Which are the most influential IDs in Jamii Forums?

Which are the most influential IDs in Jamii Forums?

Hapa namkubali sana mtu wa naono amenifundisha mengi kwenye kazi zetu uwasilishaji ujumbe kimasihala hata mods hawazifuti wakidhani masihala hadi muda yanapotokea ndo wanashangaa namaanisha
Pascal Mayalla mungu amtunze mzee wetu huyu

Mwingine ni kaka yetu ambaye hatujuani zaidi ya Majukwaani humu Maxence Melo , kulikuwaga na shida fulan sehemu huku diaspora nikamfuata anonymously bila kujua mi Nani miaka ya nyuma aliniokoa kwa jambo fulan ndo maana nakuwaga makin sana watu wakianza kuichokonoa JF ntaweka kila mbini iendelee kusimama ni mtu na nusu yaan Mello Ana roho ya Pekee

Mwingine ni Sky Eclat ninamkubali sana japo sijawai kua umri wake! Nisije anza mambo ya chakula cha jion ambacho anasemaga Mayalla

Kuna mwenzangu MALCOM LUMUMBA namkubali sana

Kuna Kalamu na Tindo hawa nawakubali sana

Mshana Jr namkubali aiseee

Kuna Nyani Ngabu Saint Ivuga Mwifwa

Kuna wengi sana yan

Nawapenda MMU wote


Britanicca
82859ff6-88d6-4c86-b79b-4361cdeaf219.jpeg
 
Maoni yangu juu ya hili ni kwamba mada za aina hii kwa wakati kama huu zinatuondoa kwenye lengo muhimu tulilonalo kwa sasa juu ya taifa letu.

Baadhi yetu tunaingia humu JF kwa sasa kwa lengo moja tu; hilo la kuchangia juhudi za kuiokoa nchi yetu; haya mengine hayana umuhimu wowote kwa sasa.

Nimeona mada nyingi za akina Lucas, Instinct, Choicevariable, Kavulata, na wengi wa aina hiyo. Pengine hao ndio wanaostahili kujadiliwa na kupewa hadhi wanazozistahili kwa sasa hivi humu JF.
Hawa watu wanapata wapi nguvu za kutetea utawala wa aina hii wakati kama huu.
Kwa maoni yangu, hawa ndio wanaofaa kujadiliwa kwa kina; siyo sisi tunaohangaika kutafuta njia za kuibadili hali iliyopo sasa.

Kuna viongozi wanasema "kazi ya kuwaua waTanzania ni ya kutukuka"!
 
😄😄😄😄😄😄🙌🙌🙌 Mi kuna siku nilikuta wanabishana mpaka nikawashauri kwanini wasiende kula.kwanza alafu warudi...

Yaani mpaka wakaanza kutumiana audio nikasema pipo zipo very serious.

Yaani kule unaweza sema pamepoa ila ukijichanganya tuu unakuta wana hawa hapa
Jamii Intelligence nimekimbia siku nyingi, mada za kule zinataka uwe huna stress ndio uzielewe
 
Kuna miamba ipo kule kwenye uzi wa dunia duara sijui proof dunia duara..

Yaani wale jamaa huwakuti katika nyuzi zingine aiseee wapo kule miaka na miaka hawatoki hata kupumzika
hateeb10
Hao jamaa kupumzika nafikiri ni mpaka dunia isambaratike,

Na kuna mwamba mmoja anaitwa Swahili AI unamkuta kwenye Uzi wa zile picha za warembo akituburudisha, humkuti popote pale humu jf zaidi ya huko
 
Hao jamaa kupumzika nafikiri ni mpaka dunia isambaratike,

Na kuna mwamba mmoja anaitwa Swahili AI unamkuta kwenye Uzi wa zile picha za warembo akituburudisha, humkuti popote pale humu jf zaidi ya huko
Huyo namjua namjua aiseee jamaa analetaga picha quality alafu na huyu SHIMBA YA BUYENZ SIJUI YU WAPI
 
😄😄😄😄😄😄🙌🙌🙌 Mi kuna siku nilikuta wanabishana mpaka nikawashauri kwanini wasiende kula.kwanza alafu warudi...

Yaani mpaka wakaanza kutumiana audio nikasema pipo zipo very serious.

Yaani kule unaweza sema pamepoa ila ukijichanganya tuu unakuta wana hawa hapa
Nitag kwanza nije kuuona maana unausifia tangu mwaka jana
 
Huyo namjua namjua aiseee jamaa analetaga picha quality alafu na huyu SHIMBA YA BUYENZ SIJUI YU WAPI
😁😁😁 kinachonichanganya zaidi ni huwezi kumkuta kwenye uzi wowote tofauti na ule, sijui nyuzi nyingine hazioni
 
😁😁😁 voice button ili wawahi kubishana maana kutype ni kama wanachelewa
Ndio mkuu..
Yaan ilifikia. Kipindi wakawa wanatumiana voice note hizi..
Ukikaa kidogo unakuta mwingine katuma picha kachora chora...

😄😄😄😄🙌🙌🙌🙌 Alafu ww uwende na geography ya form one et solar system adhahhah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom