What is wrong with me?

What is wrong with me?

Wivu lazima uwepo ile kitu Treasure ya ulimwengu inasumbua sana moyo wangu
Bora leo umesema menyeweeee@stunter ndo nn hivyo jaman? Kuna mkuu alinambia nikakataa hunuhumu kumbe kweli?
 
watu wanatumia kauli za mzunguko kujinadi, hivi kwa nn wasiseme tu jamani nimeziwa natafuta ili waliozidiwa wenzao wawafate kimya kimya
Wifi maneno hayo acha nakwambia
 
Back
Top Bottom