Ntandalilo
Member
- Mar 15, 2011
- 96
- 1
yalivyo
Ilivyo
yalivyo
Ilivyo
Wasalaam Ushirombo,
Mosi, tupe mifano ya watoto waliozaliwa na mama weusi na baba weupe wasio na mafanikio hili tuweze kuchangia. Bob Marley alizaliwa na kulelewa na mama mweusi lakini kwa kiwango chake aliweza kufanikiwa na mpaka leo hii yeye ni legend wa music wa kuruka ruka (reagae).
Pili, inategemea huyo mama mweusi anaishi katika mazingara gani? usitegemee mzungu kuja Tanzania na kuzaa na mwanamama wa kiswahili muuza genge utegemee kwamba mtoto atayelelewa na huyu mama ataweza kulingana na mtoto atayelelewa huku akiwa amezungukwa na nyenzo za kuweza kujinyanyua kimaisha na kielimu.
Tatu, your hypothesis is too general, you need to narrow it down. Mfano what is your target group? Mzungu wa russia na mmatumbi?
Shadow
...
comments please.... we need a big study to prove this hypothesis, Will look for funding Mtanzania fanyie PhD hii kitu, I assume wa mama wa kiafrica wanashida kwenye malezi ya watoto...Mwafrica wa kike na women of substance hebu toeni hoja
Nakumbuka Baba yangu pamoja na kuwa hakwenda shule ya maana, kwenye miaka ya '80 akiwa na miaka 66 alikwisha niambia jambo hili la la tabia na akili zisizotulia za "machotara" (halfcast) hata hawa wa kiarabu! Kwa ujumla nilifuatilia kuanzia tulio soma nao darasani na niliona kuna ukweli ndani yake!
Mch. Masanilo wanaokushutumu ni kujihami tu bila kushughulisha akili zao japo kidogo, ndo maana hapo kwenye red umeomba wazamivu wafanyie study hoja yako. Nakubaliana na wewe kwa 100%. Wengi wa machotara hasa mama akiwa mwafrika, kuna jambo ambalo si la kawaida katika akili zao. Mmoja wao ni mke wangu, kwa vile baba alikwisha ni-caution madhaifu yao naishi naye kwa akili!
Study itatoa na percentage kwa fact ya hoja yako!
Kwani wale mateja wa jangwani ni machotara? Mie nafikiri machotora wana mafanikio makubwa kulinganisha na race zingine. Ila hapa mchungaji amewapambanisha machotara vs machotora. Yawezekana mkeo ndo anaishi na wewe kwa caution
Kwani wale mateja wa jangwani ni machotara? Mie nafikiri machotora wana mafanikio makubwa kulinganisha na race zingine. Ila hapa mchungaji amewapambanisha machotara vs machotora. Yawezekana mkeo ndo anaishi na wewe kwa caution
Jina lako linafanana na Katibu wa CCM lakini hujamuelewa Mchungaji, kifupi ni hivi:-
"Baba Mzungu + Mama Mweusi = Chotara" (Hawana mafanikio makubwa)
"Baba Mweusi + Mama Mzungu = Chotara" (Wanafanikiwa kimaisha) hawa ndo alio wataja kwenye post yake!
Yeye anachotaka ni utafiti ufanyike ili kama ni kweli ni kwa percent ngapi na kwa nini?
Kuishi kwingi kuona mengi, mambo mengine siyo lazima uingie darasani, tazama jamii inayokuzunguka kama pilot sample kisha uje na comment!
Wadau something has just come on my mind, msinishambulie tafadhali , nimeangalia kwa makini watoto wanaozaliwa na wazazi wa mixed races wanakuwa na future tofauti sana. Mathalani baba anapokuwa mzungu na mama mwafrica watoto mara nyingi huishia jela ama kutokuwa na future inyoeleweka nina mifano mingi tu....lakini ukiangalia kwenye couples ambazo baba ni mwafrica na mama mzungu watoto waliowengi huwa na future nzuri sana, nitatoa mifafono hapa, Leona Lewis, baba mweusi mama Mzungu, Lewis Halmiton, baba mweusi na mama Mzungu, Akina Rio Fedirnand mama mzungu baba black, haya na raisi wa dunia Baraka Husein Obama, baba black na mama Mzungu, Tiger Woods mama mzungu baba Muasia najua kuna exceptions kama akina Alexandra Burke et al lakini ukiangalia walio wengi waliozaliwa kwenye mixed races mama mweusi wanakuwa hawana uelekeo....
comments please.... we need a big study to prove this hypothesis, Will look for funding Mtanzania fanyie PhD hii kitu, I assume wa mama wa kiafrica wanashida kwenye malezi ya watoto...Mwafrica wa kike na women of substance hebu toeni hoja