jnrs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 505
- 236
sasa si ndo unataka kunivurugia kabisa ..
Naomba ushauri wako tafadhari
nawe jiunge kwenye whatsapp halafu uminvite na save majina ya rafiki zako wa kike kwa majina ya kiume na mwombe rafiki yako wa kike akutumie message nzuri ya mapenzi na umwonyeshe mumeo huku ukimwambia kuwa hujui ufanyeje kwani huyo bwana aliekutumia msg yuko tayari kukuoa na hawezi ishi pasipo wewe.