What is wrong with me?

What is wrong with me?

Scorpions normally experience mood swings in a way that confuses them...so it is all about your astrological sign and that will last for a lifetime!!!
 
Hi JF..... idk what is wrong with me jaman....yani i get angry with no reason....hata sijui kwanini....and i just hate everyone who is around me....i hate every person i see....yani nna hasira za ovyo ovyo tu....

Naona kila mtu ni fake ...idk...sielewi....ni kama i wanna be alone...yet ni kama i wanna be around people and have some fun....
Kama vile ni exit all the whatsapp groups....ni kama vile i wanna block everyone...

Sijui nifanye nini ...

Pole sana dada watu wengi ni vigumu kwanza kujua lakini pili kukiri udhaifu wao jambo ambalo linachangia kuongeza madhara ya udhaifu wenyewe. Kila mtu ana udhaifu wake the moment unafanikiwa kujua wakwako tayari ni hatua kubwa sana katika kupambana nao. Kwa mujibu WA saikolojia hali hii husababishwa Na maisha uliyopitia, hardship pamoja Na jinsi wale waliokuwa karibu yako walivyokutenda.

Kwa ufupi kwanza kataa hiyo hali, kuwa mtani Na kubali kutaniwa hasa Na wale uliokaribu nao, jitahidi kusahau your past no matter how painful it was. Washirikishe your close friends Kama ulivyofanya hapa Jukwaani sometimes jaribu kufanya vile vitu ambavyo hupendi kufanyiwa. I am sure ni vigumu sana wewe kumtukana mtu, Na Mara nyingi unapenda kila kitu kiende vile upendavyo wewe try to be flexible while maintaining your focus. Zaidi ya hapo Mungu hamtupi mja wake kaa nae, ongea nae utashinda. Good luck!!!
 
Pole sana dada watu wengi ni vigumu kwanza kujua lakini pili kukiri udhaifu wao jambo ambalo linachangia kuongeza madhara ya udhaifu wenyewe. Kila mtu ana udhaifu wake the moment unafanikiwa kujua wakwako tayari ni hatua kubwa sana katika kupambana nao. Kwa mujibu WA saikolojia hali hii husababishwa Na maisha uliyopitia, hardship pamoja Na jinsi wale waliokuwa karibu yako walivyokutenda.

Kwa ufupi kwanza kataa hiyo hali, kuwa mtani Na kubali kutaniwa hasa Na wale uliokaribu nao, jitahidi kusahau your past no matter how painful it was. Washirikishe your close friends Kama ulivyofanya hapa Jukwaani sometimes jaribu kufanya vile vitu ambavyo hupendi kufanyiwa. I am sure ni vigumu sana wewe kumtukana mtu, Na Mara nyingi unapenda kila kitu kiende vile upendavyo wewe try to be flexible while maintaining your focus. Zaidi ya hapo Mungu hamtupi mja wake kaa nae, ongea nae utashinda. Good luck!!!
Asante sana
 
Hi JF..... idk what is wrong with me jaman....yani i get angry with no reason....hata sijui kwanini....and i just hate everyone who is around me....i hate every person i see....yani nna hasira za ovyo ovyo tu....

Naona kila mtu ni fake ...idk...sielewi....ni kama i wanna be alone...yet ni kama i wanna be around people and have some fun....
Kama vile ni exit all the whatsapp groups....ni kama vile i wanna block everyone...

Sijui nifanye nini ...
Hzo n Dalili za kifo,
 
Back
Top Bottom