Je Atheism ni mental illness ? The evidence suggests "YES"

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,118
27,121
Wakati Atheists wanakiri hadharani kwamba akili zao zimeshindwa kuielewa dhana ambayo wao wameibatiza jina na ku iita " The problem or Evil" , Watu wanao amini kuhusu uwepo wa Mungu nao wana ielezea Atheism kama " The Problem of Atheism"

But tofauti na Atheists ambao akili walizo pewa na Mwenyezi Mungu wameshindwa kuzitumia vizuri kuielewa dhana ya " The problem of Evil" ambayo kwao( kwa viwango vyao vya ufahamu) inabaki kuwa mystery, Theist wao tayari wameshapata majibu ya tatizo la Atheism( The problem of Atheism)

To the Theists, Atheism ni tatizo la afya ya akili..
Theists wana amini kwamba kutokuamini kuhusu uwepo wa Mungu ni tatizo la afya ya akili.

wanasema " Mtu ambae ana amini kitanda alicho kilalia ( ambacho ni very simple machine ) , kuna mtu ambae amekitengeneza, lakini yeye mwanadamu ambae mwili wake upo very complex hauna ambae ameutengeneza, mtu huyo ni mgonjwa akili."


Mtazamo wangu Binafsi ni upi?

Siwezi kukataa wala kukubaliana moja kwa moja na hoja hii ya hawa Theists lakini ninacho weza kusema ni kwamba Atheists ni watu wasio penda kuumiza vichwa vyao.

To me Atheism is just an escape root. They are escaping their responsibility . The responsibility to give answers. So by resorting into just saying there is no God, they are just escaping their responsibility through imagination.

Hawana tofauti na Adam alie ulizwa a very simple question " have u eaten the forbidden fruit"? " Ni huyu mwanamke ulie nipa"

Wanakwepa jukumu la kutoa majibu ambayo Mungu amewauliza wanadamu.


Unapotoa hoja kwamba Mungu hayupo kwa sababu eti Mungu mwenye upendo wote mwenye nguvu zote na mjuvi wa yote hawezi kuruhusu watu wake wateseke ni sawa na mtu anae sema " Huyu si baba yangu kwa sababu amenitesa na ana mtesa mama yangu " majibu ya kitoto kabisa.

Kwanini Mungu mwenye upendo wote, mwenye uweza wote na mjuvi wa yote anaruhusu viumbe wake wateseke? Hilo ni swali ambalo wewe mwanadamu umeulizwa na Mungu. Unatakiwa utoe majibu sahihi yenye kumake sense. Ukisema Mungu hayupo kwa sababu ya kukosa majibu ya swali hilo hapo juu unakuwa unaongelea kuhusu swali na sio kutoa majibu ya swali. Una kimbia swali kwa kusema " Mungu hayupo". Unakuwa sawa sawa na mwanafunzi anae sema swali hili limekosewa kwa sababu hajui jawabu lake. Kwa hiyo Athiests acheni kukimbia swali. Njooni tuumize vichwa kwa pamoja tuje na majibu ya swali hilo hapo juu pamoja na maswali yote mnayo kuuliza.
 
Designated Survivor s03 wamezingua sana jinsi walivyoimaliza.
 
Wakati Atheists wanakiri hadharani kwamba akili zao zimeshindwa kuielewa dhana ambayo wao wameibatiza jina na ku iita " The problem or Evil" , Watu wanao amini kuhusu uwepo wa Mungu nao wana ielezea Atheism kama " The Problem of Atheism"

But tofauti na Atheists ambao akili walizo pewa na Mwenyezi Mungu wameshindwa kuzitumia vizuri kuielewa dhana ya " The problem of Evil" ambayo kwao( kwa viwango vyao vya ufahamu) inabaki kuwa mystery, Theist wao tayari wameshapata majibu ya tatizo la Atheism( The problem of Atheism)

To the Theists, Atheism ni tatizo la afya ya akili..
Theists wana amini kwamba kutokuamini kuhusu uwepo wa Mungu ni tatizo la afya ya akili.

wanasema " Mtu ambae ana amini kitanda alicho kilalia ( ambacho ni very simple machine ) , kuna mtu ambae amekitengeneza, lakini yeye mwanadamu ambae mwili wake upo very complex hauna ambae ameutengeneza, mtu huyo ni mgonjwa akili."


Mtazamo wangu Binafsi ni upi?

Siwezi kukataa wala kukubaliana moja kwa moja na hoja hii ya hawa Theists lakini ninacho weza kusema ni kwamba Atheists ni watu wasio penda kuumiza vichwa vyao.

To me Atheism is just an escape root. They are escaping their responsibility . The responsibility to give answers. So by resorting into just saying there is no God, they are just escaping their responsibility through imagination.

Hawana tofauti na Adam alie ulizwa a very simple question " have u eaten the forbidden fruit"? " Ni huyu mwanamke ulie nipa"

Wanakwepa jukumu la kutoa majibu ambayo Mungu amewauliza wanadamu.


Unapotoa hoja kwamba Mungu hayupo kwa sababu eti Mungu mwenye upendo wote mwenye nguvu zote na mjuvi wa yote hawezi kuruhusu watu wake wateseke ni sawa na mtu anae sema " Huyu si baba yangu kwa sababu amenitesa na ana mtesa mama yangu " majibu ya kitoto kabisa.

Kwanini Mungu mwenye upendo wote, mwenye uweza wote na mjuvi wa yote anaruhusu viumbe wake wateseke? Hilo ni swali ambalo wewe mwanadamu umeulizwa na Mungu. Unatakiwa utoe majibu sahihi yenye kumake sense. Ukisema Mungu hayupo kwa sababu ya kukosa majibu ya swali hilo hapo juu unakuwa unaongelea kuhusu swali na sio kutoa majibu ya swali. Una kimbia swali kwa kusema " Mungu hayupo". Unakuwa sawa sawa na mwanafunzi anae sema swali hili limekosewa kwa sababu hajui jawabu lake. Kwa hiyo Athiests acheni kukimbia swali. Njooni tuumize vichwa kwa pamoja tuje na majibu ya swali hilo hapo juu pamoja na maswali yote mnayo kuuliza.
Kwanza ume misrepresent "the problem of evil" (Swali ni kwamba if God is perfect kwanini uumbaji wake umejaa mapungufu au kama yeye ni msafi kuliko chochote kwanini uumbaji wake usiwe hivyo pia?)
Pili problem of evil sio justification peke yake waliyotoa atheists kukataa uwepo wa Mungu
Tatu afya ya akili haipimwi kwa kuuliza watu wanaamini nini kuhusu akili ya watu fulani
Nne Kama mwili wangu ni complex kilichoumba mwili wangu hakiwezi kuwa simple nacho ni kitu complex zaidi na kwa maana hiyo kitahitaji muumbaji hii italeta mamungu yasioisha (huoni hao theists ndo wana tatizo kichwani)
Tano "Kwanini Mungu mwenye upendo wote, mwenye uweza wote na mjuvi wa yote anaruhusu viumbe wake wateseke? Hilo ni swali ambalo wewe mwanadamu umeulizwa na Mungu". (Seriously!! Katuuliza kwa njia gani mbona mimi sikumsikia? Usiseme Kwa biblia maana walioandika ni binadamu kama mimi)
 
Theists mna matatizo ya afya ya akili.

Mna amini Mungu msiyemjua na hamuwezi kumthibitisha yupo kwamba hana chanzo.

Ila mnataka kusema dunia iliyopo ina chanzo.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo hata huyo Mungu lazima awe na chanzo.

Mungu huyo hawezi kuwepo tu from nothing.

