort flow ya mazungumzo. hii ni kwa sababu wamejipa umaarufu huu miaka mingi kutosurrender ndio last option kwao.
wanashindwa kujua logic ndogo tu "Abscence of evidence is not evidence of abscence". wakipewa maelezo yasiyokuwa kwenye bongo zao wanarukia kwingine.
 
Asante kwa hayo maelezo na hivyo vielelezo. Mbali na hivyo vielelezo nilitegemea pia ungesema unavyomjua Mungu au kwa namna nyingine basi ungeelezea Mungu ni nani/nini? Yani nipatie maana ya Mungu kwa upande wa wewe Usiyeamini uwepo wake.
Nina imani swali langu litakuwa limeeleweka ndugu.
 
pia anapaswa kujua hata hiyo geometry na mathematics zote originated from God kabla hata huyo euclid hajazaliwa. 2chronicles4:2 and 2chronicles 4:5 kila kinachofanyika hapa kidesign hayo matank was geometry . You cannot use Gods inventisions to discredit him Ndio maana bado mathematicians wengi leo wanatumia modern mathematics to clear doughts on his existence.
hayo maelezo ambayo anakomaa nayo wiki kadhaa hayana mashiko.
kwanza huyo euclid alitumia logic na axioms kuprove contradiction hiyo hence God doest exist. Mwanasayansi Godel katika model yake na yeye katumia axioms na logic kuprove Mungu Yupo. hata baada ya kubishiwa. hivi karibuni kikundi cha logicians na computer scientists wamedecode idea za godel kuthibitisha alikuwa sahihi . Kuna kitu kinaitwa Modal logics sio hizo limited logics anazotumia. Modal logics zinainclude "posibility" na "necesity".
There is no excuse to escape God. anataka kutumia mathematics kama kichaka huko nako atakimbia akibanwa. usitegemee kujibiwa
 
Unasema sijasoma vizuri hujui hata aya gani.

Wewe unayesema sijasoma vizuri umesoma vizuri hiyo aya?

Sijasoma vizuri aya gani?
 
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Mbona nishamsema hapo juu, labda nikuulize wewe, unajua kusoma kwa ufahamu (comprehension) ?

Nimetaja karibu mara zote, tena kwa kurudia rudia kama Agano la Kale.Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote.

Nimesema Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na uoendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani ni contradiction.

Halafu bado unaniuliza nieleze Mungu ni nani nini?

Mungu ni dhana tu, tena inayojipinga, katika uhalisia Mungu huyu hayupo, kwa sababu kitu kinachojipinga katika dhana hakiwezi kuwepo kwenye uhalisia.
 
Can you prove God exists?
 
Unajua kulumbana na wewe siyo shida, shida ni pale unapoulizwa swali halafu unajibu kitu kingine tofauti kabisa.Huku ni kupoteza muda.

Hivi umetumia kigezo gani kusema nina hofu?

Hivi kweli kama Mungu angekuwepo, si ingekuwepo dini moja tu?.Kwa nini ziwepo dini nyingi(ambazo haziendani) zenye kudai zinamwabudu Mungu mmoja?

Kwa nini hizo dini zinazomwabudu Mungu mmoja zina sheria na taratibu za kumwabudu zenye kuofautiana?

Kwa nini madhehebu ya Kikrosto yanayotumia Bibilia moja, yanatofautiana sana?...ina maana wanashindwa kupokea maelezo kutoka kwa Mungu? ama wanamtafsiri tofauti?

Je hizi tofauti za kidini ameweka Mungu ama mwanadamu?.....Mungu anaweza kuwachanganya watu wake kwa kiasi hiki?.....Kama ni za kibinadamu, huoni hata huyo Mungu ameumbwa na wanadamu?
 
Can you prove God exists?
Itafika muda ambao itajulikana ukweli kuhusu kuwepo ama kutokuwepo kwa mungu,ila hivi sasa watu wanaamini kuwa mungu yupo. Ni kama kuamini kuwa jua litatoka kesho na ukasubiri kesho ifike.
 
Kama Mungu alimuumba shetani kwa kujua, ina maana alijua kabisa atakuja kuasi....Ina maana hakujua kama uasi wa Shetani utakuja kumtesa binadamu?

