Who could have analysed this?

MTUMENi nzi awaletee mafaili ya mwandiSHI

Enigma.... JF inakuaminia kwa kuleta mafaili nyeti ya watu kama hawa.

nakuunga mkono kwenye hili na nimeagiza corn kutoka southern Iowa ili kupata mpasuko mkubwa na mzuri for this movie in the making.....

..... kazi njema mkulu..........
 
4. Issa Shivji – he gets a mention for nostalgic and
sentimental reasons. In this post-ideology messy
situation, the aging ideologue has become irrelevant
as an intellectual and pundit except when Absalom
Kibanda and Sakina Dattoo want to fill up columns.
Prof., the workers of the world have figured out that
the Juche Idea is a sham, and they have now resorted
to radical evangelicism and Rwakatare's "prosperity
gospel" to see the end of the tunnel.

..Prof.Issa Shivji aliteuliwa na Raisi Mwinyi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tanzania Breweries[TBL].

..Kazi yake ya kwanza kama Mwenyekiti wa Bodi ilikuwa kuchunguza kashfa ya ubadhirifu iliyowahusisha Mameneja waandamizi wa TBL wakati huo.

..Sifahamu uchunguzi wake uliishia wapi, lakini Prof haku-serve term nzima kama Chairman wa TBL.

..Prof.Shivji abakie hukohuko UDSM akibishana na wasomi wenzake. Siasa na Itikadi zake zimepitwa na wakati, haziko-applicable uraiani.
 
..Prof.Issa Shivji aliteuliwa na Raisi Mwinyi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tanzania Breweries[TBL].

..Kazi yake ya kwanza kama Mwenyekiti wa Bodi ilikuwa kuchunguza kashfa ya ubadhirifu iliyowahusisha Mameneja waandamizi wa TBL wakati huo.

..Sifahamu uchunguzi wake uliishia wapi, lakini Prof haku-serve term nzima kama Chairman wa TBL.

..Prof.Shivji abakie hukohuko UDSM akibishana na wasomi wenzake. Siasa na Itikadi zake zimepitwa na wakati, haziko-applicable uraiani.

kwani Shivji bado hajastaafu toka UDSM?
 
There is one thing we should have done and we haven’t. That was to ask Mzalendo where he got the document from. Where the hell did he get his “quote” from?

We want to know who wrote the article. A good place to start would be to find out where Mzalendo picked it up from. If we work backwards long enough, we are bound to eventually hit on the guy (with a language like that it must be a guy, surely!) who wielded the pen!

Mzalendo: you can’t just dump this thing here and then take a powder; or can you?
 
Hivi wewe kwa akili yako unaamini kuwa wasomi tunao pale UDSM? Ushasahau walivyooandamana kuinga mkono CCM?

Hivi unajua hapa unazungumzia higher education institute ambayo wanafunzi wake wanashindwa hata kuorganise open lectures kujadili mambo mbali mbali

Alivyofanya Ben sawa sawa mnataka kuwa competitive katika dunia ya leo halafu kujieleza kwa kiingereza hatuwezi!

Ukitaka kujua kama UDSM hamna kitu tazama walipotimuliwa walikimbilia wapi?

walikuja JF kuomba msaada...what a bunch of twats they are! hivi walishindwa vipi kuwa na blogs au forums ambazo wangeweka kuweka bayana issues zao?


lakini ndio hivyo tena ndio watawala wetu wa kesho hao


Kaka acha kudharau cha nyumbani. UDSM kuna wasomi waliobobea kuliko hata hao Media Intellectuals wa CNN na TIMES. Kutopata international coverage haina maana kuwa sio wasomi isipokuwa wengi wao hawako tayari kusema kile ambacho hao makuwadi wa UBEBERU wanavyotaka.

Kama kuandamana ni wanafunzi na wakati wote huwa ni wale wa undegraduate. Sasa kama hao nao unadhani wana vigezo vya kuitwa wasomi then kuna tatizo katika fikira za watanzania. Wasomi wapo wamejaa tele wenye misimamo tofauti lakini wote wamepevuka katika maeneo yao...wawe wale wa GLOBALISATION era ama wale unrepented leftists....

Wasomi tunao UDSM lakini tatizo hatuna utamaduni wa kuwatambua.....

Tanzanianjema
 
There is one thing we should have done and we haven’t. That was to ask Mzalendo where he got the document from. Where the hell did he get his “quote” from?

We want to know who wrote the article. A good place to start would be to find out where Mzalendo picked it up from. If we work backwards long enough, we are bound to eventually hit on the guy (with a language like that it must be a guy, surely!) who wielded the pen!

Mzalendo: you can’t just dump this thing here and then take a powder; or can you?

Hi dossier imekuwa katika mzunguko miezi zaidi ya mitatu iliyopita....

My take ni yuleyule toto tundu wetu.....Adam Lusekelo

Tanzanianjema
 
kubenea hawezi kujibu kama hizi..........hana uwezo huo. yeye mpaka amekatiwe siri za ndani za pahala aziandike.
 
Huyu mwandishi kama si fisadi basi ni mwandani wa mafisadi. Soma alivyomwandika RA, huo kamwe hauwezi kuwa wasifa wake.
 
clue siyo nani aliandika, but whose idea is it? Lakini maswali haya mawili yanaendana yaani aliyeandika na mwenye idea ni watu wa karibu sana.

Aliyeandika:

a. Ni mtanzania
b. Ni mwandishi of sort (sidhani kama amesomea uandishi)
c. Ameishi Marekani au kusoma Marekani
d. Yuko karibu na serikali na ndani ya CCM
e. Anaongozwa na kisasi cha "orodha ya mafisadi".


Mwenye idea.
- Ni mwanasiasa
- Anatajwa katika hiyo piece
- Anatajwa katika more positive light then anybother member
- Anajua nafasi yake katika siasa za Tanzania
- Hajakubali kushindwa na ana uwezo wa kumuajiri na kumlipa aliyeandika.


Nakubaliana na wewe 100%. Mawazo au Mlengaji wa hii article anaweza kabisa kuwa BWM lakini aliyeandika sio yeye. Zaidi ya yote, nimefurahia uhuru wake wa mawazo...siasa ya nchi yetu inabalehe.
 
7. Rostam Aziz – the prince of high finance is fighting for his political life and credibility as an honest businessman. Knives are thrown from every side and some are drawing blood. Although even his opponents would acknowledge his sharp mind and deep pockets, this time the lions are hungry and the den is shrinking. Mr. Aziz has dealt with and has compromised almost every conceivable creature who matters in the political scene in the land, including his current nemeses. And that is his edge. He bankrolled Sitta's election to the Assembly and oversaw his triumph as Speaker against the genial old Pius Msekwa but now Sitta has made him enemy number one and he has made Sitta enemy number one. Politics!


Huyu mwandishi kama si fisadi basi ni mwandani wa mafisadi. Soma alivyomwandika RA, huo kamwe hauwezi kuwa wasifa wake.


Mavanza,

HATE THE GAME DON'T HATE THE PLAYER...HUO WASIFU NI WA RA ORIGINAL.
 
This one is a mercenary a hired hand to political assassinate anyone who has the courage to speak the truth. or lets say same truth.
 
Last edited:
Hivi mwandishi wa hii dossier aliweza kutambuliwa? Tunaweza kuongeza huu mchakachuo katika baada ya miaka mitano ya sarakasi za siasa za ari mpya huko bongo?
 
Lakini kuna ukweli fulani katika hii analysis yake. Ingawa ameonyesha chuki sana kwa wengi wao lakini kuna infos ambazo ni za kweli na zinajionyesha zaidi sasa baada ya miaka mitano ya sarakasi za kisiasa
 
Back
Top Bottom