Whatsapp na picha za kutisha..

Whatsapp na picha za kutisha..

Ni rahisi kuepuka kupokea picha za aina hiyo, mimi pia huwa zinaniathiri sana. Jana nime deactivate photo automatic download kwenye Whatsapp, na sasa picha yoyote ile itakayotumwa haiingii moja kwa moja hadi niamue kui download. Fungua Whatsapp, press MENU>SETTINGS>CHAT SETTINGS>MEDIA AUTO-DOWNLOAD, ondoa tick kwenye "image" halafu press OK.
 
Ni rahisi kuepuka kupokea picha za aina hiyo, mimi pia huwa zinaniathiri sana. Jana nime deactivate photo automatic download kwenye Whatsapp, na sasa picha yoyote ile itakayotumwa haiingii moja kwa moja hadi niamue kui download. Fungua Whatsapp, press MENU>SETTINGS>CHAT SETTINGS>MEDIA AUTO-DOWNLOAD, ondoa tick kwenye "image" halafu press OK.

Asante mkuu, mimi naomba unielekeze namna ya kublock group kwenye wassap
 
never use social network in my life no facebk nor instagram nor twiter nor skype nor viber nor whatsapp i dont like these things in my life at all sanasana jf is my best otherwise mtu anitumie email or call or text
 
Mi nadhan anae forward hizo picha ana makosa. Kila mtu ana haki ya kuona na kusikiliza habari yoyote. Hasa ikija kwenye mfumo wa picha inakuwa na uhalisia wa namna yake kuliko iliyochujwa ya hao mnaowaita waadishi wa habari. Nimeshuhusia habari moja inaandikwa tofauti kataika zaidi ya magazeti matano tofauti. Sasa ikija kama picha inakuwa na maana yake. Unayetakiwa kumkataa ni yule anayewachinja wenzie au yule anaewachom watu sehemu za siri sio yule anaetaka kukujuza. Jamani mi nataka sana hizi picha ili niweze kujua ubaya na wabaya wenyewe. Nakuomba nawe pia ujumuike pamoja name kupenda hizi picha kuwa manufaa ya ufahamu zaidi.
 
Asante mkuu, mimi naomba unielekeze namna ya kublock group kwenye wassap

Fungua Whatsapp, fungua msg ya huyo mtu unayetaka kum-block (kama vile unataka kusoma ujumbe wake), press Menu-More-Block
 
Ni rahisi kuepuka kupokea picha za aina hiyo, mimi pia huwa zinaniathiri sana. Jana nime deactivate photo automatic download kwenye Whatsapp, na sasa picha yoyote ile itakayotumwa haiingii moja kwa moja hadi niamue kui download. Fungua Whatsapp, press MENU>SETTINGS>CHAT SETTINGS>MEDIA AUTO-DOWNLOAD, ondoa tick kwenye "image" halafu press OK.

Ngoja nitaifanya hyo mana inachosha mtu anakutumia picha mtu katenganishwa kila kiungo sijui ili nini
 
Siku hizi tatu jamani watu wanatutumia picha za kutisha mpaka tunaogopa kulala jamani maana mara kapigwa shoka mara kachomwa kwa bibi yani angalieni na aina za picha na matukio????

Fungua Whatsapp, press MENU>SETTINGS>CHAT
SETTINGS>MEDIA AUTO-DOWNLOAD, ondoa tick kwenye
"image" halafu press OK. Hizo picha hazitaingia moja kwa moja hadi uamue wewe kuzi download.
 
Kiukweli mi binafsi sioni athari zake.

Nimeona mtu analalama kua zinaweza tizamwa na watoto. Mh!

Na kwangu zinanifanya nijifunze mengi tu, ukatili upo katika jamii. Laumu na TV kwa kuzionyesha katika habari. Na pia fumanizi, kiukweli mimi nazidi kua makini sana katika haya mambo maana yanaweza kukukuta mabaya.

Kuna mdau kasema inakuaje kama ndugu wa mhanga akiona? Hivi jiulize ilikuaje mwanamke akategesha makalio apigwe picha? Kwamba kamera ya polisi ilivujisha? Na katika hizi za mafumanizi hata ndugu akiona kwani mwenzao alichofanya ni kitakatifu?
 
Pia kuna picha moja ya yule kijana aliye mpasua mtto ubongo na kujikata uume kiukwel haikuwa picha nzr kuiweka kwenye mtandao ikiwa ni miongoni mwa picha mbaya zinazo wekwa kwenye mitandao, kwa mtoa mada cyo whats app peke yao hata iyo mitandao mingine TCRA shugulikien hili.
 
yaani kama umeniona.... nimefowadiwa picha za mauaji gani sijui.... watu wamezungushiwa matairi wanachomwa moto... yaani zimeniharibia siku kabisaaaa; na aliyenifowadia namheshimu.. nimebaki naumia tuuuu maana huwa sipendi kabisa kuangualia vitu vya kuchinjana chinjana...

Mbaya sana name sipendi kabisa huu uhuru wa habari sijui unavuka mipaka!
 
Inaudhi sana.......
Kwanza kuharibiana mood pia kujaza space kwenye simu
 
Mi nkihisi tu kama mapicha ya kutisha nadelete.

Sipendi hata wtt waone
 
Kama hii?

Na hizi,

Wana group Samahani kwa picha hizo utakazo ziona hapo chini lakini napenda kukufahamisha kuwa huyo mhanga anaitwa- Agness Marwa mwenye umri wa miaka 18 mkazi wa kijiji cha Mrito , wilayani Tarime.Alifanyiwa ukatili huo na mume wake aitwae Marwa Chacha mnamo tarehe 13/7/2014, baada ya kukuta Tsh 2,000/= kwenye pochi ya mhanga.
Baada ya kumtuhumu kuwa amepewa fedha hizo na wanaume, ndipo akaamua kumpiga na kumfunga kamba na kumweka nje wakati mvua inanyeesha, kama hiyo haitoshi akaaenda jikoni na kuchukua kiginga cha moto na kuanza kumuunguza kama picha zinavyoonesha
Mutuhumiwa ametoroka, na mhanga kwa mila za kikurya alificha hilo tukio hadi tarehe 19/7/2014 ndipo akapelekwa hospitali ya Sungusungu iliyoko Nyamongo.
Kamanda wa polisi kanda maalumu anasema mtuhumiwa pamoja na mama yake wametoroka na hii ni baada ya kuchelewa kutoa taarifa ,hata hivyo jeshi la polisi linaendelea kufanya upelelezi ili waweze kumkamata mthumiwa na kumpeleka kwenye vyombo vyenye Mamlaka.
Shirika la sheria na haki za binadamu Tarime(SHEHABITA) linaendelea kufuatilia tukio hili kwa karibu na kutoa rai kwa wananchi kuacha kufanya ukatili dhidi ya wanawake na watoto
Inauma sana tena sana naukatili huu tusiufumbie macho
 

Attachments

  • 1406321837462.jpg
    1406321837462.jpg
    70.6 KB · Views: 250
  • 1406321856323.jpg
    1406321856323.jpg
    45.4 KB · Views: 240
Huku nyuma sawa ila huku mbele,ingefichwa walau mbunye.Daa ukatiri majanga.
 
Kweli zinaudhi sana,lakini nimepata somo kuwa hata madaktari wetu na manesi wa sasa wanakiuka sana maadili...picha ya huyo aliyechomwa na sururu inaonekana kabisa imepigwa ndani ya chumba cha upasuaji,sasa ni nani amezipiga kama sio madaktari/nesi?

Umenena vyema. Baadhi ya Madaktari/Manesi wamepoteza kabisa credibility ya taaluma zao, picha za hivi karibuni zote ikiwemo ya shoka na binti aliyeunguzwa, mazingira yanaonyesha chanzo cha picha hizo ni Wataalamu wetu!! Na hali hii itaendelea maana mpk hakuna karipio wala taarifa zozote juu ya ukiukwaji huu wa kitaaluma. Nilidhani sasa tupaze sauti, kukaa kimya hakusaidii kwa makosa ya wazi kama haya. Leo wamewekwa wale kesho ni mimi na wewe tutaanikwa madhaifu/siri/aibu zetu mbele ya umma. Suala la kusambaziana picha halina mashiko kwani mtu 1-1 wanatumiana kwa kufahamiana vzr haja, mapenzi na hulka zao, mimi siwezi kukutumia wewe bila kukufahamu. Kwa zile za makundi pia waweza kujitoa kwa muda au kumuomba kiongozi wa kundi atoe tamko la kutoruhusu utumwaji wa picha hizo bila taarifa, ukishindwa jitoe. We differ in minds na kinds, u cant control everyone just control yourself.
 
Back
Top Bottom