What is your dream car?

What is your dream car?

Najifanya😅 jitambue dogo
😂
d7d0fe50-7c7c-4f3f-a134-dfe7660bd215.jpeg
 
Fanya masikhara tu kaka ila jua ulozi unavuka bahari ndio maana namuamini kwenye masuala binafsi, akisema Yes muamini 😁😁😁
Nipe vigezo ambavyo mimi mapswa kuamini hili bwashee , akianza na maisha yangu ni vyema zaidi
 
Hana maajabu brother, saa hii anakula kischana tu huku wimbo wa mayday ukivuma kwenye speaker
Halafu yupo bongo na mimi now sipo bongo , na nikiwa bongo namzidi hako kasalari kake kakimagumashi
 
Unajua watani mna masikhara sana 😁😁, nisije kuingilia baadae mkaanza kunishambulia
Pacha yangu kaolewa na mhaya ,na yupo Canad,a huu upumbavu sikuruhusu uendee bila baraka zangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom