what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

Ngoja nikale makande kwanza!!!!!!!

hahahaa!!

kaka umenikumbusha enzi zile za mkapa!!

makande nilikuwa nalishwa kwa fimbo!!!

are you makande addictive?
 
niite Bily a.k.a bily
 
Last edited by a moderator:
Enzi nasoma walikuwa wananiita "Eliumbo".
Nilipewa hilo jina baada ya kupenda mada ya Elimu ya Maumbo katika somo la Hisabati.

Now ofisini wananiita Madame Kijungu.
Sijui kwa nini!!!!
MMAHE.....habari yako, snowhite....habari yako binafsi.
Hahahahahah.............................hongera zako hapo kwenye bold kama ndivyo.
 
Enzi nasoma walikuwa wananiita "Eliumbo".
Nilipewa hilo jina baada ya kupenda mada ya Elimu ya Maumbo katika somo la Hisabati.

Now ofisini wananiita Madame Kijungu.
Sijui kwa nini!!!!
MMAHE.....habari yako, snowhite....habari yako binafsi.

Ha ha haaa bold hiyo sbb ni course work inasoma vizuri yaani ina range kwenye B PLUS na A.
Mzima mammy?
 
Back
Top Bottom