what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

what is your nick name???..... forget about your id.. lets chill here!

haa Ennie huyu Asprin nadhani umeshamjulia, ningeshangaa kama asingeuliza swali hilo, kifupi alikuwaga mwanafunzi bora darasani kwa kuuliza maswali, sasa mwambie hivii, tumeanza zamani sana kabla hajamjua cacico...LOL
shemeji sabal kheri, usijebaka tu kama mbunge wako wa kule urambo! january ndio hiyooooo na mimi ndie yuleeeeeee!
 
hubby Asprin, hebu njoo chumbani, umeniacha mpweke na baridi hii huku fyatanga alone! usimwambie Kaizer kwamba sisi kwetu tunda ni daily hata kabla ya muadhini kuadhini! nakupenda hubby wangu, tukimalizanapo kumegana, sasa unipe ufafanuzi wa huyu Ennie!

Mwee!!!
 
Mie na Kaizer hatujakutana barabarani, na kizuri huwa tunakula pamoja..... Nadhani umenielewa Ennie. Karibu kwetu, karibu kwenye chama chetu, karibu kwenye undugu wetu.....



Hommie imekuwaje unataka kuleta kesi ya kikatiba huku kwenye mabaraza ya kata
??

nimegundua wakati wakura za maoni, kura za wananchi wengi zitakuwa huku,.....so kampeni ya ngazi ya shina hii hommie.....

halafu ndio nimegundua kuna maoni mengine hayakuingizwa kwenye rasimu yetu.....

CC cacico
 
Last edited by a moderator:
guys, let us put our idz aside, today we are going to generate new id's live from mmu..

what is your also know as name?

mi naitwa economiser!... wapi lara 1, The Boss, Heaven on Earth, Nyani Ngabu, Madame B, miss strong, miss chagga, Washawasha, Katavi, Ruttashobolwa(olinka iwe!), watu8..., Mr Rocky, LiverpoolFC, KakaKiiza, Shark, Eiyer, Bahati yangu, Invisible, Fang, Moderator... and all others!!!!

let us chart now..
548927_267774299994760_603538730_n.jpg

Ngoja nikale makande kwanza!!!!!!!
 
shemeji sabal kheri, usijebaka tu kama mbunge wako wa kule urambo! january ndio hiyooooo na mimi ndie yuleeeeeee!

hahaha safeeey shemeji watu wazima hawabakani ujue! tatizo la mbunge wangu anapenda sana tubinti tudogo......so usitie shaka shemeji yangu!
 
unacheza mieleka nini... au mbabembabe......mpaka ukapewa hiyo nickname...

che che che!!! aisee umewaza mbali sana! yani mimi49 awe joni sina!

aithee!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom