What is wrong with me?

What is wrong with me?

upo very sensitive, very creative and romantic,....ila unaona hamna anetaka kujua hili,you probly a loner ujui tu lakin inaezekana una potential sana ndani yako ila ujawai zitumia may be ujapata msukumo au sehem ya kuzitumia ila jipe moyo kila kitu kitakua sawa,..pm me
 
Ni phase tu dear! Ata mie hua inanipataga!!! Ni kama depression fulani ivi. Unajihisi mtupu ndani na huelewi unachofeel! Ukiiendekeza itakutesa... We changamka na jumuika na marafiki ata kama you don't feel like doing so.
 
Kaa na fanya mambo ambayo unaona yanakupa furaha ila pole... Wengine huku tulishaona kila kitu kichungu ila tukajipa moyo... Pia kubali kuwa maisha yako yana dhamani zaidi na pale unapofanya jambo kwa mtu mwingine jiaminishe kuwa utalipa cku moja mbele za mungu yaani mbinguni. Ukifanya hivyo utabadilika rafiki yangu

niceee
 
upo very sensitive, very creative and romantic,....ila unaona hamna anetaka kujua hili,you probly a loner ujui tu lakin inaezekana una potential sana ndani yako ila ujawai zitumia may be ujapata msukumo au sehem ya kuzitumia ila jipe moyo kila kitu kitakua sawa,..pm me
Probably true...
 
Ni phase tu dear! Ata mie hua inanipataga!!! Ni kama depression fulani ivi. Unajihisi mtupu ndani na huelewi unachofeel! Ukiiendekeza itakutesa... We changamka na jumuika na marafiki ata kama you don't feel like doing so.
Sawa ntafanya hivyo...
 
You are horny.
True mkuu!!!.......Hata mimi nahisi nikikutana nae nikimwona tu naweza nikamwaga hapo hapo but wonder enough eti hataki/hapendi wanaume!! ......Acha hizo,tupende buana kwani wewe una potentil kubwa sana ya utamu ndani yako ila hujui!
 
True mkuu!!!.......Hata mimi nahisi nikikutana nae nikimwona tu naweza nikamwaga hapo hapo but wonder enough eti hataki/hapendi wanaume!! ......Acha hizo,tupende buana kwani wewe una potentila kubwa sana ya utamu ndani yako ila hujui!
niunganishe jukwaa la wakubwa kwanza...
 
Hi JF..... idk what is wrong with me jaman....yani i get angry with no reason....hata sijui kwanini....and i just hate everyone who is around me....i hate every person i see....yani nna hasira za ovyo ovyo tu....

Naona kila mtu ni fake ...idk...sielewi....ni kama i wanna be alone...yet ni kama i wanna be around people and have some fun....
Kama vile ni exit all the whatsapp groups....ni kama vile i wanna block everyone...

Sijui nifanye nini ...
unakaribia kuingia mwezini?umehave sex lini mara ya mwisho?
 
Back
Top Bottom