What is the purpose of mariage???.....

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,709
What is the purpose of your mariage?Nini lengo na matarajio ya mahusiano uliyoanzisha?Wengine hudai wametoka kwao wameacha chakula,vitanda nk ila hakikuwepo kitu kimoja tu(sex)je hiki ndo kinachofanya watu waoane au wawe na mahusiano?Au kuna sababu nyingine?Unachokifanya sasa hapo ndo lilikuwa lengo lako?Kuna sababu zaidi ya moja ya kumfanya mtu afunge ndoa?Au umeingia kwenye ndoa kwa kufuata mkumbo?Je umewahi kujiuliza hili swali?Mlio kwenye ndoa tusaidieni,ili walio nje na wanaotaka kuingia wapate "aidia" kama kuna sababu au ni kufuata mkumbo,au waingie kwa sababu kuna kuingia kwenye ndoa au waingie kwa sababu ya mwili!!
 
Eiyer ndoa ni zaidi ya sex mydia wanaosema hivyo nadhani huwa wanasema kwa hacra ya kunyimwa hiyo sex ambapo hatua hii hufikiwa baada ya mambo mmengi ya kindoa kuharibika. Ndoa ni kushare sehemu ya maisha yako yaliyobaki na mtu umpendaye, mtu anayekufanya ujisikie furaha pale uwapo na hacra; anayekufariji upatwapo na huzuni; anayekujali uwapo na uhitaji; anayekuliwaza uhitajipo liwazo; mtu ambaye yuko tayari/uko tayari kufanya mambo mengi naye ikiwemo kuchangia katika kutengeneza viumbe wa kuijaza dunia; uzao utakaobeba alama ya muunganiko wenu ninyi wawili. Mengineyo hutokea kwa bahati mbaya.

Sex unaezaipata hata nje ya ndoa mf. kama ni mwanaume anayehitaji sex tu ili aoe si anawezanunua kwa dada poaz? kama ni mwanamke anayetaka aolewe ili apate sex, si awezafungua tu biashara?

Kufuata mkumbo yesi kuna wanaooa/olewa kwa kuwa tu flani kaoa/lewa au marafiki zangu wote wameoa/olewa but mara nyingi za aina hii zinaweza zisifike popote
 
Kiukweli sielewi purpose ni nini ndo maana hata sifeel kuingia humo ngoja wataalam watueleweshe
 
Eiyer ndoa ni zaidi ya sex mydia wanaosema hivyo nadhani huwa wanasema kwa hacra ya kunyimwa hiyo sex ambapo hatua hii hufikiwa baada ya mambo mmengi ya kindoa kuharibika. Ndoa ni kushare sehemu ya maisha yako yaliyobaki na mtu umpendaye, mtu anayekufanya ujisikie furaha pale uwapo na hacra; anayekufariji upatwapo na huzuni; anayekujali uwapo na uhitaji; anayekuliwaza uhitajipo liwazo; mtu ambaye yuko tayari/uko tayari kufanya mambo mengi naye ikiwemo kuchangia katika kutengeneza viumbe wa kuijaza dunia; uzao utakaobeba alama ya muunganiko wenu ninyi wawili. Mengineyo hutokea kwa bahati mbaya.<br />
<br />
Sex unaezaipata hata nje ya ndoa mf. kama ni mwanaume anayehitaji sex tu ili aoe si anawezanunua kwa dada poaz? kama ni mwanamke anayetaka aolewe ili apate sex, si awezafungua tu biashara?<br />
<br />
Kufuata mkumbo yesi kuna wanaooa/olewa kwa kuwa tu flani kaoa/lewa au marafiki zangu wote wameoa/olewa but mara nyingi za aina hii zinaweza zisifike popote
<br />
<br />
Nimependa sana maelezo yako thanx dada!!!!
 
Kiukweli sielewi purpose ni nini ndo maana hata sifeel kuingia humo ngoja wataalam watueleweshe
<br />
<br />
Yaani we acha tu,ngoja waliopo kwenye hiki kibuyu waje wauambie wanaweza kutukomvisi!!
 
What is the purpose of your mariage?Nini lengo na matarajio ya mahusiano uliyoanzisha?Wengine hudai wametoka kwao wameacha chakula,vitanda nk ila hakikuwepo kitu kimoja tu(sex)je hiki ndo kinachofanya watu waoane au wawe na mahusiano?Au kuna sababu nyingine?Unachokifanya sasa hapo ndo lilikuwa lengo lako?Kuna sababu zaidi ya moja ya kumfanya mtu afunge ndoa?Au umeingia kwenye ndoa kwa kufuata mkumbo?Je umewahi kujiuliza hili swali?Mlio kwenye ndoa tusaidieni,ili walio nje na wanaotaka kuingia wapate "aidia" kama kuna sababu au ni kufuata mkumbo,au waingie kwa sababu kuna kuingia kwenye ndoa au waingie kwa sababu ya mwili!!

Anayesema hivyo mwongo. Mbona sex zipo za bwerere tu siku hizi? Sababu zinaweza kuwa moja ama zaidikama ifuatavyo:-

(i) Kupata mwenza wa maisha (mtu wa karibu ambaye unaweza kushauriana naye mambo yenu ya maisha ya kila siku)
(ii) Kuanzisha familia pamoja ikiwa ni pamoja na kupata watoto. (caution: unaweza kuo na usibahatike kuwa na watoto ndio maana nimesema kuanzisha familia)
(iii) Kusaidiana kimaisha (Ila hii inaweza kuwa chanzo cha mgogoro kama mwanaume ataona akitarajia kusaidiwa na mke bila ridhaa ya mwanamama)
(iv) Kupata jiko (yaani mtu wa kurahisisha masuala ya jikoni, kufua, kuosha vyombo n.k. - hii ni kwa wanaume tu)
(v) Kupata ATM (yaani mtu wa kutoa pesa za kuendesha familia - hii ni kwa wamama tu. Kwa wanaume refer iii above)
(vi) Kukubalika na jamii inayotunzunguka yaani ukoo, kabila, majirani - (nakumbuka wakati naanza maisha ilikuwa ni rahisi zaidi kwa watu waliooa kupata chumba/nyumba ya kupanga kuliko kwa watu wasiooa kwani tulikuwa tukionekana wahuni na waharibifu). Kwenye kabila letu mtu ambaye hajaoa hawezi kupewa nafasi ya uongozi kwenye jamii kwani bado hajapata mafunzo ya msingi ya uongozi katika kiwango cha familia.

Naona niishie hapa kwa leo.
 
Eiyer ndoa ni zaidi ya sex mydia wanaosema hivyo nadhani huwa wanasema kwa hacra ya kunyimwa hiyo sex ambapo hatua hii hufikiwa baada ya mambo mmengi ya kindoa kuharibika. Ndoa ni kushare sehemu ya maisha yako yaliyobaki na mtu umpendaye, mtu anayekufanya ujisikie furaha pale uwapo na hacra; anayekufariji upatwapo na huzuni; anayekujali uwapo na uhitaji; anayekuliwaza uhitajipo liwazo; mtu ambaye yuko tayari/uko tayari kufanya mambo mengi naye ikiwemo kuchangia katika kutengeneza viumbe wa kuijaza dunia; uzao utakaobeba alama ya muunganiko wenu ninyi wawili. Mengineyo hutokea kwa bahati mbaya.

Sex unaezaipata hata nje ya ndoa mf. kama ni mwanaume anayehitaji sex tu ili aoe si anawezanunua kwa dada poaz? kama ni mwanamke anayetaka aolewe ili apate sex, si awezafungua tu biashara?

Kufuata mkumbo yesi kuna wanaooa/olewa kwa kuwa tu flani kaoa/lewa au marafiki zangu wote wameoa/olewa but mara nyingi za aina hii zinaweza zisifike popote


mhh maneno yako ya gharama...andikia pepa upublish...
thaxxx!!!!!!
 
What is the purpose of your mariage?Nini lengo na matarajio ya mahusiano uliyoanzisha?Wengine hudai wametoka kwao wameacha chakula,vitanda nk ila hakikuwepo kitu kimoja tu(sex)je hiki ndo kinachofanya watu waoane au wawe na mahusiano?Au kuna sababu nyingine?Unachokifanya sasa hapo ndo lilikuwa lengo lako?Kuna sababu zaidi ya moja ya kumfanya mtu afunge ndoa?Au umeingia kwenye ndoa kwa kufuata mkumbo?Je umewahi kujiuliza hili swali?Mlio kwenye ndoa tusaidieni,ili walio nje na wanaotaka kuingia wapate "aidia" kama kuna sababu au ni kufuata mkumbo,au waingie kwa sababu kuna kuingia kwenye ndoa au waingie kwa sababu ya mwili!!

