Babu weeh!
Hujakutana na mpishi anaejua kuziswafi zikaswafika! Huoni wala kusikia mchanga hata tone. By the way dagaa wa kigoma na wa zanziba na wa nyasa hawanaga mchanga. Only wa mwanza. Dagaa is my fauvorite na nikipika utabloo
cc
Donn mangi
wewe bwana uko kama kakangu mmoja. Eti hali smoked fish kama kambale na dagaa pia, kisa tu anawa-associate na umaskini. Hata akute kambale mkubwa, kaungwa na nazi na haijakatika tui, imechanganywa na bamia, viazi na nyanya chungu. Hagusi! Yuko kama mchawi yaani aagh!