'Who created God' is an Illogical Question!

'Who created God' is an Illogical Question!

So you know everything there is to know about this topic. You're 100% knowledgeable?

Right?
Kiranga
If that's how you view things i am afraid i will have to rest my case kwako

I can't continue reasoning with a person who thinks he knows 100% about something.

I will continue reasoning with the other guys here

If at any time you're ready to join me so that we dig together and set things straight I am here you can always PM me

You don't believe in God, but I do

So I will pray for you


Ukiwa tayari you can always check me out. I may be busy but i can make the time
 
Actually let me use the same example to my advantage.
Thanks kwa kunipa mfano

Kwa nini mwili unarespond hivyo. Why does the body kill the unwated pathogen and the cell?

Most of the pathogens come in anget incorporated to the cell in one way or another

They inflict damage upon the cell hiyo damage inafanya ile cell hata baadae pathogen akitolewa ile cell haiwezi kufunction the same way as cells nyingine na ndio maana mwili uidesteoy hiyo cell na kuzalisha another cell ambayo itafanya kazi optimally

Ni the same thing with sin na shetani.
Sin inacorrupt a human being, inadestroy relationship kati ya Mungu na mwanadamu, inamfanya binadamu afunction tofauti na vile ambavyo inapaswa, sin corrupts innocence

Mungu ametupa njia ambayo we may be redeemed from slavery of sin ila tu ni kwa wale watakaomwamini kwani ametupa free choice kumwamini na kuukubali mpango wake au kusuffer the consequences

Kama binadamu atakataa dawa aliyotoa Mungu against sin na ikafika ile siku ya mwisho itakuwa ni hivi.

Mungu amekupa an option dhambi yako iondolewe kupitia wewekurudi katika imani kwake ukaikataa ukaamua kubaki na dhambi yako

Therefore kwa nini usife nayo. Dhambi yako itateketezwa na wewe utateketezwa kwa kuwa upo corrupted na mbali ya kuwa corrpted ukakataa kupokea dawa ya tatizo hilo

Dont you see the fairness there?

Nice.

But Unlike diseases hatuwezi kutibu seli zilizokufa and we wish to do that. Though kuna baadhi ya disease ambazo after treatments tunarepair cells. But sio our concern here. Our main them ni Chanzo na adhari ya chanzo. Chanzo na kilichoathiriwa bila kuwa chanzo ya itself!

Lakini God is able to do anything. He is loving and he loves us. He loves everyone both good and bad people.

Then He knows that Satan IS THE CAUSE! Then why execution isiwe ya source? I think hujaenda kwenye core ya swali langu.
 
Hivi kama Mungu yupo, mbona tunabishana juu ya uwepo wake?
Kwa sababu hamtaki kuamini

Kwa nini hatubishanii juu ya uwepo wa vitu vingine ambavyo wengi wetu hatujawahi kuviona?

Kwa sababu hamjaamua, mkiamua kubisha mtabisha

Kwa nini Mungu ajifiche mbali na watu wake?

Yupo kila sehemu

Kuna ubaya gani kwa Mungu kuonekana kwa viumbe wake?

Hakuna ubaya, ukitaka kumuona, utamuona
 
So you know everything there is to know about this topic. You're 100% knowledgeable?

Right?
Far from it.

But you certainly have not provided anything new that I have nit heard before.

You say you uphold logic, but believe in a the idea of a God that is self contradictory.

How absurd.
 
Answer my question, why hakuna sokwe-mtu au paka-mjusi duniani?

I am archaeologists, I can answer you questions kuhusu evolutions very clearly.

Swali lako linatokana na kutofahamu evolution vyema. Lakini kabla ya kuelewa evolution fahamu classification ya viumbe. Species, they can not met na kupata watoto. Paka hawezi ku mate na mjusi.

Hakuna sokwe mtu kwa sababu tulitoka katika same ancestry kila kiumbe kikawa kivyake, sokwe kawa sokwe na mtu kawa mtu, sio mtu katoka kwa sokwe au sokwe katoka kwa mtu. Ni sawa na kuuliza kwanini tunda haliwi tawi au kwanini jani haliwi tawi. Kila kimoja kipp katika part yake and at the same time tumeshikiliwa na root!
 
Answer my question, why hakuna sokwe-mtu au paka-mjusi duniani?
Nilikuwa najibu suala la evolution
Sokwe-mtu
Sokwe na mtu wote ni aina ya nyani, kwa hiyo wana vitu tu vinavyo fanana, sasa kwanini hakuna sokwe mtu. Ni kwa sababu wako difetrent families of the same tree.
Paka-mjusi,!!! Hili ndo foolish question, kwa sabab paka na mjusi hawawez waka mate ni viumbe wawili tofauti.

Ulisema evidence za evolution hakuna , nikawa nakusahihisha nadhani ulielewa
 
Kiranga
If that's how you view things i am afraid i will have to rest my case kwako

I can't continue reasoning with a person who thinks he knows 100% about something.

I will continue reasoning with the other guys here

If at any time you're ready to join me so that we dig together and set things straight I am here you can always PM me

You don't believe in God, but I do

So I will pray for you


Ukiwa tayari you can always check me out. I may be busy but i can make the time
Those who know know that 100% is bunkum.

However, you do not offer anything new here.

How can you uphold logic while believing in the idea of a self contradicting God?

That in itself is a contradiction.
 
Nice.

But Unlike diseases hatuwezi kutibu seli zilizokufa and we wish to do that. Though kuna baadhi ya disease ambazo after treatments tunarepair cells. But sio our concern here. Our main them ni Chanzo na adhari ya chanzo. Chanzo na kilichoathiriwa bila kuwa chanzo ya itself!

Lakini God is able to do anything. He is loving and he loves us. He loves everyone both good and bad people.

Then He knows that Satan IS THE CAUSE! Then why execution isiwe ya source? I think hujaenda kwenye core ya swali langu.
The presence of diseases is evidence that there is no God. Not this omnipotent omniscient omni benevolent God.

How could such a God create a world in which disease is possible while he could have created one in which disease is not possible?
 
Br
Those who know know that 100% is bunkum.

However, you do not offer anything new here.

How can you uphold logic while believing in the idea of a self contradicting God?

That in itself is a contradiction.

Brother I think i have made myself clear

You want to discuss with me

We take materials that support your stance
And then materials that support my stance study them point to point

Then come to a conclusion

Otherwise all you're doing here is flaunting your stance hopelessly because i no longer consider you credible since you want to make a GRAND conclusion based on one side of the story

And that for me makes me lose all the credibility i thought you had

Why not swallow your pride and choose to go through the materials again (if you have really read both sides of the argument)

I will swallow mine and read the contradictions you posted and Compare them to scripture and reach a conclusion

Why don't you want to dive into this?

Are you afraid that you'll be proven wrong?

What if you're proven right in the end?

Doesn't that give you even a higher ground to stand on?
 
The presence of diseases is evidence that there is no God. Not this omnipotent omniscient omni benevolent God.

How could such a God create a world in which disease is possible while he could have created one in which disease is not possible?

Actually utaambiwa Mungu aliumba dunia perfectly lakini Shetani ndio alileta mabaya yote. Including earthquake, volcanic eruption, floods, droughts, global warming, dry seasons vyote havikupangwa na mungu ila baada ya Shetani kuwa nyoka anayeongea bustanini na kushawishi mwanamke kula tunda na bwana wake dunia ikalaaniwa. Wanyama wakaanza kulana, some of bacteria na viruses wakaingia kwenye miili na kuwa pathogens....idk

Sounds like viruses na bacteria wote walikuwa wana exist bila impact. How? I don't know.

Sounds like a mythological idea to me. Hard to get a picture. And they convinces me that what they imagine is accurate. Man I don't know, I think My Mind is so hard to accept things and ideas ambazo hazina logic.
 
