Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
mmmmmmhhhhhh sijakupata dear......you mean?
bishanga bishangaaaa
mmmmmmhhhhhh sijakupata dear......you mean?
Hahahahaha!wala hujakosea swaiba,embu mpatie picha akiwa anahangaika kuweka kioo chini ya miguu ya kabinti ili tu aone rangi ya chupi hahahaha!ukubwan kaadvance ni mwendo wa kukagua wajukuu tu,hahahaha!ODM bwana!
Sasa wewe unanizibia kwa mwanao, na kwa nitonye pia? Sikubali asee...haya nambie nani ananifaa?ushauri wa bure:
SL tupa kurrrrrreeeee,hakufai mtoto wa mjini!
visa vya utotoni ni vingi, kuna shangazi yetu mmoja huyo alikuwa na meno mawili tu mdomoni na alikuwa anapenda kula sisi watoto maana spidi yake ilkuwa slow kama sisi. Wakati tunakula tunamshawishi ale nyama. Akiiweka tu mdomoni anaanza kuichezesha maana anatumia mda mrefu kutafuna kwa hiyo sisi tunatumia mwanya huo kukomba sahani yote.
Meno mengine alipeleka wapi?visa vya utotoni ni vingi, kuna shangazi yetu mmoja huyo alikuwa na meno mawili tu mdomoni na alikuwa anapenda kula sisi watoto maana spidi yake ilkuwa slow kama sisi. Wakati tunakula tunamshawishi ale nyama. Akiiweka tu mdomoni anaanza kuichezesha maana anatumia mda mrefu kutafuna kwa hiyo sisi tunatumia mwanya huo kukomba sahani yote.
Umeonae? Usijekuta kakako anamsingizia shangazi...loljamani meno mawili tu,mengine alipeleka api akiwa kijana hivyo?
Umeonae? Usijekuta kakako anamsingizia shangazi...lol
acha ushankunpe,mtu mzima utasutwa uvalishwe na khanga,booo!Naomba umreport abuse
Meno mengine alipeleka wapi?
Lol, mie pia nimehisi hivyo.anajikomba tu hapo ili usahau,,
Duuuh! Pole yake.Alikuwa anapiga sana fegi zile kali meno akapoteza
Alikuwa anapiga sana fegi zile kali meno akapoteza
acha ushankunpe,mtu mzima utasutwa uvalishwe na khanga,booo!
i just hope haujarithi mdogo wangu
Jibu PM basi.Mimi sijarithi ila kwa akina Bishanga karibia wote wamerithi tabia ya mdingi wao. Mdingi wao alikuwa na tabia ya kutoboa kwenye kuta za watu hasa chumba cha wanandoa halafu anakula chabo . Bishanga huyu huyu msimuone hivyo
Jibu PM basi.
Thanks love, nimeona!Tayari honey
Jibu PM basi.
mhh mnaturusha roho eeh,