Which are the most influential IDs in Jamii Forums?

Which are the most influential IDs in Jamii Forums?

Ha haaa haaa. Ule uzi nilitoka nduki, niliona nitachanganyikiwa
😄😄😄😄😄😄🙌🙌🙌 Mi kuna siku nilikuta wanabishana mpaka nikawashauri kwanini wasiende kula.kwanza alafu warudi...

Yaani mpaka wakaanza kutumiana audio nikasema pipo zipo very serious.

Yaani kule unaweza sema pamepoa ila ukijichanganya tuu unakuta wana hawa hapa
 
Hapa namkubali sana mtu wa naono amenifundisha mengi kwenye kazi zetu uwasilishaji ujumbe kimasihala hata mods hawazifuti wakidhani masihala hadi muda yanapotokea ndo wanashangaa namaanisha
Pascal Mayalla mungu amtunze mzee wetu huyu

Mwingine ni kaka yetu ambaye hatujuani zaidi ya Majukwaani humu Maxence Melo , kulikuwaga na shida fulan sehemu huku diaspora nikamfuata anonymously bila kujua mi Nani miaka ya nyuma aliniokoa kwa jambo fulan ndo maana nakuwaga makin sana watu wakianza kuichokonoa JF ntaweka kila mbini iendelee kusimama ni mtu na nusu yaan Mello Ana roho ya Pekee

Mwingine ni Sky Eclat ninamkubali sana japo sijawai kua umri wake! Nisije anza mambo ya chakula cha jion ambacho anasemaga Mayalla

Kuna mwenzangu MALCOM LUMUMBA namkubali sana

Kuna Kalamu na Tindo hawa nawakubali sana

Mshana Jr namkubali aiseee

Kuna Nyani Ngabu Saint Ivuga Mwifwa

Kuna wengi sana yan

Nawapenda MMU wote


Britanicca
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom