'Who created God' is an Illogical Question!

You are a universal genius.I salute you in the name of Jah !
 
Sawa. Kuna vitu vipo, haviwezi kuthibitishwa kama vipo.

Kuna vitu havipo. Haviwezi kuthibitishwa kama vipo.

Kitu ambacho hakiwezi kuthibitishwa kwamba kipo mtu akikwambia kipo, utajuaje kama kipo au hakipo?

Nikikwambia juu ya mlima Kilimanjaro kuna taa ya dhahabu inayowaka sana mwanga wa kichawi kiasi kwamba macho yetu ya kibinadamu hayawezi kuiona, utaamini au hutaamini?

Kwa sababu gani?
 

Ni mitazamo yako pia.

I do not believe in the existence of a permanent identity within man - a soul.
 


Nmecheka sana hapaaa


tena hapo kwenye kutaka kuacha kazi atakuambiwa kuwa "hiyo ni chafu(mapepo) hivyo inabidi ikemewe"
sasa hapo ndo utashangaa kwanini anapingana na roho ya bwana tena.
Wakati ile roho ya mwanzo aliikubali na kuifurahia lakini hii anaikataa
 
I said, and I say it again that everything in this world is a logical thing. We just can't comprehend everything that's why we think some things are illogical.
 
Why answer irrelevant questions?

If the question is "is the square root of 10 = 15?" in base 10 why would I need to know all the numbers in the universe to answer this question?
That's one way of looking at it

I gave you another way of looking at it

To a 2nd grader 2-6= impossible

To a high schooler 2-6= -4

You are only able to say certain things are / aren't only when you have attained all the knowledge needed
 

Good try, but I don't think they are irrelevant😀.
 

Mchungaji is a human being.
He is falliable
 


Brother you can continue reasoning with Kiranga from now on
I will reason with those who are willing to listen like apollo
He probably disagrees with all I say but he is willing to listen
I have played my part.

I can't waste my time in futility. i think it is wise to go after things that will yield fruit Right,
I assume you're older than me
What do you think brother?
 
I said, and I say it again that everything in this world is a logical thing. We just can't comprehend everything that's why we think some things are illogical.
That is a "Deus ex Machina"

You just said "the lord woks in mysterious ways" as an answer to a tough question you cannot answer.

A "Deus ex Machina" is not an answer, it is an admission that you do not know the answer and you are just making up stuff.

de·us ex ma·chi·na
ˌdāəs eks ˈmäkənə,ˌdāəs eks ˈmakənə/
noun
noun: deus ex machina
  1. an unexpected power or event saving a seemingly hopeless situation, especially as a contrived plot device in a play or novel.
Deus ex machina - Wikipedia
 
Ni mitazamo yako pia.

I do not believe in the existence of a permanent identity within man - a soul.
Siyo mtazamo wangu
Ni mtazamo wa kwenye bible
Kwa hiyo since the Bible is the sole source of information in The Christian faith

Then huu ni mtazamo wa Christian faith
 
That's one way of looking at it

I gave you another way of looking at it

To a 2nd grader 2-6= impossible

To a high schooler 2-6= -4

You are only able to say certain things are / aren't only when you have attained all the knowledge needed
Yes, but all that is using logic.

Your God is based on illogic.
 
Unaona?...unaona sasa?

Mipango ya mawazo yako yaweza kuitwa sauti ya Mungu ama ya pepo mchafu.

Hivyo hakuna kitu kinaitwa sauti ya Mungu, wala hakijawahi kuwepo!
 
Good try, but I don't think they are irrelevant😀.
Those questions are relevant when talking about an undefined God.Outside the context of logic.

I am talking about a clearly defined God. Within the context of logic.

The questions are irrelevant.
 
It could be

But what if I put it to you that God is above logic?
Then the entire basis of trying to know this God breaks down.

Any conversation about God is baseless.

Because conversations are done in language, language uses logic.

Besides, your God cannot pass human logic so he cannot be above logic.
 
Jaribu siku moja baada ya ibada kumwambia Mchungaji wako "Mchungaji Mungu kaniagiza kwenye ndoto niondoke na sadaka zote"uone atavyo react .. !
 
Unaona?...unaona sasa?

Mipango ya mawazo yako yaweza kuitwa sauti ya Mungu ama ya pepo mchafu.

Hivyo hakuna kitu kinaitwa sauti ya Mungu, wala hakijawahi kuwepo!
Just because certain people are misled doesnt mean that is how its supposed to be

The scriptures teach us jinsi ya kutambua ipi ni sauti ya Mungu ipi siyo

Kama kuna watu wanatafuta kuitambua sauti ya Mungu kwa njia nyingine apart from ile iliyopo kwenye scriptures, ni kosa la nani wao wanapopotea na kufanya kinyume
 
Then the entire basic of trying to know this God breaks down.

Any conversation about God is baseless.

Because conversations are done in language, language uses logic.
Yeah and i thought i made it clear that God is incomprehensible in the realm of the mind peke yake
He is a spiritual being and in the spiritual realm of God we are able to discern him

I have written this so many times over and over kwenye past pages
But just like how many Tanzanians act
You didn't read
It's unbelievable really
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…