Eti Mungu hawezi kumuogapa Shetani kiumbe chakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€....Hivi mzazi unaweza kutengeneza conc.Nitric acid halafu uiweke kwenye chumba cha watoto wachanga uliowapa maagizo wasiiguse then uondoke zako huku ukijisemea huwezi kuogopa kitu ulichokitengeneza?
 
Unampa free ride ya nini huyo? Makosa ya Mungu kwa kipimo gani? Aliyapimaje makosa ya Mungu?
Question foundation za argument zake na utaona arguments zake ni za kipumbavu kabisa!
Je binadamu huwa anatenda makosa?
 
Je binadamu huwa anatenda makosa?
Kosa unalipimaje? Unadhani kuna kosa ambalo ni kosa kila mahali au kila mtu ana uhuru wa kuamua kipi ni kosa? Mfano ni kosa kwa jambazi kuua ili apate fedha wanawe wasife njaa? Au je ni kosa nikikupiga risasi kwa sababu tu ninaona unatakiwa kuwa eliminated (Hitler vs Jews)?

Kitu gani kina determine kosa?
 
Je binadamu huwa anatenda kosa?....hili ni swali la ndiyo/hapana.
 
Itafika muda ambao itajulikana ukweli kuhusu kuwepo ama kutokuwepo kwa mungu,

Unajuaje hilo?

Kila wanaosema Mungu hayupo wakitoa ushahidi mpya, wanaosema Mungu yupo wanaweza kukanusha kwa kuweka "Deus ex Machina".

Mfano, kuna watu walisema radi ni ushahidi kwamba Mungu yupo, ni hasira ya Mungu. Wanasayansi walipokuja na kuonesha kwamba radi ni umeme tu, wanaoamini Mungu wakasema umeme huo unatokana na Mungu.

Kwa njia hii, hususan kwa sababu wanaosema Mungu yupo wanasema haonekani wala kupimika, tutafikiaje muafaka?

ila hivi sasa watu wanaamini kuwa mungu yupo. Ni kama kuamini kuwa jua litatoka kesho na ukasubiri kesho ifike.

Kuamini Mungu yupo si kama kuamini jua litatoka kesho.

Jua lina track record ya kuonekana kila siki likichomoza, Mungu hana track record ya kuonekana kwa njia ambayo inaweza kuthibitishwa hata siku moja.

Jua halina contradiction. Nikisema "jua litachomoza kesho" kauli hiyo haileti contradiction, haijiping yenyewe. Nikisema "Kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ambaye alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, lakini akaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana" kauli hiyo ina contradiction.

Utafananishaje kuamini kitu ambacho hakina contradiction na kuamini kitu chenye contradiction?
 
ungekuwa mtoto wa kwanza wa adam. hayamaswali yako yote yasingekuwepo.
unakubali udhaifu wa maelezo yako unathibitisha Mungu Yupo? kwa maana kwahekima ya maelezo yako kuna wakati vyote hivyo havikuwepo lkn Watu walikuwepo na Mungu alikuwepo.
 
Can you prove God exists?
proof nyingine ukiacha ambazo umeshaeleweshwa na kukwepa. ni kushindwa kwako kuprove Hayupo bila kuassume Yupo kwanza ili upate uhalali wa kutengeneza hypothesis zenye contradictio. Maana yake bila uwepo wa Mungu huwezi kuja na unrelated theorem to prove kutokuwepo kwake. Mungu Yupo.
 
Kumbuka " Kutokuwepo kwa Ushahidi, sio ushahidi wa Kutokuwepo"[/COLOR][/B]
Lakini kumbuka pia
"Dai lisilo na ushahidi linaweza kupingwa bila ushahidi pia"
Nadhani Kutokuweza kuonesha kuwa Mungu hayupo hakufanyi awepo.
 
kwa maelezo haya unataka kusema hayupo kwa sababu alimuumba shetani hahahahaa.
sasa mbona unazidi kuprove Yupo. yaani huwezi kuprove hayupo bila kwanza kuwepo akuchanganye ndio useme hayupo.
kweli kazi ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…