dre4691
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 549
- 518
ww una mambo kwenye maisha unahisi yanakusumbua na umekata tamaa km utaweza ya solve cha kwanza...cha pili unaingiza negative charge nyingi while positive charge chache kifupi unaingiza ujinga mwingi kutoka different source(fb,whatsup,instagram)...tiba sasa solve matatizo yako dont lose hope face them....pili punguza kampani ya ujinga ujinga ht km utapunguza mitandao ya kijamii...sasa km tatizo ni usingle geli bas ni pm tu

