MJADALA: What went wrong and what went right with 2000s kids?

Teslarati

JF-Expert Member
Nov 21, 2019
1,735
6,796
Salaam,

Ndugu zanguni sidhan kama ni mm pekee ndo nimeona hili. Hawa watoto wa 2000s -23 yrs old and below ukikuta kaharibika basi kaharibika sana (what went wrong?) na ukikuta anajielewa basi anajielewa zaidi ya mtu wa miaka 30 na alichokosa tu ni experience (what went right?)

Hapa mjini tunaona vijana wengi wa 23 yrs & below wakiongoza kujihusisha na mambo yasiofuata maadili kama vile utumiaji vilevi, umalaya na ushoga.

Lakini pia ukienda maofisini siku hizi unaweza kuta kijana mdogo lkn anjua vitu hadi anakera. Yaan ijumaa nilienda kumtembelea rafiki yangu pale Deloitte nimekutana na associate mmoja dogo dogo tu ila aisee the kid was bright. Na hii sio mara ya kwanza.

Watoto wa 2000s ni aidha anajielewa au kashapotea hakuna average, midrange.

So what went wrong and what went right?
 
23 yrs unaita ni mtoto tena jmn shida mnatudharaugi sana mtu akijua ni 2000 basi anaona maisha hujui kabisa
Inawezekana usiwe mtoto kama anavyosema ila unaitwa mtoto kwa sababu bado hauna experience ya maisha, vitu vingu hauvielewi kwa undani, tunategemea ufanye makosa ya kitoto na kweli unafanya, hata hii comment yako ni kiashiria wewe ni mtoto na kwa sababu ya utoto utakasirika mimi kukwambia hivi, na kwa sababu ya utoto utazuga kutokukasirika.
 
Inawezekana usiwe mtoto kama anavyosema ila unaitwa mtoto kwa sababu bado hauna experience ya maisha, vitu vingu hauvielewi kwa undani, tunategemea ufanye makosa ya kitoto na kweli unafanya, hata hii comment yako ni kiashiria wewe ni mtoto na kwa sababu ya utoto utakasirika mimi kukwambia hivi, na kwa sababu ya utoto utazuga kutokukasirika.
Hahaahaaaa

Jibu matata sana hili. Response kama hizi zina jina lake kwenye psychology/philosophy ila nmesahau
 
Salaam,

Ndugu zanguni sidhan kama ni mm pekee ndo nimeona hili. Hawa watoto wa 2000s -23 yrs old and below ukikuta kaharibika basi kaharibika sana (what went wrong?) na ukikuta anajielewa basi anajielewa zaidi ya mtu wa miaka 30 na alichokosa tu ni experience (what went right?)

Hapa mjini tunaona vijana wengi wa 23 yrs & below wakiongoza kujihusisha na mambo yasiofuata maadili kama vile utumiaji vilevi, umalaya na ushoga.

Lakini pia ukienda maofisini siku hizi unaweza kuta kijana mdogo lkn anjua vitu hadi anakera. Yaan ijumaa nilienda kumtembelea rafiki yangu pale Deloitte nimekutana na associate mmoja dogo dogo tu ila aisee the kid was bright. Na hii sio mara ya kwanza.

Watoto wa 2000s ni aidha anajielewa au kashapotea hakuna average, midrange.

So what went wrong and what went right?
Kuna kitu hakiko sawa.....

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
kwa sababu ya utoto utakasirika mimi kukwambia hivi, na kwa sababu ya utoto utazuga kutokukasirika.

Hapana sio reverse psychology, structure ulotumia hapo juu kwenye aya nloiquote nakumbuka nilisoma sehemu miaka ya zamani ila siikumbuki exactly ni structure gani hizo coz si unajua kusoma kwa kulazimishana bn
 
Salaam,

Ndugu zanguni sidhan kama ni mm pekee ndo nimeona hili. Hawa watoto wa 2000s -23 yrs old and below ukikuta kaharibika basi kaharibika sana (what went wrong?) na ukikuta anajielewa basi anajielewa zaidi ya mtu wa miaka 30 na alichokosa tu ni experience (what went right?)

