blueprint.
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 220
- 62
[Ni msosi gani ushawahi kula?msosi labda wa kabila lingine au taifa lingine?au msosi gani hutaweza kula?]
ME msukuma napenda sana ugari na mrenda + mtindi bla hvo kwa kweli ni napata shida kula ugali bila mtindi. tofauti na hiko cha kwetu napenda ugali wa mhogo na samaki mantura analiwa sana n'ghambo ya ziwa nyasa huko matema nk
ME msukuma napenda sana ugari na mrenda + mtindi bla hvo kwa kweli ni napata shida kula ugali bila mtindi. tofauti na hiko cha kwetu napenda ugali wa mhogo na samaki mantura analiwa sana n'ghambo ya ziwa nyasa huko matema nk