Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,381
Hahahaha, samahani mkuu, It won't happen again. na nimesha futa, I hope umeona. lolHizi ndo changiaji za kimodereta siyo?
Be warned! Otherwise ntakulamba BAN!
Hahahaha, samahani mkuu, It won't happen again. na nimesha futa, I hope umeona. lolHizi ndo changiaji za kimodereta siyo?
Be warned! Otherwise ntakulamba BAN!
Orayt..........:focus:Hahahaha, samahani mkuu, It won't happen again. na nimesha futa, I hope umeona. lol
mama used to take me to the movies....dah sitasahau,miaka ya katikati na mwisho ya 80's,..cameo,avalon,empire,empress yalikuwa yananijua kwa jina,..ukirudi kitaa watoto wenzangu walikuwa wanakoma,nitahadithia movie nzima ya kihindi hadi maneno yake...disco dancer nimeicheki kwa mara ya kwanza cinema(empire)87 au 88,..i will pass that ho b by( cinema going)to my unborn child...good ol days...childhood days will always stay on my mind...thank you mama!!......
Salam Namaste Nyabingi.... naona wewe ni mzee wa Kuch kuch hottai....lol..
This post is soooo sweet!!! Asante mama Nyabingi for being a good mama.... Na live up to your promise aise... inaweza isiwe movie lakini ikawa another thing for sio lazima upande wa Cinema... time zimechange..... Cinema ain't what it was a long time ago... Thank you for sharing dear....
Hehehe! Unatamani angekuwa wifi ako eeh? Huna bahati manake kaka zake wote tumewamaliza mimi na King'asti!AD,I truly love you dear
Mi nimelelewa na mama...
I loved my mom...
J'mosi ya kila wiki asubuhi ananipeleka shopping... Not necessarily kuninunulia vitu,but hata vitu vyake mwenyewe...ila mimi companion wake... Sijui ndiyo maana nami nimedevelop hobby ya shopping?!
I wish it could come back again... Na nilikuwa mwoga wa sindano..na njia ya kwenda Mnazi Mmoja health center kutokea nyumbani,ilikuwa lazima upite "Bakhressa" pale Livingstone...kwa hiyo nikiwa na sindano za masaa tu namlazimisha kuwa anipromise tukishachoma aninunulie "ice cream",au baadaye kukaja "milk shake"...
Can't forget those moments..
Hehehe! Unatamani angekuwa wifi ako eeh? Huna bahati manake kaka zake wote tumewamaliza mimi na King'asti!
Oooh my lovely wifi, thanks a lot for the kiss... Mwaaaaaah too!!Wifi.... my sweet wifi... Mwaaaah!!!
Hahahaha! Unanchekesha wakati nipo kazini eeh? Ole wako nifukuzwe kazi nakuja kuwa h'gal wako utake usitake!...me namtaka baba'ke mdogo lol
Hehehe! Unatamani angekuwa wifi ako eeh? Huna bahati manake kaka zake wote tumewamaliza mimi na King'asti!
Oooh my lovely wifi, thanks a lot for the kiss... Mwaaaaaah too!!
Wifi.... my sweet wifi... Mwaaaah!!!
I Love you Kabakabana.... but you saying this makes me feel marvelous and Love you more.... THANK YOU.
Hahahaha! Unanchekesha wakati nipo kazini eeh? Ole wako nifukuzwe kazi nakuja kuwa h'gal wako utake usitake!...
Hapa sijakuelewa ngoja tukifika nyumbani utanieleza vizuri
Asha nime noti kitu kimoja hapa,mboko.Scoffield,Nasikini jeuri,Nitonye et al wanaongelea experience ya kulambwa mboko utotoni,Scoffiel na Maskini Jeuri wana appreciate faida ya mboko hizo. I happen to be mmoja wa ambao hawakupigwa na mama wala baba na wanangu ( eldest in mid 20's anajitegemea,youngest teeneger) na maishani mwao sijawahi kuwagusa na bakora na mama zao huwa nina wa discourage kuwachapa wanangu.Do me a favour,ukipata muda shusha uzi maalum tujadili pros na cons za malezi haya ya bakora vs non bakora ( I for one i treat it as domestic violence)