speechwriter
Senior Member
- Jul 4, 2011
- 137
- 50
Hii ilikuwa ni radio ya watu. Au ndio brand saturation, competition au nini?
Je FACTS ni zipi kwenye hizi tuhuma zisizokweisha kila kukicha? Na kwa nini wawe wanalalamikiwa wao kila siku wakati radio ziko nyingi tu?
Mara wakina Kibonde sasa wasanii, mbaya zaidi siku hizi kila mmoja nayo platform ya kulalama: Facebook, Twitter, YouTube etc
At what point did it all go wrong for Clouds, je ni arrogance au wameshindwa ku-adapt?
Je FACTS ni zipi kwenye hizi tuhuma zisizokweisha kila kukicha? Na kwa nini wawe wanalalamikiwa wao kila siku wakati radio ziko nyingi tu?
Mara wakina Kibonde sasa wasanii, mbaya zaidi siku hizi kila mmoja nayo platform ya kulalama: Facebook, Twitter, YouTube etc
At what point did it all go wrong for Clouds, je ni arrogance au wameshindwa ku-adapt?