What is wrong with me?

What is wrong with me?

Una mood swings rafiki!!Je unatumia njia yoyote ya uzazi wa mpango?Una mwenza.Muongezeko wa homoni unasababisha kuwa na vihasirahasira vya karibu!
 
Tusiwe wepesi kuhukumu bali tuchukuliane na kuvumiliana kwa upendo. 1 Petro 2:23 "Yeye alipotukanwa hakurudisha matukano; alipoteswa hakuogofya; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki." Yakobo 5:7 "Kwa hiyo ndugu, vumilieni, hata kuja kwake Bwana. Tazama mkulima hungoja mazao ya nchi yaliyo ya thamani, huvumilia kwa ajili yake hata yatakapopata mvua ya kwanza na ya mwisho."

Lumia 950 using mtalk
 
Hi JF..... idk what is wrong with me jaman....yani i get angry with no reason....hata sijui kwanini....and i just hate everyone who is around me....i hate every person i see....yani nna hasira za ovyo ovyo tu....

Naona kila mtu ni fake ...idk...sielewi....ni kama i wanna be alone...yet ni kama i wanna be around people and have some fun....
Kama vile ni exit all the whatsapp groups....ni kama vile i wanna block everyone...

Sijui nifanye nini ...
It's wrong with you
 
Back
Top Bottom