Theists mnaona sawa Mungu hana chanzo ila mnataka dunia iwe na chanzo!!!

Halafu Atheists tukisema dunia haina chanzo mnashangaa, Hivi na nyie hamjiulizi huyo Mungu chanzo chake ni kipi?
 
Kwanza ume misrepresent "the problem of evil" (Swali ni kwamba if God is perfect kwanini uumbaji wake umejaa mapungufu au kama yeye ni msafi kuliko chochote kwanini uumbaji wake usiwe hivyo pia?)
Pili problem of evil sio justification peke yake waliyotoa atheists kukataa uwepo wa Mungu
Tatu afya ya akili haipimwi kwa kuuliza watu wanaamini nini kuhusu akili ya watu fulani
Nne Kama mwili wangu ni complex kilichoumba mwili wangu hakiwezi kuwa simple nacho ni kitu complex zaidi na kwa maana hiyo kitahitaji muumbaji hii italeta mamungu yasioisha (huoni hao theists ndo wana tatizo kichwani)
Tano "Kwanini Mungu mwenye upendo wote, mwenye uweza wote na mjuvi wa yote anaruhusu viumbe wake wateseke? Hilo ni swali ambalo wewe mwanadamu umeulizwa na Mungu". (Seriously!! Katuuliza kwa njia gani mbona mimi sikumsikia? Usiseme Kwa biblia maana walioandika ni binadamu kama mimi)
Theists ndio wana matatizo ya Akili.
 
Huwa mnaulizwa swali jepesi sana kuwa ikiwa kila kitu lazima kiwe na muumbaji wake je muumbaji wa mungu ni nani hili swali hadi leo mnalikwepa, binafsi naona kama theists ndio mnapenda kurahisisha mambo kwa kutoa majibu mepesi ambayo hayana uthibitisho wowote zaidi ya kutumia hisia tu, ni heri anayesema hajui jibu kuliko yule anayekuja na jibu la uwongo na mtu kutokujua jibu haimaanishi kwamba akubaliane na jibu lolote tu atakalopewa hata kama ni la kujitungia
 
Ningependa kuongezea kwenye walichosema atheists wenzangu, ujue hatukatai kwamba ulimwengu unaweza kuwa na muumbaji.

miungu ni dhana zilizotengenezwa na binadamu akijaribu kuuelewa ulimwengu. Allah na Yahweh ni miungu. Haiwezi kuwepo kwa zile sababu mbalimbali tunazoziimba humu.

Lakini chanzo cha ulimwengu hakijulikani, kwahiyo labda ulimwengu una muumbaji, lakini bado hatufahamu.

Kulinganisha mahusiano ya baba-mtoto na mungu-binadamu sio sahihi kwasababu mungu ana uwezo wa kudhibiti kila nyanja ya maisha ya binadamu, tofauti na baba kwa mtoto.

Mungu hana sababu ya msingi ya kutupitisha kwenye shida. Kama ni kutujaribu ili tumkumbuke, huo sio upendo ni utawala wa mabavu.
Kama ni mpango wake ina maanisha anachezea maisha ya watu atakavyo yeye.
 
Kwanza ume misrepresent "the problem of evil" (Swali ni kwamba if God is perfect kwanini uumbaji wake umejaa mapungufu au kama yeye ni msafi kuliko chochote kwanini uumbaji wake usiwe hivyo pia?)
Wewe ndio unatakiwa kutoa majibu ya hilo swali. Yatafute majibu mpaka uyapate kwanini muumbaji kafanya hivyo.
Pili problem of evil sio justification peke yake waliyotoa atheists kukataa uwepo wa Mungu
justification zao zote ni maswali ambayo wao wanatakiwa kuumiza kichwa kupata majibu yake na sio kukwepa majukumu kwa kusema tu eti Mungu hayupo.
Tatu afya ya akili haipimwi kwa kuuliza watu wanaamini nini kuhusu akili ya watu fulani

Why?
Nne Kama mwili wangu ni complex kilichoumba mwili wangu hakiwezi kuwa simple nacho ni kitu complex zaidi na kwa maana hiyo kitahitaji muumbaji hii italeta mamungu yasioisha (huoni hao theists ndo wana tatizo kichwani)
Hoja yako haina mashiko hata kidogo.
Tano "Kwanini Mungu mwenye upendo wote, mwenye uweza wote na mjuvi wa yote anaruhusu viumbe wake wateseke? Hilo ni swali ambalo wewe mwanadamu umeulizwa na Mungu". (Seriously!! Katuuliza kwa njia gani mbona mimi sikumsikia? Usiseme Kwa biblia maana walioandika ni binadamu kama mimi)

Swali la kitoto kweli. Kakuuliza kwa njia gani? Si kakuuliza kwa kuruhusu wewe uteseke. Don't u know that God speaks in silence? Wewe ndo unatakiwa utoe majibu ya hilo swali mkuu kwamba kwanini Mungu mjuzi wa yote mwenye upendo wote but yet ameruhusu wewe kuteseka. Majibu ya swali hili yanaweza kutolewa na ma genius tu. Kama sio genius lazima ukimbie swali kwa kusema eti Mungu hayupo.

Kwenye historia wanasema hapo kale nyani na masokwe pamoja na ancestors wa binadamu walikuwa members wa familia kubwa sana ya Apes iliyoitwa Australopithesnes. Later on mwanadamu aliweza kuendelea hadi kuwapiga gape manyani na masokwe wote.

Unajua sababu ni nini? Huyu binadamu alikuwa anajibu maswali yote ambayo Mungu alimuuliza kupitia nature..kwa mfano walikuwa wana ishi mapangoni na maporini mvua ilikuwa ikinyesha ilikuwa inawanyeshea. Zinjathropus hawakuishia kusema tu aisee Mungu hayupo kama angekuwepo angetujengea nyumba tusilowane. Wao waliumiza vichwa wakaja na nyumba za nyasi..kadri siku zilivyo kuwa zinazidi kwenda wakawa wana gundua vitu ambavyo vilijibu maswali waliyo ulizwa. Manyani wengine walikimbilia kujificha porini huko hawakutaka kuumiza vichwa. Matokeo yake ndio hayo wameendelea kuwa manyani mpaka leo. Binadamu unakuja na hoja eti kama Mungu yupo kwanini ameruhusu vitu abc unaweza kuwa Sawa Sawa na hao manyani. Yani unazidiwa ufahamu mpaka na Zinjathropus.
Eti Mungu hayupo,
Angekuwa hayupo angeruhusu vipi uteseke?
 
Mungu hana sababu ya msingi ya kutupitisha kwenye shida. Kama ni kutujaribu ili tumkumbuke, huo sio upendo ni utawala wa mabavu.
Kama ni mpango wake ina maanisha anachezea maisha ya watu atakavyo yeye.
So u think God is you? He thinks like you do?
Mungu anaweza kufanya chochote kile kimpendezasho yeye. Dunia ni yake na vitu vilivyomo ni mali yake wewe nani hata useme hana sababu ya kufanya so and So?
 
Huwa mnaulizwa swali jepesi sana kuwa ikiwa kila kitu lazima kiwe na muumbaji wake je muumbaji wa mungu ni nani hili swali hadi leo mnalikwepa,
Wewe ndio unatakiwa uumize kichwa hadi upate majibu ya swali hilo kwanini Una kwepa wajibu ? Unataka Theists ndio wakupe majibu ya swali hilo kwani wewe huna akili ya kufikiria mwenyewe?
 
Anaye amini na asiye amini Mungu. Wote wako sawa. All are believers.

Lakini spiritual seeker ni tofaut kabisa na hao wanao amini na wasio amini. Spiritual seeker yeye hajui,so yupo kwenye safari ya kumjua Mungu experiencial not by believing.
 
