Whats your talent...???

vipaji vyangu
-KIPAJI MFU
-Football,ningezaliwa miaka ya karibuni hakika ningesakata kapumbu ulaya!nilikuwa nikikuchezea nyuma yaani beki ni noma!hata Messi hapiti!

U can still be the best footballer if you want to. all you have to do is have a will
 
-DECORATION yaani kupamba kumbi kwa ajili ya harusi!wanaonijua hawaniiti mpambaji,wananiita Mbunifu wa mapambo!niko na kampuni yangu ya mambo ya sherehe inaitwa The Function House!

Great talent. Nikitaka kuoa nitakutafuka mkuu.
 

Do u know how to play a piano?
 
-Florist!
mambo yote ya kupanga maua!maua yenyewe yakiniona huwa yanaanza kujipanga yenyewe kabla sijayagusa!
 
-Cake baker!nilikuwa nikitengeneza keki na kupamba ktk viwango vya kimataifa vya Wilton!then I went to college!bila shaka nitaanza tena kutoa huduma hii ktk The function house!
 
Ha ha haaa!!! hicho sio kipaji mkuu. hiyo ni skills.

jamani bado nina kamba mguuni! nilijiunga kitambo lakini nilikuwa kutwa nachungulia kwenye mianya ndani kukoje kabla ya kugonga! nimegonga rasmi, nimekunwa na topic ya talent, kipaji changu ni upanga boi kunako 6 by 6, cjui kama ni talent au ni skills. mtadadavua kwa muda wenu.
 
-KIPAJI TARAJIWA
msishangae siku moja kusikia kuna mtanzania anaitwa Tilly Collins Chizenga akicheza movie ktk viwango vya kina Denzel Washington,Richard Gere and the likes!
 

Upanga boi tena? Wewe ni mwanamke au mwanaume?
 
mkuu kwani wanaume nao wanayaweza?? mimi ni mtoto wa kike haswa! mbona hakuna hata karibu, swali ndilo la kwanza? hebu kuwa mkarimu kidogo kaka!
 
mkuu kwani wanaume nao wanayaweza?? mimi ni mtoto wa kike haswa! mbona hakuna hata karibu, swali ndilo la kwanza? hebu kuwa mkarimu kidogo kaka!

Mhmmm!!! huoni jinsi nilivyo mkarimu kwa kukukaribisha na like. Nimefanya hivyo ili kukuonyesha ni jinsi gani nakupenda. Embu njoo huku kwanza tupate kinwaji kidogo wakati nakutembeza hapa jukwaani.
 
Great talent. Nikitaka kuoa nitakutafuka mkuu.

karibu mkuu!unaweza kuchungulia kazi zangu ktk www.harusiyangu.com ktk decorators list cheki The Function House!pia facebook nicheki ktk this id ninayotumia hapa!karibu tena,booking muhimu,you know the date you inform me!
 
Sawing. . .
Knitting. . .
Writting(lyrics, poetry, hadithi, tumakala n.k). .
Cooking. . .
Singing. . .
Playing piano. . .

. . . . .na nyingine nyingine.
.........umesahau kimoja........
 
Safi kabisa Luk,very inspiring!
 
It's'your lucky day, i can play the guitar
And I. Can sing too.
Naongea lugha nane, nne international. 🙂
Mmmmmhhhhh? Na kihaya as international language imo kwenye orodha?
 
Unaogopa wazee sura mbaya? Usituogope bana hatuumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…