'Who created God' is an Illogical Question!

Umejuaje kuwa kuku hawawezi kuthink kuhusu existence ya mungu?
 
K
Kusoma Quran doesn't mean i believe in it au namwabudu Mungu mwingine
I read several things doesn't mean i believe them or agree with them.
It's for knowledge
For there may come a time when i am supposed to defend what i believe relative to other beliefs ambazo zipo

Knowledge is good.
But with studying the bible you never attain 100% knowledge because the revelation from the word of God is infinite because our God is infinite and he dispenses wisdom infinitely to those who seek it

Kwa sisi Christians prayer is even stronger than willful good actions
You see with prayer you humble yourself before God, you ask for him to strengthen you
To enable you do stand better in your place, to enable you to act bettee
And the word says he strengthens those who come to him and ask for strength to live a holy life

Good actions sawa you can do them, ila theres a limit, kuna wakati unaweza ukajikuta una fail

Most people katika faith yangu waliojulikana kwa kufanya great things katika imani, na kuishi maisha ya mfano walijulikana as men of prayer,
They attribute it to prayer


They constantly sought to be strengthened in prayer and they were


Hii ni Christian faith. That's what it entails

Hah
Halafu i asked u not to reply coz i know for well i will reply back
 

It's your reality, and I respect that.

PS: Hujaniambia not to replay.
 
If god created the world, what was there before he created it?

What made him decide to create it?

What proof is there that actually proves he created it?

And how did he himself come to be? Did he create himself?
I do not know what was there before.

I was not in his head when he was making decisions

The so called Bible stands as proof

He is the Alpha and Omega
 
Watu wengi sana hawaijui evolution halafu wanafikiri evolution haijajibu maswali yao

Mkuu kama wewe ni Archaeologist nakupa heko sana.
 
Hekima ya binadamu ni upumbavu kwa Mungu.

Kuna vitu ukiwa mtoto, baba yako akikufanyia huelewi na unaona ni unyanyasaji., lakini ukiwa mkubwa unagundua kuwa kulikuwa na sababu yake, na sababu hiyo ni njema.

Wewe unasema unao ushahidi wa kimantiki kuwa Mungu hayupo, Sisi tuna ushahidi pia wa kimantiki kuwa Mungu yupo.

Tunaomuamini Mungu kazi ya kuelezea viumbe vilipotoka ni rahisi sana kwetu. Jibu lake ni "Mungu kaumba". Ila mpingamungu ana mzigo mzito mno wa kuelezea tumetokea wapi bila kumhusisha Mungu, na bila kuacha chembe ya shaka.

Vimbunga na matetemeko etc tunaweza tusijue maana yake leo, lakini tunaamini kuwa kuna kusudi jema, ingawa akili zetu haziwezi kuchanganua.

SWALI: Kama Mungu hayupo, binadamu wametoka wapi, kwanini kuna viumbe wa kike na kiume? Je, Camera imetengenezwa na binadamu lakini jicho lime 'evolve'? Toa majibu halafu thibitisha majibu yako pasipo kuacha chembe ya shaka.
 
Ukisema kila kitu complex lazima kimeumbwa, mungu naye kwa kanuni hiyo lazima atakuwa kaumbwa.

Unaelewa hilo?
 
Mungu hayupo. Huyu Mungu mjuzi wa yote mwenye upendo wote na nguvu zote hayupo.

Angekuwepo dunia isingekuwa na maovu. Angeumba dunia ambayo maovu hayawezekani kuwepo.
It seems you like logical reasoning, but you can't reason this;

How can you have free will and yet be restricted to do bad thing? Will that be a true free will? Explain it logically!
 
Every thing is created by God. But not all created has a creator
 
Desiring God is a loving God. He desire us to know HIM.

Desiring is not necessarily a shortcoming.
 
If you come to know what the FREE WILL is, most of your arguments will fall down in a one minute like a wall shaken by a might earthquake.

Please, define FREE WILL.
 
It seems you like logical reasoning, but you can't reason this;

How can you have free will and yet be restricted to do bad thing? Will that be a true free will? Explain it logically!
The same way I have free will but I can't move backwards in time.

I can have free will to choose good things. Just as I have free will to move forward in time.

Free will is an illusion.

I wasn't asked to be here.

How can humans have free will and God retain perfect knowledge at the same time?
 
Why dont you just cut to the chase and give us your take or opinion on what forces you think rule the world around us. Is there another supreme being or other forces that u know of that u think make the world as we know it.
 
Can you prove God exists?
Its a just matter of thinking the things can be exist itself as it appeared without creation?? What is the origin of universe and its constituences ? I think are created...!
By whom ? Its only some body known as...
 
Its a just matter of thinking the things can be exist itself as it appeared without creation?? What is the origin of universe and its constituences ? I think are created...!
By whom ? Its only some body known as...
If all that is complex needs a creator, then that creator who is even more complex will also need a creator.

Ad infinitum, ad nausea.

No room for God in that endless universe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…