What is wrong with me?

What is wrong with me?

ww una mambo kwenye maisha unahisi yanakusumbua na umekata tamaa km utaweza ya solve cha kwanza...cha pili unaingiza negative charge nyingi while positive charge chache kifupi unaingiza ujinga mwingi kutoka different source(fb,whatsup,instagram)...tiba sasa solve matatizo yako dont lose hope face them....pili punguza kampani ya ujinga ujinga ht km utapunguza mitandao ya kijamii...sasa km tatizo ni usingle geli bas ni pm tu
 
Hi JF..... idk what is wrong with me jaman....yani i get angry with no reason....hata sijui kwanini....and i just hate everyone who is around me....i hate every person i see....yani nna hasira za ovyo ovyo tu....

Naona kila mtu ni fake ...idk...sielewi....ni kama i wanna be alone...yet ni kama i wanna be around people and have some fun....
Kama vile ni exit all the whatsapp groups....ni kama vile i wanna block everyone...

Sijui nifanye nini ...
Am like that sometime,na huwa najiulizaga swali moja tu nilizaliwa kimakosa nn? And feel like i don't deserve anything in this world
 
Huo ndo ukweli madam,na tatizo hili huwapata sana wanafunzi wa vioni kwa sababu vioni kuna mazingira yenye mvuto wa kuingia kwenye mapenzi hasa ukizingatia mda mwingi unakutana na watu wa kila aina wenye mvuto tofauti tofauti kuanzia uzuri wa sura,mwili,uvaaji na kadhalika!.....Mimi nilipokuwa chuo kikuu GPA yangu iliyumba kutokana na hiyo hali kwani mwili wangu ulikuwa unavutiwa sana na wadada ila akili yangu ikawa inaniambia NO,kwa hiyo kukawa na vita kali sana kati ya akili na mwili matokeo yake nikaishia kudhoofika kimwili na kiakili na hatimae GPA ikayumba!!.....i won't forget!
 
Huo ndo ukweli madam,na tatizo hili huwapata sana wanafunzi wa vioni kwa sababu vioni kuna mazingira yenye mvuto wa kuingia kwenye mapenzi hasa ukizingatia mda mwingi unakutana na watu wa kila aina wenye mvuto tofauti tofauti kuanzia uzuri wa sura,mwili,uvaaji na kadhalika!.....Mimi nilipokuwa chuo kikuu GPA yangu iliyumba kutokana na hiyo hali kwani mwili wangu ulikuwa unavutiwa sana na wadada ila akili yangu ikawa inaniambia NO,kwa hiyo kukawa na vita kali sana kati ya akili na mwili matokeo yake nikaishia kudhoofika kimwili na kiakili na hatimae GPA ikayumba!!.....i won't forget!
Ulitatuaje tatizo
 
Ulitatuaje tatizo
Kuna dada nilikuwa nampenda sana na yeye pia alikuwa ananipenda sana pia,nilipoona nazidiwa ilibidi nimwambie hali halisi na yeye akanijibu kuwa hata yeye hali yake ni mbaya sana,kwa hiyo akahamia kwangu hatimae afya ikarudi tukaanza kupendeza kama zamani,akili zetu zikatulia na tukaanza kufaulu masomo vizuri!!
 
Am like that sometime,na huwa najiulizaga swali moja tu nilizaliwa kimakosa nn? And feel like i don't deserve anything in this world
Oh jaman pole msweety....the best is yet to come mwaya....time heals,they say.....be patient and sali sana!!!!
 
Back
Top Bottom