Hujajibu swali langu.Wewe waamini Qur'an?
Tumia mfumo unaoamini wewe.Utoe uthibitisho.Hujajibu swali langu.
Mimi nataka kwenda na mfumo unaouamini wewe.
Kwa sababu ninaweza kukutajia mfumo usiouamini ukawa hukubali jibu langu.
Wewe unaamini Mungu yupo.
Nimekuuliza unaamini Quran?
Ninswali dogo tu. Lijibu.
Tumia mfumo unaoamini were,ili ithibitishe haya mabaya.Hujajibu swali langu.
Mimi nataka kwenda na mfumo unaouamini wewe.
Kwa sababu ninaweza kukutajia mfumo usiouamini ukawa hukubali jibu langu.
Wewe unaamini Mungu yupo.
Nimekuuliza unaamini Quran?
Ninswali dogo tu. Lijibu.
Kwa sababu wewe huamini Quran?Tumia mfumo unaoamini were,ili ithibitishe haya mabaya.
Hujanijibu.Kumbuka nilikuambia,wasioamini Mungu,hutumia nyenzo za Mungu,wasiyemuamini kujenga hoja zao.
Utatumiaje uthibitisho,wewe usiouamini,kunithibitishia mimi?Kwa sababu wewe huamini Quran?
Unaikana Quran leo?
Usikwepe Swali,thibitisha mabaya .Hujanijibu.
Unaelewa immanent critique ni nini?
Unaweza kuielezea?
Kwa sababu nikitumia uthibitishobusiouaminibwewe utasema huuamini.Utatumiaje uthibitisho,wewe usiouamini,kunithibitishia mimi?
Hicho kitabu wakiamini?Kwa sababu nikitumia uthibitishobusiouaminibwewe utasema huuamini.
Nikikwambia kuna evil kwa sababu kitabu cha ndama wa dhahabu asiyeonekana wa Wachagga aliye juu ya Mlima Kilimanjaro kimesema hivyo, utaniamini?
It doesnt matter kama mimi nakiamini.Hicho kitabu wakiamini?
Wewe wakiamini kitabu cha Qur'an?It doesnt matter kama mimi nakiamini.
It matters kama wewe ndiye unakiamini.
Unaamini Quran?
Au leo nimemfanya Muislamu aikane Quran?
Wapi nimeandika naikana au siikani?usikwepe swali,toa uthibitisho wa mabaya.Leo nimemfanya Muislamu aikane Quran.
Nimekubana pabaya,jibu swali,wapi mabaya unaweza kuthibitisha.Leo nimemfanya Muislamu aikane Quran.
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote aumbe ulimwengu uliyo na imperfections?Sasa kama mambo hayapo kama utakavyo au tutakavyo je,ndiyo mungu hayupo?
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Hiki unachoeleza unauhakika kuwa ndio ukweli halisi na siyo mawazo yako?Kwa nini unataka uwe unlimited.
Mungu aliumba limited universe ambayo sio hiyo tu bali hata wewe mwenyew hujajijua 100% na kila kitu ambacho ungehitaji kwenye maisha yako na ambacho kipo within your limit sio wewe tu dunia nzima wameshagundua asilimia chini ya moja. wabishi wote wanapochunguza malimwengu wanakutana na maswali yasiyo na majibu. why claim for unlimitedness while you know nothing on things that are within your limit. he created you to be limited for his own glory and for you to enjoy the world
.Hivi ni maana ya mantiki (logic) ?
Uthibitisho wangu natakabkuutoa katika kitabu cha Quran.Wapi nimeandika naikana au siikani?usikwepe swali,toa uthibitisho wa mabaya.