WhatsApp Messenger chat Itanivunjia ndoa yangu..

WhatsApp Messenger chat Itanivunjia ndoa yangu..

Once a cheater always will be,

Hata kama ukimkataza whatsapp haisaidii huyo mumeo ni malaya wa kutupwa,kama anamkewe mzuri nyumbani iweje aombe picha za wanawake wengine??

Kaa muongee umweleze anavokuumiza,kama anakupenda sana ataacha lakini kama ni tabia yake ni kama unatwanga maji kwenye kinu.

Kama huna kifua cha kubeba maumivu kwa nini uchokonoe simu ya mwenzio??Kisa cha kujipenguzia siku za kuishi duniani ni nini??

Pole sana dada.

Wanaume wote mlioko kwenye ndoa na walioko kwenye mahusiano,waoneeni huruma hawa wanawake maana wanawapenda sana ila mnawaangusha.
maneno yako yanaugusa moyo.
 
suluhisho ni kukaaaa nae chin mkaongea nae kwa kina haswaaaaaaa na ikiwezekana umwambie ajitoe kweny hyo mitandao kabisaaaaaaa!!!!!!!!!
 
@Egyps-women heri ya miaka mipya maana ni kitambo. Karibu na pole kwa hilo. Mie ninamtazamo tofauti kidogo ambao pengine mtanishambulia lakini karibuni. Mimi nadhani sio sawa kutilia mkazo sana kwenye haya ma-Whatapps sijui manini, huwezi kuitumia ile kama ndo kithibitisho cha kuwa mumeo anacheat kisa umekuta anachati mbambo ya mapenzi kwenye simu (pamoja na kuwa ni aina mojawapo ya cheating). Nasema hivyo kwa sababu watu wanawezachat mambo ya ajabu sana na mtu ambaye hata kuonana hawajawahi kuonana lakini katika chat mtu akajikuta wameshavuana na nguo kabisaaa kiWhatsap, whatsapp. Ni makosa ndio lakini ni wangapi wanaelewa kuwa hii nayo ni aina ya cheating? Wengi huwa wanachukulia kuwa ni kiondoleo cha stresses (hasa pale anapoanza na kabla hajafikia kukengeuka kabisa) na kutanabai tayari mtu ushakuwa addicted. So ninakuomba ukae chini na shemeji ongea naye, mweleze unavyoumia na kuwa kama haelewi ile ni aina mojawapo ya cheating ..... mwambie mume wangu hii ni aina moja wapo kama sio kichocheo cha kucheat please acha. Usivunje ndoa kwa sababu ndogo kama hii.............. ukitaka ujue umuhimu wa ndoa, achika.

Nakubaliana nawe bi dada
 
tena malimbukeni kipi kipya huko nje unachopata... kama ni kijana tembea na sampuli zote unazotaka ukiamua kuingia just settle tu

Hehehehe bibie mswalie mtume na umuombe Mungu mumeo asijekamatika huko nje, kuna mapya binti watu wajuzi wa mambo yakhe tatizo sio kuwa na mchele changamoto ni jinsi gani utaupika huo wali uweze kulika
 
Hehehehe bibie mswalie mtume na umuombe Mungu mumeo asijekamatika huko nje, kuna mapya binti watu wajuzi wa mambo yakhe tatizo sio kuwa na mchele changamoto ni jinsi gani utaupika huo wali uweze kulika

waache akiweza avae koti kuvua suruali itachukua mda loh yangu ya yumbani matumizi aweke huko akajikojozee weweweeee wala hainitiii presha ..... khajue tu majukumu yake nyumbani na asinileteee dharau tu.... wnaume akili zao bwana acaha tu
 
......Simple!

Vipi muonekano wa Mumeo? amenenepeana? ana kitambi na manyama uzembe kibao?
Sikia, .....wanaume "tunaotumia" whatsapp, Facebook, na Jamiiforum #Ku-FLIRT , tunafidia masimango,
na mapungufu ambayo nyie wake zetu mnatunyanyapaa nayo ili nasiye tujiskie vizuri kidogo banaa...

Calm Down, mmeo anakupenda...usimzidishie Msongo wa Mawazo.

Teh teh teh teh
 
Hapo hujaingia fesibuku, badoo, insta, viber, tweeter oo mweeee pole yako mdada ndio mana ndoa unapewa cheti sio kitu kidogo
 
Haya ndio madhara ya mitandao. Lakini nyinyi ni watu wazima kaeni chini muongee na kufikia muafaka.

Tatizo si mitandao mkuu tatizo watumiaji. kwani watsapp inamwambia mtu atongoze wengine? Mtu kutokua na heshima katika ndoa au kufuata mkumbo.
 
ila wew ulijitaftia matatzo mwenyewe.. epuka kushka tena sim ya mumeo utakuja kuyakutamengine zaid ya hlo...
 
huduma zipi mnakua mnazikosa?..

zile za kawaida tu kila mara tunajibiwa, kwani huwezi kufanya mwenyewe, huoni nabembeleza mtoto, subiri mtoto alale, nimechoka mtoto alikuwa anasumbua, usafi, kubaki na khanga kama uko msibani kila kitu sababu mpaka tunakereka mwishowe tunakutana na wawindaji haramu
 
zile za kawaida tu kila mara tunajibiwa, kwani huwezi kufanya mwenyewe, huoni nabembeleza mtoto, subiri mtoto alale, nimechoka mtoto alikuwa anasumbua, usafi, kubaki na khanga kama uko msibani kila kitu sababu mpaka tunakereka mwishowe tunakutana na wawindaji haramu

Mhhhhhhhhhh kuwa mwanamke kazi sana
 
Mtoa mada kama kweli umejiridhisha mumeo anatoka nje ya ndoa jaribu kuchunguza anafuata nini huko nje, maana kama kukupenda anakupenda ndio maana we uko ndani jichunguze mapungufu yako.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom