Who could have analysed this?

Hate it or love it...mambo mengi aliyosema humu yanalenga kwenye ukweli at least IMO.
 
Hate it or love it...mambo mengi aliyosema humu yanalenga kwenye ukweli at least IMO.

mhhh unajua kanimaliza hapo alipoamua kuwawashia CCM na CHADEMA na kama ujuavyo luga aliyotumia nayo kidogo kuna baadhi ya watu wanaona ugumu kuijibu

You gotta love JF!

EBWANA SALAMA LAKINI? UPO?
 
Inaelekea elekea kuwa huyu ni BWM, maana misamiati hii migumu migumu ni hulka ya BWM anapoandika au kuongea kiingereza. Mara ya kwanza alipohutubia pale Nkurumah hall, kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa hotuba yake ya kusoma ilikuwa ni full "bombastic" utadhani alikuwa anawaonyesha wasomi kwamba wao hawajui kiingereza ila yeye ni kibo kwa umombo!

Hivi wewe kwa akili yako unaamini kuwa wasomi tunao pale UDSM? Ushasahau walivyooandamana kuinga mkono CCM?

Hivi unajua hapa unazungumzia higher education institute ambayo wanafunzi wake wanashindwa hata kuorganise open lectures kujadili mambo mbali mbali

Alivyofanya Ben sawa sawa mnataka kuwa competitive katika dunia ya leo halafu kujieleza kwa kiingereza hatuwezi!

Ukitaka kujua kama UDSM hamna kitu tazama walipotimuliwa walikimbilia wapi?

walikuja JF kuomba msaada...what a bunch of twats they are! hivi walishindwa vipi kuwa na blogs au forums ambazo wangeweka kuweka bayana issues zao?


lakini ndio hivyo tena ndio watawala wetu wa kesho hao
 
mhhh unajua kanimaliza hapo alipoamua kuwawashia CCM na CHADEMA na kama ujuavyo luga aliyotumia nayo kidogo kuna baadhi ya watu wanaona ugumu kuijibu

You gotta love JF!

EBWANA SALAMA LAKINI? UPO?

Ha ha...
Nipo...nawasubiria waungwana wa Magogoni wanieleze nao naona wanaogopa kutumia simu.

Back to the subject. ebanae this piece ina ukweli mwingi tuu sema tatizo ni kuwa kuna supposedly untouchables nao wameguswa. Tutaanza kumshambulia muandishi badala ya hoja zake.

Nice weekend y'all.
 
Something like a political crisis is taking place in Tanzania . But don't hold your breath: it is simply a big circus – played by demagogic politicians, gluttonous businessmen and knuckleheaded journalists who are interested in nothing else but more money, more power, more attention and, do not discount it, more mistresses for themselves.

So, a better way to scan the current political landscape and its undercurrents is to get a grip of who these players are, what their motives could be, and the hypocrisy of the whole ongoing theater..

© 2008 by ROSTAM AZIZ and EDWARD LOWASA. All rights reserved
 
Back to the subject. ebanae this piece ina ukweli mwingi tuu sema tatizo ni kuwa kuna supposedly untouchables nao wameguswa. Tutaanza kumshambulia muandishi badala ya hoja zake.
Pamoja na kuwa watu wanaweza kukichambua hiki kipande watakavyo na huenda wakaja na ukweli zaidi,,, mimi binafsi nilipokiona nimejua uandishi wa nani na nakikubali kichwa chake. Hizi hoja zake % kubwa (si yote) ni kweli... Mzee rudi ukumbini, unahitajika tena hapa mkuu! This' interesting to read. You know em folks :)
 
3. Saed Kubenea – Stan Katabalo impostor, only without the education, the sophistication, the principles and steely determination for which Katabalo is remembered for A little Kingmaker in the making, if only he would be aware that he needs to stop being a pawn in the great political game. He gets direct congratulatory calls from Sumaye, Magufuli, Butiku, Warioba and others whenever his paper comes out. He is welcome at Salim A. Salim house. This is such an awesome achievement for a person who is half-schooled and who has never read any major literary work of non-fiction (and who might not get this joke). That our politicians would embrace Kubenea, who still milks the "acid incident", speaks of the level of their desperation to smear each other (in the name of "saving the country").