Kwanza ningeshauri ubadili title na kuwa what is the purpose of a "successful" Marriage (Please be specific)... Ukisema tu marriage ziko za aina nyingi..nzuri, mbovu, feki, za malengo maalum, za kibiashara, za kilevi etc.

Kwa Successful Marriage... Sex inaweza pata 5% out of 100% kuna mengi mengine..kama..
  • Unapata copy ya maisha yako..ni nani utamwamini zaidi ya mwenza...
  • Unapata mtu ambaye ataficha siri zako zote.. hata kama unakoroma kama gari moshi..mam akiwa nje anasema mambo ni silent kama Mark II
  • Unapata partner wa wakati wa raha na shida..Kuna marafiki na ndugu watakukimbia ukifulia.
  • Unapata mtu wa kuendeleza familia kama ukipotea.. Nani utamwamini kulea familia ukifa..
  • Unapata mshauri wa karibu..nani anaweza kukwambia ukweli huku akiwa ni mdau wa kweli?..siyo siasa, hela au unafiki.
  • Una-Jiheshimu na kuheshimiwa na Jamii.. Ndoa na familia ni ishara upstairs (kichwani) kumetulia..
  • Protection - ya Majaribu.. Kumwingia mtu ambaye unajua ameoa au kuolewa (successfully) yataka moyo kwani Hatokupa nafasi hiyo..
NB: Kuna vitu vingi lakini vyote vinalenga kama unataka faida za successful Marriage...Kama unataka faida za "marriage" basi kila mtu atakupa anavyojua yeye na mjadala hautakwisha.
 
Anayesema hivyo mwongo. Mbona sex zipo za bwerere tu siku hizi? Sababu zinaweza kuwa moja ama zaidikama ifuatavyo:-

(i) Kupata mwenza wa maisha (mtu wa karibu ambaye unaweza kushauriana naye mambo yenu ya maisha ya kila siku)
(ii) Kuanzisha familia pamoja ikiwa ni pamoja na kupata watoto. (caution: unaweza kuo na usibahatike kuwa na watoto ndio maana nimesema kuanzisha familia)
(iii) Kusaidiana kimaisha (Ila hii inaweza kuwa chanzo cha mgogoro kama mwanaume ataona akitarajia kusaidiwa na mke bila ridhaa ya mwanamama)
(iv) Kupata jiko (yaani mtu wa kurahisisha masuala ya jikoni, kufua, kuosha vyombo n.k. - hii ni kwa wanaume tu)
(v) Kupata ATM (yaani mtu wa kutoa pesa za kuendesha familia - hii ni kwa wamama tu. Kwa wanaume refer iii above)
(vi) Kukubalika na jamii inayotunzunguka yaani ukoo, kabila, majirani - (nakumbuka wakati naanza maisha ilikuwa ni rahisi zaidi kwa watu waliooa kupata chumba/nyumba ya kupanga kuliko kwa watu wasiooa kwani tulikuwa tukionekana wahuni na waharibifu). Kwenye kabila letu mtu ambaye hajaoa hawezi kupewa nafasi ya uongozi kwenye jamii kwani bado hajapata mafunzo ya msingi ya uongozi katika kiwango cha familia.

Naona niishie hapa kwa leo.

Ooops! Nimeacha jambo ambalo ni la muhimu zaidi na kama lipo haya mengine yote yanaweza yakaisha lakini ndoa ikaendelea:

(vii) Mapenzi ya dhati baina ya watu wawili (yaani mwanamke na mwanaume) yanaweza kupelekea wakaoana bila kujali kama hayo mambo mengine yote yapo. (Hili ni muhimu kwani ndiyo kitu pekee kinachoweza kuidumisha ndoa inapotokea yale mengine yote hapo juu yameisha ama kukosekana.)
 
Eiyer ndoa ni zaidi ya sex mydia wanaosema hivyo nadhani huwa wanasema kwa hacra ya kunyimwa hiyo sex ambapo hatua hii hufikiwa baada ya mambo mmengi ya kindoa kuharibika. Ndoa ni kushare sehemu ya maisha yako yaliyobaki na mtu umpendaye, mtu anayekufanya ujisikie furaha pale uwapo na hacra; anayekufariji upatwapo na huzuni; anayekujali uwapo na uhitaji; anayekuliwaza uhitajipo liwazo; mtu ambaye yuko tayari/uko tayari kufanya mambo mengi naye ikiwemo kuchangia katika kutengeneza viumbe wa kuijaza dunia; uzao utakaobeba alama ya muunganiko wenu ninyi wawili. Mengineyo hutokea kwa bahati mbaya.

