conductor
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 838
- 714
Nadhani kuna haja..yakuwa wazi na njia pekee yakukemea jambo na pengine kuleta uhalisia wa tukio, picha ina nafasi kubwa kuleta uzito wa jambo..sioni tatizo kabisa haja yakukemea jambo hili..nafikir whatsap ni media km nyingine tofauti ni upana wake (converge) na mipaka ya utendaji wake lakini haina tofauti na vyanzo vingine km tv,gazet,radio...mfano juzi nimetumiwa picha ya bwana iliyepigwa shoka kichwani tena kwenye jicho kabisa kwa kosa la kufumaniana....hii inatoa tahadhari kwa wenye tabia hiyo....nk nk.