Hii nayo jamaa kasema volumes...hivi kuna mtu anayo CV ya Kubenea? I doubt kama Kubenea alisoma mwandishi hapo juu

ningependa kumsaidia kubenea angeanzia hapa kwa George Orwell kisha atajiendeleza taratibu assuming alishasoma vitabu kama THINGS FALL APART na A MAN OF THE PEOPLE


AnimalFarm_1stEd.jpg
 
4. John Malecela – a moral guide to what is going on in the Parliament at the moment. The beauty of watching politicians is when the lie to each other. Malecela hates JK to the bone but you wouldn't know seeing the two of them in public. He still believes that Emmanuel Nchimbi killed his son (through voodoo), and, somehow, that facilitated JK's ascendancy to the Presidency. He is a reasonable man and good father but his vengeful and opportunistic wife is steering him out of reason and hastening his path to senility.[/




Jamani naona hii itabidi tumsubiri jamaa aje kuijibu na na najua atamjibu mwandishi katika klugha hiyo hiyo aliyoitumia mwandishi..yaani kiingereza maana jamaa naye ni msomi vile vile esp hiyo point kuwa mkewe ni opportunist
8. Anne Kilango Malecela – a noisy heckler who cannot get over the fact she is not the First Lady. A tough and fearless woman whose vengeful inclination is either very suited or totally not suited for her new role as top disciplinarian in the parliament. But we like her.


Mwandishi ni mjanja sana yaani anauma kisha anapuliza

sawa sawa
 
GT,
Mbona mchokozi? Of all mentioned umeiona hii tu ya Malecela?

I am loving every single moment of this....nasubiri kwa hamu huyo ambaye huwa anawakusanyia na kuwapelekea kama taipeleka na hii...actually ngoja nimuingize kwenye bussy list yangu kabla mambo hayajabadilika
 
7. Absalom Kibanda – The editor of Tanzania Daima is really an attack pit-bull that Freeman Mbowe unleashes once in a while. (Deodatus Balile is a pitbull for Rostam Aziz). The problem with Kibanda is the "Mbeya problem". He hasn't gotten over the fact that Mwandosya lost to JK fairly and squarely in 2005.

Balile mjanja sana...alikuwa anakula pesa za Freeman na huku anakula za Membe na mwishowe alipata alichokuwa akikitaka na ushahidi huu hapa:Sasa LOVE him or HATE him but this is what I call a TRUE HUSTLER....safi sana sema asiwe mjinga mjinga kama mwenzie KUBENEA ambaye i seriously doubt kama lisoma anywork by GRACE OGOT let alone any literary work by GABRIEL GARCIA MARQUEZ
IMGP0224.jpg

Najiulize huyu JJ MNYIKA naye taenda shule lini? umri wake ni wa kusoma na baada ya kuwafagilia wenzie its about time this kid goes to school
 
5. Augustine Mrema – the man needs help.

But he is a graduate(japo degree yake tunaweka kuiclassify kama MICKEY MOUSE DEGREE) here is the evidence:
ca31.jpg


j6.jpg

One thing is for sure, I seriously queston his SANITY..hili kila mtu analijua ..theory yangu ni kuwa zile itikafu za msikiti wa kwa Mtoro na marehemu Sheikh Kassim probably zinafanya kazi yake
 
Na sasa nasikia ameajiriwa na fisadi Lowassa.

Ahh bwana eeeh!

Duh! sasa hii ishakuwa issu, huko tena siyo ku HUSTLE bali ni highest degree of whoring...unless mwenyewe aje humu kuja kubisha

washamlipia shule lakini bado hatuliii tuuu
 
13.Benard Membe – "I am telling you, I will do a better job. Condi Rice is my friend"
Kwa huyu mimi nadai refund yangu jamaa akumuelezea ipasavyo unless kuna Part II yake itaendelea weekend ijayo.
 
But he is a graduate(japo degree yake tunaweka kuiclassify kama MICKEY MOUSE DEGREE) here is the evidence:


j6.jpg

One thing is for sure, I seriously queston his SANITY..hili kila mtu analijua ..theory yangu ni kuwa zile itikafu za msikiti wa kwa Mtoro na marehemu Sheikh Kassim probably zinafanya kazi yake

Ni kweli kuwa Mrema na digrii yake hii ya PWU aliboa sana kwenye anga za siasa Tanzania. Nilimpigia kura yangu mwaka 1995 pale Rwegarurila Chuo cha Maji; hata hivyo, sijuti lolote kwani zaidi yake ningempigia Mkapa ambaye tunajua uwazi wake.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom