Watangazaji wengi wa clouds wamebebwa mpaka hapo walipo.hivyo wako tayari kufanya lolote alitakalo ruge hata kama litawadhalilisha.nani asiyejua wafanyakazi wengi wa kike wa clouds wameliwa na Ruge?
ki ukweli clouds kuna watangazaji wazuri wenye vipaji kama b12 millard ayo na adamu mchonvu sote tunakubali ila tatizo liko kwa bosi wao ruge huyu mtu tatizo hata ukikaa na wafanyakazi wanamlalamikia sana chinichini kusaga anamuamini na kamuachia mikoba yote yaani haongei kitu juu ya huyu mtu nae anatumia nafasi yake kukandamiza wenzake
Hakuba ubishi kuja clouds in watangazaji wazuri. Lakini lazima wasome alama za nyakati. Kama wanadhani enzi Zile ndo izi wamepotea njia. Check jide alivyowaaibisha sasa ivi wanamtumie. Mwana FA kuwagawa mashabiki wa bongo flaviana. Wake up mwana fa clouds wanakutumia tuuuuuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.