Br


Brother I think i have made myself clear

You want to discuss with me

We take materials that support your stance
And then materials that support my stance study them point to point

Then come to a conclusion

Otherwise all you're doing here is flaunting your stance hopelessly because i no longer consider you credible since you want to make a GRAND conclusion based on one side of the story

And that for me makes me lose all the credibility i thought you had

Why not swallow your pride and choose to go through the materials again (if you have really read both sides of the argument)

I will swallow mine and read the contradictions you posted and Compare them to scripture and reach a conclusion

Why don't you want to dive into this?

Are you afraid that you'll be proven wrong?

What if you're proven right in the end?

Doesn't that give you even a higher ground to stand on?
What is the point of studying your material if at all at any point I ask you a question you can't answer you can just tell me "God is to difficult to understand with the human mind, you must believe he exists. Just believe." ?

You used the word "credible".

The Bible is nit credible.

It has countless contradictions.

I have provided the contradictions here.

You have nit resolved them.

How can you believe in such a book and continue to talk about credibility?

How can God allow his book to have such a huge number of contradictions?
 
Nice.

But Unlike diseases hatuwezi kutibu seli zilizokufa and we wish to do that. Though kuna baadhi ya disease ambazo after treatments tunarepair cells. But sio our concern here. Our main them ni Chanzo na adhari ya chanzo. Chanzo na kilichoathiriwa bila kuwa chanzo ya itself!

Lakini God is able to do anything. He is loving and he loves us. He loves everyone both good and bad people.

Then He knows that Satan IS THE CAUSE! Then why execution isiwe ya source? I think hujaenda kwenye core ya swali langu.

Yeah God is able to do anything but that doesnt mean he wants to do anything

He loves us very much, but he is a holy God, and there is something God loves more than he loves human beings.
Holiness because holiness is his primary character.

It is the first thing he wants to help man achieve.
Holiness

God will not save everyone. He will save those who are willing to be saved
He will save those who pursue holiness, those who will seek him,
will seek to be conformed to his will

Those are his criteria
He loves you but you don't desire the holiness that he desires this can't be a mutual relationship

He gives free will and he makes clear the consequences of each choice and leaves up to you to pursue your chosen path

He loves you but he doesn't compromise his holiness
Because Holiness is his main standing ground
 
Actually utaambiwa Mungu aliumba dunia perfectly lakini Shetani ndio alileta mabaya yote. Including earthquake, volcanic eruption, floods, droughts, global warming, dry seasons vyote havikupangwa na mungu ila baada ya Shetani kuwa nyoka anayeongea bustanini na kushawishi mwanamke kula tunda na bwana wake dunia ikalaaniwa. Wanyama wakaanza kulana, some of bacteria na viruses wakaingia kwenye miili na kuwa pathogens....idk

Sounds like viruses na bacteria wote walikuwa wana exist bila impact. How? I don't know.

Sounds like a mythological idea to me. Hard to get a picture. And they convinces me that what they imagine is accurate. Man I don't know, I think My Mind is so hard to accept things and ideas ambazo hazina logic.
That explanation does not cut it.

I am not asking why is there disease. If that was the question, then that answer could have possibly served.

I am asking why did God choose to create a world in which disease is possible while he could have create a world in which h disease and all the other evils are not possible?

I have not seen a logical answer to this question.
 
Yeah God is able to do anything but that doesnt mean he wants to do anything

He loves us very much, but he is a holy God, and there is something God loves more than he loves human beings.
Holiness because holiness is his primary character.

It is the first thing he wants to help man achieve.
Holiness

God will not save everyone. He will save those who are willing to be saved
He will save those who pursue holiness, those who will seek him,
will seek to be conformed to his will

Those are his criteria
He loves you but you don't desire the holiness that he desires this can't be a mutual relationship

He gives free will and he makes clear the consequences of each choice and leaves up to you to pursue your chosen path

He loves you but he doesn't compromise his holiness
Because Holiness is his main standing ground

What is the source of unholiness to man?
 
What is the point of studying your material if at all at any point I ask you a question you can't answer you can just tell me "God is to difficult to understand with the human mind, you must believe he exists. Just believe." ?

You used the word "credible".

The Bible is nit credible.

It has countless contradictions.

I have provided the contradictions here.

You have nit resolved them.

How can you believe in such a book and continue to talk about credibility?

How can God allow his book to have such a huge number of contradictions?

Brother i have said it again

I will assume I am wrong on this
I will take those contradictions you gave
And i will compare them with counter arguments and reach a conclusion

As i said you're just flaunting your stance
Umesoma article yenye contradictions kwa hiyo unakuja hpa na kudai bible ina contraditions
Sawa tusome tujadili basi articles ambazo zinaelezea the other side of the coin, wewe unakataa unang'ang'ania " bible ina contradictions nimeona ile article"

Do you know how preposterous that sounds?

is that how you do logic my brother


Mimi nimekubali kujishusha na kuassume that I could be wrong, twende tukasome both sides ili mwisho wa siku tupate conclusion


I doubt hata kama hiyo article uliyopost umeisoma hata robo
 
Brother i have said it again

I will assume I am wrong on this
I will take those contradictions you gave
And i will compare them with counter arguments and reach a conclusion

As i said you're just flaunting your stance
Umesoma article yenye contradictions kwa hiyo unakuja hpa na kudai bible ina contraditions
Sawa tusome tujadili basi articles ambazo zinaelezea the other side of the coin, wewe unakataa unang'ang'ania " bible ina contradictions nimeona ile article"

Do you know how preposterous that sounds?

is that how you do logic my brother


Mimi nimekubali kujishusha na kuassume that I could be wrong, twende tukasome both sides ili mwisho wa siku tupate conclusion


I doubt hata kama hiyo article uliyopost umeisoma hata robo
Wewe ushakubali kwamba Bible ina contradictions, mpaka kuna namna ya ku deal na contradictions za Bible kutoka kwa "scholars".

Nimekuuliza imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aruhusu kitabu chake kiwe na contradictions?

Alisinzia kidogo wakati hizi contradictions zinaingia katika Bible?

Hujanijibu.

Biblia kama ni ya Mungu haitakiwi hata kuwa na muonekano wa contradiction. Mungu alishindwa vipi kuifanya hivyo?

Mbona inaonekana ina utata kibao kama imeandikwa na watu tu?

Huyo Mungu yupo kweli au ni kamba tu?
 
Wewe ushakubali kwamba Bible ina contradictions, mpaka kuna namna ya ku deal na contradictions za Bible kutoka kwa "scholars".

Nimekuuliza imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aruhusu kitabu chake kiwe na contradictions?

Alisinzia kidogo wakati hizi contradictions zinaingia katika Bible?

Hujanijibu.
B
Wewe ushakubali kwamba Bible ina contradictions, mpaka kuna namna ya ku deal na contradictions za Bible kutoka kwa "scholars".

Nimekuuliza imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aruhusu kitabu chake kiwe na contradictions?

Alisinzia kidogo wakati hizi contradictions zinaingia katika Bible?

Hujanijibu.
Brother you're beginning to get on my nerve
I don't call them contradictions, they are just areas where more clarity needs to come from more scriptures
Notice that nimekuwa nikiandika contradictions in inverted comas

Hiyo principle ya kudeal na hizo areas ambazo clarity would be obtained from reading of more verses imetoka kwenye bible

Nikakuwekea na bible verse lakini apparently.
The bible explains within itself how it is to be approached

The bible says it possible kukatokea disputes in interpreting certain verses in relation to others hence it tells us how to settle these disputes,

Bible scholars have nothing to do with this principle

No hakusinzia, hizo areas ambazo may bring a different message ziliweka ili ziwe solved by the principles that are in it.

They are not contradictions they are areas where human mind needs greater involvement, more reading more verses to be able to understand the intended message
 
Back
Top Bottom