Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Wadau something has just come on my mind, msinishambulie tafadhali , nimeangalia kwa makini watoto wanaozaliwa na wazazi wa mixed races wanakuwa na future tofauti sana. Mathalani baba anapokuwa mzungu na mama mwafrica watoto mara nyingi huishia jela ama kutokuwa na future inyoeleweka nina mifano mingi tu....lakini ukiangalia kwenye couples ambazo baba ni mwafrica na mama mzungu watoto waliowengi huwa na future nzuri sana, nitatoa mifafono hapa, Leona Lewis, baba mweusi mama Mzungu, Lewis Halmiton, baba mweusi na mama Mzungu, Akina Rio Fedirnand mama mzungu baba black, haya na raisi wa dunia Baraka Husein Obama, baba black na mama Mzungu, Tiger Woods mama mzungu baba Muasia najua kuna exceptions kama akina Alexandra Burke et al lakini ukiangalia walio wengi waliozaliwa kwenye mixed races mama mweusi wanakuwa hawana uelekeo....
comments please.... we need a big study to prove this hypothesis, Will look for funding Mtanzania fanyie PhD hii kitu, I assume wa mama wa kiafrica wanashida kwenye malezi ya watoto...Mwafrica wa kike na women of substance hebu toeni hoja
comments please.... we need a big study to prove this hypothesis, Will look for funding Mtanzania fanyie PhD hii kitu, I assume wa mama wa kiafrica wanashida kwenye malezi ya watoto...Mwafrica wa kike na women of substance hebu toeni hoja