Sex unaezaipata hata nje ya ndoa mf. kama ni mwanaume anayehitaji sex tu ili aoe si anawezanunua kwa dada poaz? kama ni mwanamke anayetaka aolewe ili apate sex, si awezafungua tu biashara?

Kufuata mkumbo yesi kuna wanaooa/olewa kwa kuwa tu flani kaoa/lewa au marafiki zangu wote wameoa/olewa but mara nyingi za aina hii zinaweza zisifike popote

Nisingeweza kuongea vizuri kama ambavyo umeongea. Ubarikiwe mama!!
 
Mliochangia mmechangia vyema lakini nina kaswali ka kizushi,hivi ukioa halafu ukakuta "ikulu"haipo ndoa itaendelea?Ukiolewa ukakuta jogoo hawiki ndoa itaendelea?
 
Mliochangia mmechangia vyema lakini nina kaswali ka kizushi,hivi ukioa halafu ukakuta "ikulu"haipo ndoa itaendelea?Ukiolewa ukakuta jogoo hawiki ndoa itaendelea?

Hapooo sasa. Ndio maana sikubaliani na anaye assign 5% kwenye sex.... To me it carries more than that!
 
mi najuaga sababu kubwa hasa ni kungonoka kwa uhuru koz nikiwa mtaani watanielewa vibaya kwa kuniita malaya, nk

lakini pia nisipooa watanicheka,, sitapata heshima, wataniita muhuni, labda jogoo haliwiki nk

mhhhhhhhhhhhhhhhhh kumbe kuna sababu zingine???????
 
Mliochangia mmechangia vyema lakini nina kaswali ka kizushi,hivi ukioa halafu ukakuta "ikulu"haipo ndoa itaendelea?Ukiolewa ukakuta jogoo hawiki ndoa itaendelea?

Mkuu ndoa inatimizwa wakati waliooana wakiconsumate marriage yaani wakishafanya sex ndo inatambulika kama ndoa kisheria. Kama umeolewa au umeoa na ukakuta bibie hana sehemu yake au jogoo halipandi mtungi hivyo kushindwa kuconsumate marriage hiyo ndoa inaweza kuvuinjika hapo hapo na kisheria inaruhusiwa kuomba talaka hata kama masharti ya dini yako hayaruhusu
 
So,mariage is all about sex ama?Mbona mnanichanganya?
 
What is the purpose of your mariage?Nini lengo na matarajio ya mahusiano uliyoanzisha?Wengine hudai wametoka kwao wameacha chakula,vitanda nk ila hakikuwepo kitu kimoja tu(sex)je hiki ndo kinachofanya watu waoane au wawe na mahusiano?Au kuna sababu nyingine?Unachokifanya sasa hapo ndo lilikuwa lengo lako?Kuna sababu zaidi ya moja ya kumfanya mtu afunge ndoa?Au umeingia kwenye ndoa kwa kufuata mkumbo?Je umewahi kujiuliza hili swali?Mlio kwenye ndoa tusaidieni,ili walio nje na wanaotaka kuingia wapate "aidia" kama kuna sababu au ni kufuata mkumbo,au waingie kwa sababu kuna kuingia kwenye ndoa au waingie kwa sababu ya mwili!!
Before the marriage:
· He: Yes. At last. It was so hard to wait.
· She: Do you want me to leave?
· He: NO! Don't even think about it.
· She: Do you love me?
· He: Of course!
· She: Have you ever cheated on me?
· He: NO! Why you even asking?
· She: Will you kiss me?
· He: Yes!
· She: Will you hit me?
· He: No way! I'm not such kind of person!
· She: Can I trust you?
Now after the marriage you can read it from bottom to the top!

Ndoa.jpg

 
<span style="font-family: comic sans ms">Hapooo sasa. Ndio maana sikubaliani na anaye assign 5% kwenye sex.... To me it carries more than that!</span>
<br />
<br />
Si ndo na mimi nashangaa!
 
Back
Top Bottom