Ndizi ni tunda, hayo yote ni visingizo tu vya kutafuta soko. There's no country in Europe which has ndizi as their staple food, haya makampuni ya usafirishaji yanapeleka ndizi na some tropical fruits there kwa ajili ya foreigners waliopo kule. Yes, katika usafirishaji lazima zipelekwe ndizi mbichi kwa sababu given proper time zitaiva na kuuzika kirahisi kuliko kupelea zilizoiva kabisa. Kaka zangu wanafanya hii kazi ya kuuza matunda nje ya nchi na ndizi ikiwa ni moja ya hayo matunda. Hakuna mjadala hapa, ndizi si chakula ni tunda.
According to you ndizi ni tunda na siwezi kubadilisha msimano wako. Neither you utaweza kubadilisha msimamo wa wale wanaosema mahindi ni chakula cha mifugo, kwa sababu tuu wewe unaamini ni chakula kwako.
In deed, aliyekuwa anadai kuwa ndizi ni tunda tuu, ni huyo huyo United Brands aliyekuwa anataka kupanua soko lake kama unavyodai.
The fact that hakuna nchi Ulaya inayokula ndizi kama staple food, haina maana kuwa ndizi siyo chakula. Europe is not a point of reference ku-determine which is food and which is fruit.
Hiyo kesi nimekupa kama mfano tuu on the other point of view kuwa pamoja na argument kuwa Ulaya wanakula ndizi kama tunda, lakini wao wenyewe wanatambua, tena kisheria, kuwa ndizi ni zaidi ya tunda.
It would have been good if you have backed up your stance na evidence badala ya kusema tuu kuwa "Ndizi ni tunda, hayo yote ni visingizo tu vya kutafuta soko."
Unadai kuwa katika usafirishaji lazima zipelekwe ndizi mbichi kwa sababu given proper time zitaiva na kuuzika kirahisi kuliko kupelea zilizoiva kabisa.
Sijui unaongelea sehemu gani ya ulaya lakini pia kuna watu ulaya wanapika na kukaanga ndizi kwa ajili ya chakula. Ulaya wanauza pia ndizi mbichi kwa ajili ya kupika/kukaanga. Kuna Watanzania, Waganda, Wakongo, Wa-caribbean n.k Ulaya wanakula ndizi kama chakula.
Point yangu ni kwamba ndizi siyo tunda tuu, bali ni zaidi ya tunda tena kwa watu wengi sana duniani.
Hata hivyo, at the end of the day, anaye-determine whether ndizi ni tunda au chakula ni mlaji mwenyewe. Nakumbuka wakati wa ukame wa miaka 1980s, kijijini kwetu maembe yalikuwa ni kufungua kinywa, chakula cha mchana na jioni.