Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,506
nisaidiwe wakati mie mwenyewe naweza kuziondoa
Theory yangu mwanamke ni wa mwanaume mmoja bali mwanaume ni wa wanawake wengi
nisaidiwe wakati mie mwenyewe naweza kuziondoa
Theory yangu mwanamke ni wa mwanaume mmoja bali mwanaume ni wa wanawake wengi
Hahaha...asante usijal...mambo yapo sawa sasa....ilikuwa karibu mjini tu ile......😉sasa na mim nawapa za uso mwenyew😀
sio kila kitu ni cha kugawa bora kuitwa mchoyo kuliko malaya
Hahaha...mchoyo wa nin tena?
Theory yangu iangalie hapo juu
Ladies and Gents habari za siku nyingi ..
Nilikuwa busy na kitabu pia family ndio maana nimekuwa Kimya Kidogo
Leo nina tatizo naomba ushauri na msaada kimawazo..
Nimekuwa na mme wangu kwa miaka minne sasa na tumebahatika kupata mtoto ana 2 years old girl
Jmos moja mme wangu alinipa simu yake kuongea na mama mkwe baada ya kumaliza kuongea nikawa najifunza kutumia smart phone ya husb tukiwa kwenye sherehe nilishawishika kuingia kwenye picha na whatsApp pia
Huko nikaanza kuingia kila sehemu..Ile nafika WhatsApp walahi niliumia oho sana
Mme wangu alikuwa anachat na wakina dada tofauti tofauti mambo ya mapenzi na kuombana kutumiana picha ...na mengineyo sipendi kusema
Pia nilikuta kwenye Picture profile mme wangu ana picha zaidi ya sita za kina dada waliomtumia kwenye WhatsApp
Nilimuuliza mme wangu hakunipa maneno ya kueleweka ,na mimeshajua mwenzangu ananicheat wakati mie nimejituliza nyumbani nalea mwanangu wa miaka miwili.
Lakini Bado nimesikia sasa ni kilio cha wanandoa wengi na mahusiano yanavunjika kwa sababu ya hizi wasapu..
Wapenzi niambieni nifanyeje roho inaniuma sana!naichukia ndoa kama ndo kuna usaliti wa hivi
Wenu Egyps
*********
Lakini ulipona?
Mi nakupenda ujue kwanza hilo mengine yatafuata ndo uchoyo wako utakapo jipambanua.
Ah wajameni hebu tuweni serious bwana... mdau hapo juu unasemaje? Kuwa maofisini mke wa mtu kushikwa makalio ni kitu cha kawaida? Kweli???
ni PM namba yako ya simu au email kwa ushauri murua.
mama usijali...nataka uelewe kwamba asili ya wanaume ndo hiyo. mme wako anakupenda tu wewe hao wengine wanapita tu..he was just unwinding..ongea na mtu wako kwa upole afu uone vile utabembelezwa. ( ndo utamu wa ndoa)Ladies and Gents habari za siku nyingi ..
Nilikuwa busy na kitabu pia family ndio maana nimekuwa Kimya Kidogo
Leo nina tatizo naomba ushauri na msaada kimawazo..
Nimekuwa na mme wangu kwa miaka minne sasa na tumebahatika kupata mtoto ana 2 years old girl
Jmos moja mme wangu alinipa simu yake kuongea na mama mkwe baada ya kumaliza kuongea nikawa najifunza kutumia smart phone ya husb tukiwa kwenye sherehe nilishawishika kuingia kwenye picha na whatsApp pia
Huko nikaanza kuingia kila sehemu..Ile nafika WhatsApp walahi niliumia oho sana
Mme wangu alikuwa anachat na wakina dada tofauti tofauti mambo ya mapenzi na kuombana kutumiana picha ...na mengineyo sipendi kusema
Pia nilikuta kwenye Picture profile mme wangu ana picha zaidi ya sita za kina dada waliomtumia kwenye WhatsApp
Nilimuuliza mme wangu hakunipa maneno ya kueleweka ,na mimeshajua mwenzangu ananicheat wakati mie nimejituliza nyumbani nalea mwanangu wa miaka miwili.
Lakini Bado nimesikia sasa ni kilio cha wanandoa wengi na mahusiano yanavunjika kwa sababu ya hizi wasapu..
Wapenzi niambieni nifanyeje roho inaniuma sana!naichukia ndoa kama ndo kuna usaliti wa hivi
Wenu Egyps
*********
wewe usitake nikuboe kabisa wanaume woteeee malimbukeni,,, na amajui mnataka nini? ni kweli kama unakuwa wakatili kwa nini nisiwafananishe na wanyama loh
Kwa nini ujipe stress kuwa huru unasaidiwa kupunguza genye za mmeo
Siku nyingine usirudie kushika simu ya mmeo. Hilo ndilo fundisho kuu.
Mi sijawahi shika simu ya mke wangu,na yeye hata akiishika yangu, password ataijulia wapi? Maisha haya ya sasa, ukimchunguza sana bata hutamla. Maisha yenyewe mafupi yanini kujiua na mapresha ya bure??