Hapa mjini tunaona vijana wengi wa 23 yrs & below wakiongoza kujihusisha na mambo yasiofuata maadili kama vile utumiaji vilevi, umalaya na ushoga.

Lakini pia ukienda maofisini siku hizi unaweza kuta kijana mdogo lkn anjua vitu hadi anakera. Yaan ijumaa nilienda kumtembelea rafiki yangu pale Deloitte nimekutana na associate mmoja dogo dogo tu ila aisee the kid was bright. Na hii sio mara ya kwanza.

Watoto wa 2000s ni aidha anajielewa au kashapotea hakuna average, midrange.

So what went wrong and what went right?
You see the thing is unaposikia madhara ya bangi ndiyo hayo sasa na unaposikia faida ya bangi ndiyo hayo hayo tu
 
Walete na amapiano zao.

Au kwa ule wimbo diamond anacheza kaweka macho kama zombie au taahira fln hv.

Nilikuta madogo wanacheza nikaanza kuuliza nikaambiwa wanacheza wimbo wa diamond ndo nikawekewa kuona uchizi ulipofikia
We zombieee
Haujui…

Najua tu hapo.. huko mbele labda mshamba_hachekwi atakuwa anajua mistari

Watoto wa 2000 wana balaa sana mtaani..
 
Salaam,

Ndugu zanguni sidhan kama ni mm pekee ndo nimeona hili. Hawa watoto wa 2000s -23 yrs old and below ukikuta kaharibika basi kaharibika sana (what went wrong?) na ukikuta anajielewa basi anajielewa zaidi ya mtu wa miaka 30 na alichokosa tu ni experience (what went right?)

Hapa mjini tunaona vijana wengi wa 23 yrs & below wakiongoza kujihusisha na mambo yasiofuata maadili kama vile utumiaji vilevi, umalaya na ushoga.

Lakini pia ukienda maofisini siku hizi unaweza kuta kijana mdogo lkn anjua vitu hadi anakera. Yaan ijumaa nilienda kumtembelea rafiki yangu pale Deloitte nimekutana na associate mmoja dogo dogo tu ila aisee the kid was bright. Na hii sio mara ya kwanza.

Watoto wa 2000s ni aidha anajielewa au kashapotea hakuna average, midrange.

So what went wrong and what went right?
Mabadiliko tu na utandawazi.
So, ni maamuzi dogo ajihabarishe upande gani.
Nna dogo anakuja hapa mara moja moja yuko form 3 ni programmer na self taught yani yeye akikamata sim au pc ni youtube na kusoma masuala ya programming. Halafu nnaye mwingine yeye ni full diamond, story za wasafi akina paula mzee wa kila kitu unyama mwingi.
So no utandawazi na sio kusema hata huyu hajui vitu anajua vitu vingi tu sema ukimwona amebase upande huu mwingine
 
Inawezekana usiwe mtoto kama anavyosema ila unaitwa mtoto kwa sababu bado hauna experience ya maisha, vitu vingu hauvielewi kwa undani, tunategemea ufanye makosa ya kitoto na kweli unafanya, hata hii comment yako ni kiashiria wewe ni mtoto na kwa sababu ya utoto utakasirika mimi kukwambia hivi, na kwa sababu ya utoto utazuga kutokukasirika.
Khaaa jmn mm nina 30 yangu hapa nimeongea tu kwa niaba ya wa 2000😀😀😃😃
 
Mabadiliko tu na utandawazi.
So, ni maamuzi dogo ajihabarishe upande gani.
Nna dogo anakuja hapa mara moja moja yuko form 3 ni programmer na self taught yani yeye akikamata sim au pc ni youtube na kusoma masuala ya programming. Halafu nnaye mwingine yeye ni full diamond, story za wasafi akina paula mzee wa kila kitu unyama mwingi.
So no utandawazi na sio kusema hata huyu hajui vitu anajua vitu vingi tu sema ukimwona amebase upande huu mwingine
Kinachofanya mmoja apende upande huu (what went right) na mwingine upande huo (what went wrong) ni nn?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom