What is your favorite food?

What is your favorite food?

Ofukozi

Ujue zamani ndio ilikuwa dizaini ya upishi kama nyama ipo kidogo

Sijui ilisababishwa na watoto kuwa wengi, ili nyama itoshe inachanganywa na mchicha au kabechi sometimes
Ila nilikuwa naichukia jamani
zamani zamani tu kwanza mbonga za majani zilikuwa za aina nyingi,za pori au za kupanda,sasa hivi hamna hiyo kitu,mi nilikuwa napenda sana ugali mnafu mana mnafu ni chungu na uchachu ila sijui inakwaje ni raha unapokula na ugali
 
Sie kwetu ukipeleka mezani miguu ya makucha utachapwa hadi basi, na hapo ni miguu miwili tu

Sasa ikiwa mingi hivi si wataniua?
hahaha aliyeandaa msosi ni mvivu alipochemsha maji ya kunyoa ngozi ya miguu ya kuku akaacha kucha
 
Hii Mixer Naikubali sana...
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1371047208.985625.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371047208.985625.jpg
    55.7 KB · Views: 103
[Mkuu Blueprint inaonekana umedata na misosi]

hapana mkuu ila naoana kila mtu analwake yani inapendeza.kuona usichopenda kiapendwa.
 
Hii Mixer Naikubali sana...
dah ila mixer nyingi sometimes zinapoteza ladha mkuu,pilau,mboga za majani,viazi,kachumbari mbona kazi sana
 
[Mkuu Blueprint inaonekana umedata na misosi]

hapana mkuu ila naoana kila mtu analwake yani inapendeza.kuona usichopenda kiapendwa.
Ndo hivo mkuu,kuna msosi ambao we hutanunua ukiwa hotelini,ila mwenzako ndo hivo,au unakuta unaenda na mtu hoteli anakula ule ule aliokula nyumbani .
 
Hii unakosa nguvu za dushelele ikiwa ndiyo
chakula yako kila siku.
mkuu aah siamini aisee,kwani nini inafanya hapo dushelele isifanye kazi kwani ni muunganiko wa viungo gani?
 
[dah ila mixer nyingi sometimes zinapoteza ladha mkuu,pilau,mboga za majani,viazi,kachumbari mbona kazi sana]

Hahahahahaaaaaa mkuuu inaonekana upo vizuri sana kwenye madikodiko nakupa like.
 
[dah ila mixer nyingi sometimes zinapoteza ladha mkuu,pilau,mboga za majani,viazi,kachumbari mbona kazi sana]

Hahahahahaaaaaa mkuuu inaonekana upo vizuri sana kwenye madikodiko nakupa like.
Ndo hivo mkuu,unaweza ukajikuta unaandaa msosi masaa nne jasho likatoka na ukauharibu,mwenzako akaja kuupika msosi ule ule kwa nusu saa ukatoka poa
 
[Ndo hivo mkuu,unaweza ukajikuta unaandaa msosi masaa nne jasho likatoka na ukauharibu,mwenzako akaja kuupika msosi ule ule kwa nusu saa ukatoka poa]

Hilo linaukweli mana kama syo kutopendeza linaweza chafua tumbo sa inakuwa umepoteza muda na umejiuguza mwenyewe. ila tooo much cku zote waga haipendezi.
 
Hiki chakula sidhani kama ipo siku nitakuja kukipenda. Yaani kufanya tunda kuwa chakula, hiyo hapana.
Mkuu hicho ndo chakula naipenda sana,ni tunda ila we unaangalia nini kwenye misosi,utamu au kushiba?
 
[Ndo hivo mkuu,unaweza ukajikuta unaandaa msosi masaa nne jasho likatoka na ukauharibu,mwenzako akaja kuupika msosi ule ule kwa nusu saa ukatoka poa]

Hilo linaukweli mana kama syo kutopendeza linaweza chafua tumbo sa inakuwa umepoteza muda na umejiuguza mwenyewe. ila tooo much cku zote waga haipendezi.
Ni msosi gani ushawahi kula?msosi labda wa kabila lingine au taifa lingine?au msosi gani hutaweza kula?
 
Mkuu kwani ukiwapa ng'ombe piza hawawezi kula?kwanza msosi wa ng'ombe na sungura kiasili ni majani

Ni kweli uyasemayo, ila kula hiki chakula ni kuwanyima wanyama haki yao. Nakumbuka tulipokuwa shuleni miaka hiyo ya 70 mtu akila makande tunamkimbia kuwa amekula kinyesi (mavi ya kuharisha), na hata wenzetu wakila walikuwa hawasemi kuogopa kukimbiwa na marafiki zao.
 
Back
Top Bottom