Wewe ndio unatakiwa uumize kichwa hadi upate majibu ya swali hilo kwanini Una kwepa wajibu ? Unataka Theists ndio wakupe majibu ya swali hilo kwani wewe huna akili ya kufikiria mwenyewe?
Mkuu tuambie ni jibu gani theists walilotoa, kutafuta majibu ya hayo maswali siyo wajibu wa atheists bali ni wajibu wa theists, kwa sababu ndio walioanza kuuaminisha ulimwengu kuwa mungu yupo hivyo huo ni wajibu wao wenyewe kuthibitisha hilo

Kama wanasayansi wote wangeamua kukaa na tafiti zao za kisayansi, kwa madai kwamba kila mtu anatakiwa afanye tafiti mwenyewe dunia isingekuwa hapa, ni kwa sababu wao walikuja na theories zao kisha wakatakiwa kuziprove ili sasa wawaaminishe watu kwa vithibitisho

Kusema kwamba kila mtu aumize kichwa kutafuta mwenyewe nadhani ndio kiwango cha juu kabisa cha kukwepa hoja, narudia ni heri yule anayesema hajui jibu kuliko anayekuja na jibu la uwongo, au anayesema kila mtu atafute jibu mwenyewe huo si wajibu wa anayetakiwa kuamini bali yule anayetaka kuaminisha
 
Ningependa kuongezea kwenye walichosema atheists wenzangu, ujue hatukatai kwamba ulimwengu unaweza kuwa na muumbaji.

miungu ni dhana zilizotengenezwa na binadamu akijaribu kuuelewa ulimwengu. Allah na Yahweh ni miungu. Haiwezi kuwepo kwa zile sababu mbalimbali tunazoziimba humu.

Lakini chanzo cha ulimwengu hakijulikani, kwahiyo labda ulimwengu una muumbaji, lakini bado hatufahamu.

Kulinganisha mahusiano ya baba-mtoto na mungu-binadamu sio sahihi kwasababu mungu ana uwezo wa kudhibiti kila nyanja ya maisha ya binadamu, tofauti na baba kwa mtoto.

Mungu hana sababu ya msingi ya kutupitisha kwenye shida. Kama ni kutujaribu ili tumkumbuke, huo sio upendo ni utawala wa mabavu.
Kama ni mpango wake ina maanisha anachezea maisha ya watu atakavyo yeye.
Matikiti kudondoka matikiti kudondokea
 
So u think God is you? He thinks like you do?
Mungu anaweza kufanya chochote kile kimpendezasho yeye. Dunia ni yake na vitu vilivyomo ni mali yake wewe nani hata useme hana sababu ya kufanya so and So?
Kaumba binadamu. Maana yake hatumuongezei chochote, bila sisi alikuwepo, mpaka hapo kila mtu anaelewa.

Sasa kama alituumba ili atutese halafu aangalie huko juu alipo achekelee huo sio upendo, ni udikteta

Kuteseka kwetu kuko nje ya uwezo wetu, yeye anaweza kuondoa, lakini tokea umejitambua si unaona dunia haijaacha kua chungu?

Na unadhani kweli aliye juu ya vyote anaongezewa nini akiabudiwa na viumbe alivovitengeneza?

He seems more like a control freak than a benevolent guardian.
 
Anaye amini na asiye amini Mungu. Wote wako sawa. All are believers.
Atheists hatuamini kwenye kuamini.

Hatuamini kwamba Mungu hayupo ila tunajua Mungu hayupo.

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho.
Lakini spiritual seeker ni tofaut kabisa na hao wanao amini na wasio amini. Spiritual seeker yeye hajui,so yupo kwenye safari ya kumjua Mungu experiencial not by believing.
Kwanza neno "Mungu" ni Fictional identity, dhana ya kufikirika.
 
Back
Top Bottom