guys, let us put our
idz aside, today we are going to generate new id's live from mmu..
what is your also know as name?
mi naitwa economiser!... wapi
lara
1, The
Boss,
Heaven on
Earth,
Nyani
Ngabu,
Madame
B,
miss
strong,
miss
chagga,
Washawasha,
Katavi,
Ruttashobolwa(olinka
iwe!),
watu8...,
Mr Rocky,
LiverpoolFC,
KakaKiiza, Shark,
Eiyer, Bahati yangu,
Invisible, Fang,
Moderator... and all others!!!!
let us chart now..
Nawaelewa ila tatizo kuwajibu Ennie na Life Goes On
kama ni wa kiume....!
aithee naishia hapo hapo kwenye kiambaza cha mlango wa kati!
Nick name yangu "malkia wa manyuki"
maana najulikana sana ila natawa kama mwali,
nanata kama asali na ukijaribu kunivuruga
vijana wote wa mtaani watakuandama hadi utahama kijiji!
Kwanza ngoja nimuombe Invisible anibadilishie ID aiweke hiyo.
Sema wale watoto pori wa mtaani ambao nilisha waona humu
watanijua kumbe Mwali ndie mimi...
My Nick...........
We kweli muhaya...
tafta nicknam af takufikiria kdgnaomba niwe ur next basi!!
Swiro, fanta, wa kuuchuna, maringo, mama R, Mrs. U..., chotara wa kinyamwezi na kibondei, mrembua macho..... nyingine kapuni, ila hasbendi huwa ananiita mama kibakuli au bi mkora kitachofuata hapo ni kutoka natembea migulu baja baada ya jupata bakora za kutosha looh