Hapa namkubali sana mtu wa naono amenifundisha mengi kwenye kazi zetu uwasilishaji ujumbe kimasihala hata mods hawazifuti wakidhani masihala hadi muda yanapotokea ndo wanashangaa namaanisha
Pascal Mayalla mungu amtunze mzee wetu huyu
Mwingine ni kaka yetu ambaye hatujuani zaidi ya Majukwaani humu Maxence Melo , kulikuwaga na shida fulan sehemu huku diaspora nikamfuata anonymously bila kujua mi Nani miaka ya nyuma aliniokoa kwa jambo fulan ndo maana nakuwaga makin sana watu wakianza kuichokonoa JF ntaweka kila mbini iendelee kusimama ni mtu na nusu yaan Mello Ana roho ya Pekee
Mwingine ni Sky Eclat ninamkubali sana japo sijawai kua umri wake! Nisije anza mambo ya chakula cha jion ambacho anasemaga Mayalla
Kuna mwenzangu MALCOM LUMUMBA namkubali sana
Kuna Kalamu na Tindo hawa nawakubali sana
Mshana Jr namkubali aiseee
Kuna Nyani Ngabu Saint Ivuga Mwifwa
Kuna wengi sana yan
Nawapenda MMU wote
Britanicca
Jamii Intelligence nimekimbia siku nyingi, mada za kule zinataka uwe huna stress ndio uzielewe😄😄😄😄😄😄🙌🙌🙌 Mi kuna siku nilikuta wanabishana mpaka nikawashauri kwanini wasiende kula.kwanza alafu warudi...
Yaani mpaka wakaanza kutumiana audio nikasema pipo zipo very serious.
Yaani kule unaweza sema pamepoa ila ukijichanganya tuu unakuta wana hawa hapa
Zamani ndo lilikua jukwaa langu aiseeeJamii Intelligence nimekimbia siku nyingi, mada za kule zinataka uwe huna stress ndio uzielewe
Hao jamaa kupumzika nafikiri ni mpaka dunia isambaratike,Kuna miamba ipo kule kwenye uzi wa dunia duara sijui proof dunia duara..
Yaani wale jamaa huwakuti katika nyuzi zingine aiseee wapo kule miaka na miaka hawatoki hata kupumzika
hateeb10
Hata mimi pia nilikuwa naingia sana kujisomea kule. Kuna haja ya kurudi nikashangae shangae nijifunze japo mawili matatuZamani ndo lilikua jukwaa langu aiseee
Kuna uzo unakuta kina kiranga wanatema madini aiseee hatareee
Kuna huyi lifecoded sijui kaenda wapi.
Huku kuna baba swalehe daaah
Huyo namjua namjua aiseee jamaa analetaga picha quality alafu na huyu SHIMBA YA BUYENZ SIJUI YU WAPIHao jamaa kupumzika nafikiri ni mpaka dunia isambaratike,
Na kuna mwamba mmoja anaitwa Swahili AI unamkuta kwenye Uzi wa zile picha za warembo akituburudisha, humkuti popote pale humu jf zaidi ya huko
Nitag kwanza nije kuuona maana unausifia tangu mwaka jana😄😄😄😄😄😄🙌🙌🙌 Mi kuna siku nilikuta wanabishana mpaka nikawashauri kwanini wasiende kula.kwanza alafu warudi...
Yaani mpaka wakaanza kutumiana audio nikasema pipo zipo very serious.
Yaani kule unaweza sema pamepoa ila ukijichanganya tuu unakuta wana hawa hapa
😁😁😁 kinachonichanganya zaidi ni huwezi kumkuta kwenye uzi wowote tofauti na ule, sijui nyuzi nyingine hazioniHuyo namjua namjua aiseee jamaa analetaga picha quality alafu na huyu SHIMBA YA BUYENZ SIJUI YU WAPI
Ndio kabisa kuna Mengi sana ipa pia mi huwa nafatilia sana jukwaa la afya..Hata mimi pia nilikuwa naingia sana kujisomea kule. Kuna haja ya kurudi nikashangae shangae nijifunze japo mawili matatu
Huu uzi upo jamii intelligent kule..Nitag kwanza nije kuuona maana unausifia tangu mwaka jana
😁😁😁 voice button ili wawahi kubishana maana kutype ni kama wanachelewaHuu uzi upo jamii intelligent kule..
Ngoja ntakutag mkuu uone watu walivyo na hatareee..
Ndo member ambao walikuwa wanamshawishi mello aweke voice batan maana ilikua kasheshe
Ndio mkuu..😁😁😁 voice button ili wawahi kubishana maana kutype ni kama wanachelewa
Intelligent businessmanKuna IDs hata wakianzisha misemo basi inaingia kwenye tamusi ya JF.
Ngoja nikachungulieko kwa huo uzi pia, ni muda mrefu sanaNdio mkuu..
Yaan ilifikia. Kipindi wakawa wanatumiana voice note hizi..
Ukikaa kidogo unakuta mwingine katuma picha kachora chora...
😄😄😄😄🙌🙌🙌🙌 Alafu ww uwende na geography ya form one et solar system adhahhah