WhatsApp Messenger chat Itanivunjia ndoa yangu..

WhatsApp Messenger chat Itanivunjia ndoa yangu..

Ladies and Gents habari za siku nyingi ..

Nilikuwa busy na kitabu pia family ndio maana nimekuwa Kimya Kidogo
Leo nina tatizo naomba ushauri na msaada kimawazo..

Nimekuwa na mme wangu kwa miaka minne sasa na tumebahatika kupata mtoto ana 2 years old girl

Jmos moja mme wangu alinipa simu yake kuongea na mama mkwe baada ya kumaliza kuongea nikawa najifunza kutumia smart phone ya husb tukiwa kwenye sherehe nilishawishika kuingia kwenye picha na whatsApp pia

Huko nikaanza kuingia kila sehemu..Ile nafika WhatsApp walahi niliumia oho sana

Mme wangu alikuwa anachat na wakina dada tofauti tofauti mambo ya mapenzi na kuombana kutumiana picha ...na mengineyo sipendi kusema
Pia nilikuta kwenye Picture profile mme wangu ana picha zaidi ya sita za kina dada waliomtumia kwenye WhatsApp

Nilimuuliza mme wangu hakunipa maneno ya kueleweka ,na mimeshajua mwenzangu ananicheat wakati mie nimejituliza nyumbani nalea mwanangu wa miaka miwili.

Lakini Bado nimesikia sasa ni kilio cha wanandoa wengi na mahusiano yanavunjika kwa sababu ya hizi wasapu..

Wapenzi niambieni nifanyeje roho inaniuma sana!naichukia ndoa kama ndo kuna usaliti wa hivi

Wenu Egyps
*********

No one falls in love by chance its by choice,no one stays in love by chance but its by choice and no one fall out of love by chance its by choice......The choice on how to deal with the situation is with you!
 
usaafi au uchafu ni tabia ya mtu..mambo mengine ni kurekebishana tu na ukiona anazidiwa unamtaftia mtu wa kumsaidia izo kazi ili asichoke sana..na wao ni binadamu wana miili,wanachoka..ohoo..
af ukijiweka ki kuwindwa windwa lazima utakutana na wawindaji kweli
zile za kawaida tu kila mara tunajibiwa, kwani huwezi kufanya mwenyewe, huoni nabembeleza mtoto, subiri mtoto alale, nimechoka mtoto alikuwa anasumbua, usafi, kubaki na khanga kama uko msibani kila kitu sababu mpaka tunakereka mwishowe tunakutana na wawindaji haramu
 
Of course hata humu najua yapo lakini humu kunalimitation kadhaa ambazo zinapunguza shughuli hizo hapa jamvini. Zifuatazo ni baadhi tu ya barriers:-
  • ID humu zina create barrier kubwa sana kwa sababu watu wanakuwa waoga kujilengesha kwa mtu kwani unaweza kuta ni ndugu yako kama baba, mama, dada, aunty etc au ni mtu ambaye unaheshimiana naye sana na actually haupo willing kuwa na mahusiano naye yas kimapenzi. kwa hiyo watu wanakuwa wana hestate!
  • Watu wengi walio humu ni Mature kiasi kwamba they have purpose of joining JF! They are serious na sometimes mtu kumuingia inabidi ajiulize mara mbili mbili kwa hiyo anakomea kufollow comment na threds zake huku akiumia rohoni. Na hata akiamua kumuambia ya moyoni basi anakuwa na yale mapenzi ya serious kwani amekuwa amefanya research kumhusu mpendwa wake kwa muda mrefu siyo love ya kitoto toto! Japo hii imekuwa ikipungua hapa kwa watu wasio mature kiakili kuvamia JF!
  • Zingine ongezea na wewe brenda18!
Sasa kaka angu ata jf mbona ayo mambo yapo...myb bado hujakutana nayo......ni ngumu kukwepa aya mambo
 
Last edited by a moderator:
nawe jiunge kwenye whatsapp halafu uminvite na save majina ya rafiki zako wa kike kwa majina ya kiume na mwombe rafiki yako wa kike akutumie message nzuri ya mapenzi na umwonyeshe mumeo huku ukimwambia kuwa hujui ufanyeje kwani huyo bwana aliekutumia msg yuko tayari kukuoa na hawezi ishi pasipo wewe.

Yote hayo ya nini best? Dawa moja tu! Jiunge na wewe whatsapp, badoo nk afu unatia password kwa sim yako. Then unawacha kabisa kumuuliza wala kukagua sim yake unakuwa busy na sim yako. Akirudi unam attend as usual ila make sure mashost zako wanakutext mara kibaoo! Imagine jamaa anakula, umemtengea msosi afu ghafla kimlio cha new msg whatsapp unakimbilia sim yako unasoma chapchap unamjibu afu unailock then unarudi kujumuika nae. fanya ivyo then utaona kitakachotokea.
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Dada angu poleee!cyo wanaume tu ndo wana huo ufirauni hata cye wadada na sie tumezidiii na tumekubuhu haswaa!cha msingi mpe adhabu tu aanze kutumia ktochii ili awapumzishe hao vshanshudaa!!otherwise wanawake na wanaume tubaki njia kuu michepuko haifaiii
 
Of course hata humu najua yapo lakini humu kunalimitation kadhaa ambazo zinapunguza shughuli hizo hapa jamvini. Zifuatazo ni baadhi tu ya barriers:-
  • ID humu zina create barrier kubwa sana kwa sababu watu wanakuwa waoga kujilengesha kwa mtu kwani unaweza kuta ni ndugu yako kama baba, mama, dada, aunty etc au ni mtu ambaye unaheshimiana naye sana na actually haupo willing kuwa na mahusiano naye yas kimapenzi. kwa hiyo watu wanakuwa wana hestate!
  • Watu wengi walio humu ni Mature kiasi kwamba they have purpose of joining JF! They are serious na sometimes mtu kumuingia inabidi ajiulize mara mbili mbili kwa hiyo anakomea kufollow comment na threds zake huku akiumia rohoni. Na hata akiamua kumuambia ya moyoni basi anakuwa na yale mapenzi ya serious kwani amekuwa amefanya research kumhusu mpendwa wake kwa muda mrefu siyo love ya kitoto toto! Japo hii imekuwa ikipungua hapa kwa watu wasio mature kiakili kuvamia JF!
  • Zingine ongezea na wewe brenda18!

Kwa kiasi flan nakubaliana na wew lakin humu ndani nako kuna mabazazi na mabandidu wakutosha tuu...ni kama pameingiliwa...yaani ikishakuwa social network tu mambo si mambo....utayaona tu ipo siku...am optimistic thow dont judge me wrong
 
Last edited by a moderator:
mwambie kwanzia leo 0713 itapatikana humu humu ndani auze smart anunue tochi itasaidia......upo apo?
 
Yangu me iliasha vunjwa na watsap na fb...hasa watsap...nilikuta anawatumia wanaume picha za uchi kabisa...haogopi hao wanaumw wanaweza weka mtandaoni....ilikuwa ni ajabu sana...nashangaa hadi leo..nahisi saivi alivyo huru atakuwa anajirekodi akifanya nao mapenzi...
 
Hahahahaaaaaaaaaaa, nikupe pole dada! Mabazazi na mabandidu yameshakusumbua nn? Mpe shem password yako ayape za uso, teh teh teh teh (joke)!
Kwa kiasi flan nakubaliana na wew lakin humu ndani nako kuna mabazazi na mabandidu wakutosha tuu...ni kama pameingiliwa...yaani ikishakuwa social network tu mambo si mambo....utayaona tu ipo siku...am optimistic thow dont judge me wrong
 
Kwa kiasi flan nakubaliana na wew lakin humu ndani nako kuna mabazazi na mabandidu wakutosha tuu...ni kama pameingiliwa...yaani ikishakuwa social network tu mambo si mambo....utayaona tu ipo siku...am optimistic thow dont judge me wrong

Inaonyesha brenda18 mchoyo sana
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaaaaaaa, nikupe pole dada! Mabazazi na mabandidu yameshakusumbua nn? Mpe shem password yako ayape za uso, teh teh teh teh (joke)!

Hahaha...asante usijal...mambo yapo sawa sasa....ilikuwa karibu mjini tu ile......😉sasa na mim nawapa za uso mwenyew😀
 
Back
Top Bottom