What is your favorite food?

What is your favorite food?

grilled-chicken.jpg
 
dona, samaki wa kukaanga, matembele, ngogwe na bamia la nazi

ugalimchuzi%20nyanyachungu%20bamia%20nazi%20matembele%20samaki%20kukaanga.JPG
 
Njaa imeuma gafla hasa hapo kwenye pilau na ugali kokoto na mbogamboga looh
 
Off cause umuhimu wa mboga za majani katika mwili hauna mjadala, tatizo hapo ni kachumbari! kama unahitaji kulala mchana huna haja ya kufakamia pillton,just kula kachumbari ya kutosha utapata majibu.Mie ni mpenzi mkubwa wa ugali,naweza kuula mwaka mzima wewe nibadirishie mboga tu tena maziwa mgando baridi glas moja pembeni inakuwa vema zaidi.
Mkuu kuna mazingira tulikulia unaweza kula ugali tu na maziwa mgando,aisee maziwa mgando matamu sana,kwanza mi naona ugali unalika kwa kila kitu,mboga za majani,maziwa,kachumbari,nyama,watu siku hizi mpaka wanakula ugali na sosej
 
Miguu ikiwa mingi inatisha
Afu hata kucha hawajaitoa
hiyo miguu we hujui style yake ya kula,unakula tu huku juu huko kwenye makucha unaacha au unang'ata nyama ile katikati ya vidole(yaani kiganja cha mguu)
 
Ofukozi

Ujue zamani ndio ilikuwa dizaini ya upishi kama nyama ipo kidogo

Sijui ilisababishwa na watoto kuwa wengi, ili nyama itoshe inachanganywa na mchicha au kabechi sometimes
Ila nilikuwa naichukia jamani

ushawahi kula ugali na nyama zililizochanganywa na mchicha?
 
Sie kwetu ukipeleka mezani miguu ya makucha utachapwa hadi basi, na hapo ni miguu miwili tu

Sasa ikiwa mingi hivi si wataniua?

hiyo miguu we hujui style yake ya kula,unakula tu huku juu huko kwenye makucha unaacha au unang'ata nyama ile katikati ya vidole(yaani kiganja cha mguu)
 
Back
Top Bottom